Zitto, Mnyika wafichua upotoshaji bajeti ya Mkulo; Spika Makinda akiri, amtaka Mkulo arekebishe

ili mtu afukuzwe kazi lazima yule alie muajiri

aone makosa ya na ayaone kuwa ni makosa makubwa vya kutosha kumfukuza kazi....


swali hapa ni je

kikwete anayaona makosa ya mkulo?????????/

na kama anayaona je anakubali ni makosa ya kutosha kumfukuza kazi?????????

jibu ni je kikwete amefukuza kazi wangapi wenye makosa ya kufukuzwa kazi?????????
 
Mimi nilishasaema zamani tu hapa kwamba hizi bajeti zetu ni viinimacho tu.

Kwanza figures haziko sahihi, pili sina hakika hata kama figures sahihi zinajulikana, tatu hata kama figures zingekuwa sahihi, budget inakuja kupigwa viraka vya vi mini budgets na amendments za wizara mara nyingi sana kiasi cha kuondoa maana ya bajeti.

Ndiyo maana nikisikia "kikao cha bajeti" naona mchezo wa kuigiza ushaanza.
 
Kwanza nilishitushwa na kujibu budget kwa Zitto kwa muda mfupi kiasi hichi... pili nikasema hawa watu si wana nafasi jumatatu. Mwisho kumbe kweli ameleta mazagazaga.

Zitto mbunge wangu ninayekuamini sana acha papara... budget ya serikali imeandaliwa na watu wengi... it is possible to get fault on it... lakini be sure... kwamba wenzako waliangalia mengi zaidi. yako... so be carefully...huna uwezo hata ungekuwa kipanga wa namna gani kuzidi vichwa wa wataalamu wengi... that is it... angali sasa tunajadili budget yako ya uongo na sio ya Mkulo.
 
Nakubaliana na chadema kwa marekebisho yote ila hapo kwenye posho noooooo watu wataishije wakati mishahara ni midogo leo ukiondoa posho watu watashindwa kumudu gharama za maisha.msishabikie siasa ukweli ndio huo ukiondoa posho uzidishe mshahara hilo sijaliona katika hoja zao wao wanalazimisha posho zfutwe halafu watu wakale wapiiii
 
umerudisha post iliyokwisha wekwa kijanja hakuna jipya hapa
wa hakuna kukiri
 
Nakubaliana na chadema kwa marekebisho yote ila hapo kwenye posho noooooo watu wataishije wakati mishahara ni midogo leo ukiondoa posho watu watashindwa kumudu gharama za maisha.msishabikie siasa ukweli ndio huo ukiondoa posho uzidishe mshahara hilo sijaliona katika hoja zao wao wanalazimisha posho zfutwe halafu watu wakale wapiiii

Kwani Private sector wanafanyaje?
Posho ya nini mtu kila akienda kwenye kikao?
Serikali iboreshe mishahara ya wafanyakazi na kuondoa huu ujinga wa posha za vikao !
 
Hawezi kumfukuza kwani Kikwete naye ametoa ilani isiyotekelezeka.

NA tukiangalia ni mara ngapi Kikwete anawapa watu hasira kutokana na hotuba zake ambazo zinaleta manunguniko kila zinapotoka. Yeye ataona anachokifanya Mkulo ni sawa tu. Wasipo angalia vizuri huko tunapo kwenda watakuja kurushiana mingumi na wananchi. Huwezi kupanga bajeti bila ya kuwa na mtazamo wa hiyo bajeti.
 
Nakubaliana na chadema kwa marekebisho yote ila hapo kwenye posho noooooo watu wataishije wakati mishahara ni midogo leo ukiondoa posho watu watashindwa kumudu gharama za maisha.msishabikie siasa ukweli ndio huo ukiondoa posho uzidishe mshahara hilo sijaliona katika hoja zao wao wanalazimisha posho zfutwe halafu watu wakale wapiiii
Naona umedandia treni kwa mbele mkuu ,kwani si kila mtanzania au mfanyakazi anapata posho sijajua ni posho gani unayoitetea inayokusaidia kumudu maisha.KUMBUKA WENYE MISHAHARA MIKUBWA NA POSHO ZAO NI KUBWA.Kama sijakosea kinachosemwa ni Posho za vikao.
 
hii bajeti niliisikiliza nikajua kuna changa la macho je wewe unasaidiwa na nchi zaidi ya ishirini
na wabunge kwa upungufu wao wanapiga makofi kusaidiwa.serikali imekosa ubunifu wa vyazo vipya vya mapato
utekelezaji zero.

wameshindwa kuondoa rushwa polisi
Ina wapa matraffic deal la kupandisha rushwa


SERIKALI YA KITOTO HAINA UWEZO HATA WA KUFIKIRI!!!!!!!!!!
 
mkulo hajui hata kujumlisha na kutoa ..liupara tu ovyoooo..hii mara ya pili anakosea takwimu why asifukuzwe huyu...tazama mwenzie uhuru kenyetta alivyo smart.
 
Nakubaliana na chadema kwa marekebisho yote ila hapo kwenye posho noooooo watu wataishije wakati mishahara ni midogo leo ukiondoa posho watu watashindwa kumudu gharama za maisha.msishabikie siasa ukweli ndio huo ukiondoa posho uzidishe mshahara hilo sijaliona katika hoja zao wao wanalazimisha posho zfutwe halafu watu wakale wapiiii
Mbona kuna wafanyakazi wa serikali mfano walimu,hawapati posho lakini wanamudu maisha?
 
kwanza kabisa inabidi aachie ngazi kwa kutufanya wajinga
ana tudanganya danganya tu
hayuko makini kabisa alafu ndio ameaminiwa kupewa wizara nyeti hivyo
ina maana ccm hamna watu makini
 
The analysis synopsis from Zitto is good. It is bad that our media even the news papers they just wrote what he said without cross referencing the actual document. Hakuna hata media house moja iliyopitia hiyo bajeti na kutoa challenge!
 
Back
Top Bottom