YAGHAMBA
JF-Expert Member
- Aug 8, 2012
- 545
- 147
Hivi hii sentence inatofauti na alichikisema Nape Juzi? Maana watu walimshupalia kama anajua ataje wanaotuma fedha CDM leo naona Zitto anarudia kile kile.[/SIZE]
Hivi CHADEMA imtaje mara ngapi?, au huelewi maana ya kiongozi wa juu wa serikali?, kama vipi uliza mtoto wa drs la tatu nani ni kiongozi wa juu wa serikali ya Tanzania.