kibai
JF-Expert Member
- Jan 31, 2012
- 202
- 52
Kichwa chako hakikubali Zitto, labda Slaa, Mnyika, Mbowe, lakini Zitto, wewe hapana. Unasahau kwamba hii ni ya CDM, kambi rasmi ya upinzani bungeni. Na imewasilishwa na Zitto but Mbowe knows kilichopo and everbody. Acha uzumbukuku, kiazi wewe.
Hii imekaa kama escape route ya ile issue ya kamati ya nishati na madini hivi. Ukinitaja na mimi nakutaja! Kwa wale mlioshiriki ngumi za kitoto: Sema suu!