Mimi mawazoyangu, pamoja na Democrasia kuna utaratibu wa kufuata. Hakuna anaye zuiwa kutoa maoni yake kwenye kikao. Lakini tukifikia kutumia vyombo vya habari kufikishan ujumbe kwa kiongozi wako au unao waongoza sidhani kama tutafika.
Nilazima kila chama kicheze mpila kama timu moja tunasemana na kurekebishana tuukiwa peke yetu lakini tukiwa nje lazima tuonyeshe mshikamano la sivyo tutampa adui tena adui mbaya anaye tutafuta ili atushinde. Hata katika familia kuna utaratibu wa kutoa maoni haiwezekani baba au mama akikosea tumuaibishe mbele ya uma siyo maadili yetu.
Hata mimi nikijana lakini nadhani sisi vijana tunayo matatizo ya jinsi ya kuwasilisha mambo, damu huchemka sana na matokeo yake hukuta tumeharibu vitu kabla ya wakati wake.
Sasa huyu Davidi kama alitaka uwenyekiti angeangalia katiba inasemaje na muda ungefika angepeleka hojayake na kuchaguliwa.Katiba lazima ifuatwe la sivyo hata nchi haiwezi kutawalika kama kila mtu akifanya anavyotaka kwa kisingizio eti anao uhuru wa kutoa maoni
Nilazima kila chama kicheze mpila kama timu moja tunasemana na kurekebishana tuukiwa peke yetu lakini tukiwa nje lazima tuonyeshe mshikamano la sivyo tutampa adui tena adui mbaya anaye tutafuta ili atushinde. Hata katika familia kuna utaratibu wa kutoa maoni haiwezekani baba au mama akikosea tumuaibishe mbele ya uma siyo maadili yetu.
Hata mimi nikijana lakini nadhani sisi vijana tunayo matatizo ya jinsi ya kuwasilisha mambo, damu huchemka sana na matokeo yake hukuta tumeharibu vitu kabla ya wakati wake.
Sasa huyu Davidi kama alitaka uwenyekiti angeangalia katiba inasemaje na muda ungefika angepeleka hojayake na kuchaguliwa.Katiba lazima ifuatwe la sivyo hata nchi haiwezi kutawalika kama kila mtu akifanya anavyotaka kwa kisingizio eti anao uhuru wa kutoa maoni