Zitto: Serikali isipowataja walioficha mabilioni nje, CHADEMA itawataja hadharani!

Hata uwawekee basitola kisogoni hawa ciciem hawawezi kutaja,hiyo kazi zzk angemaliza tu!
 
Hivi mbona sijawahi kusikia takukuru wanataja wahusika wa kashfa zozote zile hata zile ambazo wamejua kuwa kweli kuna mafisadi wanaojulikana kwa uwazi kabisa....au ndo ile ambayo weakleaks walisema hosea anashindwa kutokana na kikwazo cha kiwete?
 
Angeweka na time frame....sio kutuambia atawataja alafu akaja kuwataja 2020......aeleze ikifikia lini Chai Chapati na Maharage awajawataja....then wao wanataja....huo ndo uwajibikaji

It is within this Parliament session duration. Count days.
 
naishauri serikali ya CCM ifungue kesi mara moja kuzuia swala hili lisizungumziwe vinginevyo wataumbuka..
 
Serikali yenyewe yote imejaa mafisadi, wanahofia sana kuwataja hao waliokuwa na mabilioni kwenye bank accounts zao kule Uswiss maana kibao kitageuka na wao uchafu wao utaanza kuanikwa hadharani. Hivyo hakuna atakayepona. CHADEMA ni bora tu muwape Serikali wiki mbili za kuwataja wahusika wakishindwa kufanya hivyo basi myaanike majina hayo hadharani na kuweka kiasi kilichokutwa katika kila bank account.

Akiwasilisha kambi ya upinzani katika bajeti ya wizara ya fedha Zito Zuberi Kabwe amesema, katika taarifa za kiuchunguzi zinaonyesha kuna kiongozi wa juu wa serikali iliyopita akishirikiana na baadhi ya watendaji wa serikali walihongwa. Inasemekana waliohongwa na baadhi ya makampuni ya uchimbaji wa mafuta na kwenda kuzificha fedha hizo Uswiss.

Hivyo kambi ya upinzani inaitaka serikali iwataje viongozi hao kabla CHADEMA haijawataja hadharani.
 
Kambi ya wachaga ni ile ya mzee Mtei na mkwewe.
Me nashangaa sana,wachagga wametapakaa TZ yote,watumishi wa serekali na wafanyabiashara,lkn mazungumzo yao ya uchademachadema hata hao watumishi,ajabu kilimanjaro wabunge wengi ni ccm,ni kwanini!
 
Me nashangaa sana,wachagga wametapakaa TZ yote,watumishi wa serekali na wafanyabiashara,lkn mazungumzo yao ya uchademachadema hata hao watumishi,ajabu kilimanjaro wabunge wengi ni ccm,ni kwanini!

Hujawahi kujiuliza pamoja na umahiri wa kuongoza maandamano Mbowe hajawahi kuandamana Hai.
 
Akiwasilisha kambi ya upinzani katika bajeti ya wizara ya fedha Zito Zuberi Kabwe amesema, katika taarifa za kiuchunguzi zinaonyesha kuna kiongozi wa juu wa serikali iliyopita akishirikiana na baadhi ya watendaji wa serikali walihongwa. Inasemekana waliohongwa na baadhi ya makampuni ya uchimbaji wa mafuta na kwenda kuzificha fedha hizo Uswiss.

Hivyo kambi ya upinzani inaitaka serikali iwataje viongozi hao kabla CHADEMA haijawataja hadharani.

Ndo anazinduka leo baada ya kuibuliwa wizi wa rushwa aliofanya?
 
Ila mbona huwa wanaishia kutajana tuuu na hakuna kinachofuata????LENGO NI KUWATAJA AU LENGO NI KUPATA HIZO PESA,ME NASHAURI SERIKALI IFANYE MPANGO WA KUZIREJESHA PESA KWANZA
 
kama wanawafahamu si wawataje, naona sasa wanaleta ule mchezo wa "kama we mtemi puta huu mchanga"
 
wataje tu, tuwajue wanaotufanya tuzidi kuwa maskini.
wanafedha ambazo hawawezi hata kuzitumia.
 
James Mbatia anaFloor kwakusema kua majengo yooote makubwa yalioko jijini Dar es salaam hayalipi kodi na anauhakika na kama serikali inataka msaada wakujua ni jengo lipi yuko tayari kuisaidia!

kama kawaida serikali haiwezi kutaka huo msaada bali itakaa kimya kama haijasikia kitu vile
 
Hivyo kambi ya upinzani inaitaka serikali iwataje viongozi hao kabla CHADEMA haijawataja hadharani.

Hivi hii sentence inatofauti na alichikisema Nape Juzi? Maana watu walimshupalia kama anajua ataje wanaotuma fedha CDM leo naona Zitto anarudia kile kile.
 
Zitto kumbuka ulipokua unakusanya sahihi za kutokuwa na imani na waziri mkuu ulisisitiza about accountability,inakuaje leo ushindwe kuwataja hao wabadhirifu mpaka watajwe na serikali?kama unawajua uwataje kabla manouver hayajafanyika kwani politics is all about timing,
 
Back
Top Bottom