Zitto kugombea urais 2015?

Status
Not open for further replies.
When you look at the previous contender for the presidence from CDM you would KNOW THAT 'Zitto Kabwe' doesn't come close....nimekumbuka bado 'HAJAKUA'
 
Naitamani sana hiyo siku atakayochukua form na wazee wa chadema wasimuwekee nongwa. Zitto hakika anamvuto na pia mkimcheki anaonesha nia ya dhati, yapaswa wote tumuunge mkono, na hiyo itakuwa ni nusura ya chadema.otherwise mkijichanganya akagombea out of CDM basi chadema itabaki kuwa kama NCCR ilivyo kwa sasa.

Zitto please tunakuombea uchukue form. kura yangu itakuwa ya kwanza

Lakini tafadhali akishindwa asikubali National Unity Government with whatever Won the Election or Loose the Election
 
Yeah Kwa Sasa ajaribu kujisafisha watu wengi yaani wananchi hawana imani nae sababu ya kuwa kama Camelion he change faces and color; huku US tulikuwa na Mkutano kwenye Mji Mmoja watu wote walipempenda sana Zitto walisema akisimama kama Chadema angepata kura za hata Neutral People ambao Wameegemea CCM; lakini recently kila mtu amebadilisha Mantiki yao hawana imani nae nadhani bado ana tittle tu kwasababu bado yuko Chadema; kama akienda kama NCCR au CCM then that's the END of him politically... kwasababu ni kijana then aje huku awe college prof.
 
Kaka mie uzalendo mbele chama chochote kikitoa point yenye mlengo mzuri kitaifa mie huwa nipo pamoja naye.ukileta negative atitude usitegemee kuwa nitakuunga mkono never. Unajua kwa siasa ya bongo chadema ikiendelea kumuweka mbele mbowe na slaa chama kitakufa wala sio muda mrefu, ndio maana nasupport Zitto achiwe mzigo.Zitto sijawahi kumuona kwenye movement za kuhamasisha vurugu kuonesha kuwa yupo kizalendo zaidi. Na ukichek Zitto ndiye aliyeipaisha chadema hilo liko wazi.
Hii ngonjera yenu kutoka CCM kwa akina Edward Lowasa na na Rostam Aziz kuwapangeni humu INAPENDEZA KWELI; hebu ongezeni juhudi kidogo kwenye hili jukumu jipya la MAFISADI kujaribu upatu wao nako huku CDM.

Endeleeni kidogo katika hili sie wengine tunawaazimeni masikio kwa kampeni hii mpya iliyoshindwa kabla haijaanza!!
 
CHADEMA wala hawako kwenye kutafuta MGOMBEA URAIS maana wako kibao mno na wenye sifa kemkem na wala hatuna muda na Political Turn-Coats au Kinyonga kama huyo na majaribu ya Rostam Aziz na Lowasa kujitafutia hifadhi kwake huku CDM mara baada ya wao kukiua CCM kwa ufisadi wao.

Nasema mjadala wetu hivi sasa ni kuhusu Katiba Mpya na Tume Huru ya Uchaguzi na wala si haya mambo sijui eti Kabwe mara nani ...
 
Naitamani sana hiyo siku atakayochukua form na wazee wa chadema wasimuwekee nongwa. Zitto hakika anamvuto na pia mkimcheki anaonesha nia ya dhati, yapaswa wote tumuunge mkono, na hiyo itakuwa ni nusura ya chadema.otherwise mkijichanganya akagombea out of CDM basi chadema itabaki kuwa kama NCCR ilivyo kwa sasa.

Zitto please tunakuombea uchukue form. kura yangu itakuwa ya kwanza

Mikakati yenu tunaijua imekula kwenu
 
Kama katiba itakuwa hii ya sasa mtajisumbua kujadili vitu ambavyo havipo. Sina hakika kama takuwa amefikisha miaka 40 iliyopo kwenye katiba labda 2020

Umri utamzuia kwa vile Katiba inatamka ni lazima awe na miaka 40 au zaidi. Ajiandae kwa 2020.
 
Ashkum si matusi ila wale wote mnaomuunga mkono zitto akili zenu zina matatizo kidogo huyu jamaa hana hata chembe ya uzalendo ni mtu anayetafuta tu nafasi ya kufanya ufisadi,NI MWIZI NA MSALITI WA TAIFA TU HANA TOFAUTI NA ROSTAM NA LOWASA.
 
mawasiliano ya zitto na usalama wa taifa na rostam aziz yabainika..mwanahalisi
 
Zitto hawezi kuwa mgombea Urais wa CHADEMA kwenye uchaguzi wa 2015 kwa sababu hizi zifuatazo:

1. Zitto amezaliwa September 24, 1976. Hivyo, mwaka 2015 atakuwa ametimiza miaka 39 Inshallah. Katiba inasema mgombea Urais Tanzania awe na si chini ya miaka 40.

2. Zitto amechafuka ndani ya CHADEMA kama Lowassa alivyochafuka ndani ya CCM. Wakati CCM wanaweza kumchagua Lowassa kuwa mgombea wao wa Urais 2015 kutokana na upumbavu wao, CHADEMA si wapumbavu.

3. Bado Watanzania wanamhitaji na kumwamini DK. WILLIBROD SLAA. Pamoja na kuwa DK. SLAA mwenyewe hana mpango wa kugombea 2015, wito wa Watanzania utakuwa ni mkubwa sana na nadhani ataitikia wito huo.

4. Hata yeye Zitto anajua kuwa hana nafasi ya kuwa mgombea Urais wa CHADEMA, hata kama DK. SLAA akiamua hagombei. Amejiharibia mwenyewe kwa uhusiano wake wa kifisadi na Rostam Aziz na watawala wa serikalini.

5. Zitto akiwa mgombea Urais wa CHADEMA, Watanzania wengi wataamua kutopiga kura au kumpigia kura mgombea Urais wa CCM.
 
ZITO ni kijana msomi, ana uwezo wa kujenga hoja.

Sasa tatizo ni mambo na habari za kukinzana kuhusu migongano ndani ya CHADEMA. Hata wanachama na wananchi wana mashaka.

Inabidi ZITO ajijenge na ajenge imani kwa Wanachama na Wananchi.

Aachane na mambo ya Dowans, NSSF na mambo mengine yanayomchafua. Inatakiwa aweke msimamo wazi na ausimamie.

Huo ni ushauri wangu tu, kadri mtakavyoona inafaa Wananchi...


Zitto hatatoka CHADEMA HATA ANGEFANYAJE, KWANZA NI KIRUSI NDANI YA CHADEMA KWA KUWA ANAENDELEZA VURUGU TU. HUKO BAVICHA NAKO TUTAMCHOMOA PAMOJA NA KUJIPANGA KWAKE.
AJIBU KWANZA USWAHIBA WAKE NA USALAMA WA TAIFA, ROSTAM AZIZ, NA MAFISADI WENGINE. HAWEZI KUSAMBARATISHA CDM HATA AKIFANYAJE. ATACHEMKA VIBAYA SANA. TUSUBIRINI.
 
ZITTO ZUBEIR KABWE 1.umri utakuwa haujafika 2.akili zake hazijakaa sawa(dish limecheza)n.k.lakini zaidi ya yote nasema kama baba wa Tz alivyosema kwa mkwere,ZITTO HAJAKOMAA!Sio 2015 tu miaka yote ijayo Zitto hafai kuwa rais wa tz,
 
Wakuu! Kuna tetesi ZITTO ameanza kujipanga [network and financial] ndani na nje ya CDM, kugombea uraisi 2015.
kama kweli zitto atasimama nafikiri ccm itapata wakati mgumu sana 2015,na mimi kama kijana nitamuunga mkono kwa ailimia 100 coz cdm kinafahamika kuwa ni chama cha vijana so nitashangaa sana CDM watakapoweka wazee tena kugombea uraisi au yule kasisi wao ambaye atakuwa anakimbilia miaka 70 kipindi hicho,ni vizuri zitto akaanza kujipanga mapema na ombi langu wan cdm wasimuekee zengwe kwani itafanya wanachama kuanza kukosa imani na chama
 
Zitto hawezi kuwa mgombea Urais wa CHADEMA kwenye uchaguzi wa 2015 kwa sababu hizi zifuatazo:

1. Zitto amezaliwa September 24, 1976. Hivyo, mwaka 2015 atakuwa ametimiza miaka 39 Inshallah. Katiba inasema mgombea Urais Tanzania awe na si chini ya miaka 40.

2. Zitto amechafuka ndani ya CHADEMA kama Lowassa alivyochafuka ndani ya CCM. Wakati CCM wanaweza kumchagua Lowassa kuwa mgombea wao wa Urais 2015 kutokana na upumbavu wao, CHADEMA si wapumbavu.

3. Bado Watanzania wanamhitaji na kumwamini DK. WILLIBROD SLAA. Pamoja na kuwa DK. SLAA mwenyewe hana mpango wa kugombea 2015, wito wa Watanzania utakuwa ni mkubwa sana na nadhani ataitikia wito huo.

4. Hata yeye Zitto anajua kuwa hana nafasi ya kuwa mgombea Urais wa CHADEMA, hata kama DK. SLAA akiamua hagombei. Amejiharibia mwenyewe kwa uhusiano wake wa kifisadi na Rostam Aziz na watawala wa serikalini.

5. Zitto akiwa mgombea Urais wa CHADEMA, Watanzania wengi wataamua kutopiga kura au kumpigia kura mgombea Urais wa CCM.


Mkuu Post Yako ilikuwa inatosha kabisa Kufunga Huu Mjadala na Mods kuiweka kapuni hii topic maana hili suala limeshazungumziwa mara Nyingi ila nadhani ni Mkakati wa CCM kumuweka Zitto katika nafasi ya Kunyukwa ili ionekane hapendwi na CHADEMA

Mods Funga huu Umbeya
 
kama kweli zitto atasimama nafikiri ccm itapata wakati mgumu sana 2015,na mimi kama kijana nitamuunga mkono kwa ailimia 100 coz cdm kinafahamika kuwa ni chama cha vijana so nitashangaa sana CDM watakapoweka wazee tena kugombea uraisi au yule kasisi wao ambaye atakuwa anakimbilia miaka 70 kipindi hicho,ni vizuri zitto akaanza kujipanga mapema na ombi langu wan cdm wasimuekee zengwe kwani itafanya wanachama kuanza kukosa imani na chama

Kashaga mumchukue tu mkamtumie kwa namna itakavyowapendeza. Hatuna matumizi nae. Watanzania hawamhitaji. Anaweza kufaa mkimtumia kwa nafasi ya Domokaya (atakuwa amechoka by then), au chili ngapi. Huko hatakuwa bugudha kwa waTz.

Asanteni kwa kuona talenti.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom