Zitto, Kafulila, Kitila Mkumbo, Hussein Bashe na akina Ben Saanane waweza Kuanzisha chama kingine?

Binafsi siamini katika ubaguzi wa namna yeyote ile,hata ya wazee.
naamini kwamba chama makini ni mchanganyiko wa mawazo wa watu wa rika zote..
naamini kuwa wazee wana hekima ya kupima mambo kwa kina na vijana wana ambitions nyingi za kufanikiwa haraka haraka...
mchangayiko wa haya mawili huzaa kitu kizuri.
yaliyotokea nccr mageuzi hatuwezi kuyahusisha na wazee kwani nina imani kikao kilichomfukuza hakikuwa na idadi kubwa ya wzee ukilinganisha na vijana....
kwa mantiki hiyo nasema kuwa kusema eti chama cha vijana tu ndo bora ama cha wazee tu ndo kibovu si sahihi.
tu
tuwe na busara na kuvumiliana ndipo tutajenga taifa imara,tamaa ya madaraka na mali inaweza kutupotezea watu makini.
 
swala sio haki hapa
swala ni je ana sifa za mpaka watu wenye akili washauri agombee urais?
ni tofauti ya mitizamo.....
kama wewe unamuona Lema anaweza kufaa kugombea urais.....basi case closed...
sitaweza bishana na wewe.....
Sijasema Lema ana uwezo wa kugombea urais, mimi niko hapa kwa maslahi ya JF, period!

Kwamba tunagalagazana kwa hoja na si vinginevyo, pia wengine wanaipenda JF kwa sababu ya its neutrality from members like some of us.
 
Hawana hizo merits, ndo maana nitawashangaa, kwanza hawako kwenye politics, and so therefore mfano wako ni irrelevant.

Wewe ulizungumza kama vile hawana haki ya kumshauri agombee urais...

Ndo maana nikakwambia ni haki ya mtu yeyote kumshauri mtu yeyote, however within the political boundaries, ama na kiduku?

Jmushi kwa ligi!

Wapi aliposema hawana haki? Hebu panukuu tupaone
 
Kama tuko kwenye ndoa ,mmojawapo anatoa ya ndani nje ya ndoa,je tuseme huo ni uhuru wa kufikiri ?
Mara nyingi ukiona hivyo kuna mawili;-
1.Huyo anayebwabwaja nje ana lake jambo analolitafuta na kwa kufanya hivyo anataka kulihalalisha,inawezekana ikawa kwa uzuri au ubaya au ubinafsi.

2.Huko ndani ya ndoa hakuna nafasi(uhuru)wa kuongea .Ni kama mpira unaojazwa hewa ,ikizidi,itapasua mpira na maana yake hewa itatoka.

Mkuu,

Hivi unafahamu hizo siri za NCCR zinazotajwa kuzungumzwa na Kafulila nje ya vikao vya chama hadi kuonekana anavujisha siri za chama? Au ndio kama mambo ya serikali kutaka kuwaziba midomo wafanyakazi wake wanaotoa siri za ubadhirifu wa mali ya umma?
 
Sipati picha huo Uhuru wa maoni wa vijana kwenye chama...

Zitto anaibuka Mtanzania kudai Mbowe ni dikteta..

Mbowe anaibuka Tanzania Daima kumponda Zitto mroho wa madaraka..

Ben anaibukia Mwananchi kumnanga Dr Slaa ataki kuachia u-katibu wa chama..

Sugu nae anaibukia RaiaMwema kumchana Baregu ana mawazo ya kizee..

Mnyika anaibukia Itv kumshambulia Mpendazoe sijui kafanya nini..

Litakuwa bonge la chama..
 
Sipati picha huo Uhuru wa maoni wa vijana kwenye chama...

Zitto anaibuka Mtanzania kudai Mbowe ni dikteta..

Mbowe anaibuka Tanzania Daima kumponda Zitto mroho wa madaraka..

Ben anaibukia Mwananchi kumnanga Dr Slaa ataki kuachia u-katibu wa chama..

Sugu nae anaibukia RaiaMwema kumchana Baregu ana mawazo ya kizee..

Mnyika anaibukia Itv kumshambulia Mpendazoe sijui kafanya nini..

Litakuwa bonge la chama..
Hivi unajua kwamba Makamu wa Rais wa Marekani Bwana. Joe Biden aliwahi kusema hadharani kwamba Bwana. Baraka Obama hafai kuwa Rais wa Marekani kutokana na kutokuwa na uzowefu wa sera za mambo ya nje? Sasa Biden alivunja nidhamu ya chama chake?
 
Jmushi kwa ligi!

Wapi aliposema hawana haki? Hebu panukuu tupaone
Kusema kwamba hawakustahiki kumshauri kuwa agombee urais...

Alichotakiwa kusema, ni sababu za kwanini hafai kuwa rais, kwasababu wanaomshauri wana sababu zao,the cha uhimu ni kupinga hizo sababu na si kusema eti ni upuuzi kumshauri hivyo,hapo tu...

Na wewe unapenda nini?
 
Kwahiyo mtu anaweza kuwa makini lakini akijiita makini, huo umakini unatoweka? ama sijakupata vizuri mwalimu?



Mtu makini hawezi hata siku moja kujiamini kwa asilimia 100 kuwa yeye ni makini, kwa sababu umakini ni subjective na aliye makini kweli analijua hilo vizuri sana Utakapomkuta mtu anaanza kujisifu kuwa yeye ni makini basi huyo si makini.

Kwa hiyo akijiita makini inamaanisha kuwa hakuwahi kuwa makini
 
Katika harakati za siasa za kweli za vijana wa tanzania Lema ni msaliti.maneno yake kuhusu kafulila kufukuzwa uanachama yamedhihirisha kuwa uwezo wake wa kufikiri ni mdogo.

Sidhani kama ni sahihi kusema Lema ni msaliti. Lema ametoa maoni yake kwa jinsi anavyoliona tatizo la kafulila. Na wewe una maoni yako kwa mtazamo wako jinsi unavyoliona tatizo la kafulila.

Je wale wenye mtazamo sawa na Lema wakikuita msaliti watakuwa wako sawa? na hapa lazima ujue kwamba wako wengi tu wenye mtazamo kama huo.
 
Wana Jamvi,

Huu ni muda ambao taifa liko katika Tabu na msiba mzito.Nadhani tungetoa mawazo ya jinsi ya kuwanusuru na kuwasaidia wahanga wa Mafuriko zaidi.Hata hivyo siwezi kuacha thread hii ipite hivi hivi

Kwanza,sijawahi na sijui jambo hili la kuanzisha chama cha siasa ( ingawa kikatiba ninayo haki ya kushiriki kwa ukamilifu kwenye jambo kama hili)

-Vijana na wazee wanazo haki za kuanzisha chama cha siasa kikatiba ( sio dhambi)...Katiba inawaruhusu,ni haki yao ya kidemokrasia.

Kilichopo ni kwamba tuipiganie demokrasia katika dimension zote.Tuzunguke nyuzi 360 kidemokrasia.Kwa bahati mbaya sana wiki mbili hizi zimekuwa ni wiki zenye machungu kwa wafuasi na wenye dhamira ya dhati ya kuona upinzani imara Tanzania.Yaliyotokea CUF,NCCR-Mageuzi nyote mnayajua.Hizi sio dalili njema

Tunarudia makosa yale ya aibu yaliyofanyika ndani ya miaka 20 ya mfumo wa vyama vingi ambayo wazee wetu walikuwa vinara katika kuwanyima watanzania fursa ya kuwa na Upinzani imara kutokana na selfish Ambitions. Naendelea kutoa wito kwa vijana bila kujali itikadi za vyama vyetu,tusikubali wazee waamue hatima ya kizazi chetu na kijacho.Wao walikuwa na sehemu yao na muda wao ambao kwa bahati mbaya sana walifeli na kuchangia kwa kiasi kikubwa hali tuliyo nayo leo.Tutakaposheherkea miaka 50 ijayo tutajibu maswali mengi sana kutoka kwa watoto wetu.

Siwabagui wazee,ila wanatakiwa kuwa mfano wa matumizi sahihi ya Busara hasa pale wanapotoa maamuzi yenye athari au maslahi kwa vijana.Opposition parties must hold themselves responsible if they fail to play their proper role in a democracy

Opposition had failed to occupy the moral high ground and to provide a viable alternative to the ruling party at this critical hour when Tanzanians are sick and tired of more of the same.

Tuangalie njia za kuindoa CCM madarakani kwa kuimarisha mifumo ya kidemokrasia kwa nia ya dhati kabisa ndani ya vyama vyetu.Tusiige mabaya ya CCM,na ili tuwe na moral authority ya kuinyoshea kidole CCM basi tuimarishe taasisi zetu.Tusiige uzoefu wa CCM katika kutumia raslimali vibaya,kuminya demokrasia kifedhuli kwa njia hiyo tutakuwa tunazidi kuisaidia CCM kuwatawala watanzania

Unlike the Chama cha mapinduzi (CCM), I believe at least for now CHADEMA cannot be accused either of blatant misuse of public office to intimidate, harass, and deny perceived opponents of their liberty and democratic rights or of excessive corruption and financial inducements. These are all patented rights of the CCM

Signanture yangu hapa chini iwatie nguvu wale wazalendo wa kwel waliotanguliza maslahi ya watanzania.Kwa wanamapinduzi wa kweli tuko pamoja katika harakati hizi za ukombozi wa kweli
 
Kusema kwamba hawakustahiki kumshauri kuwa agombee urais...

Alichotakiwa kusema, ni sababu za kwanini hafai kuwa rais, kwasababu wanaomshauri wana sababu zao,the cha uhimu ni kupinga hizo sababu na si kusema eti ni upuuzi kumshauri hivyo,hapo tu...

Na wewe unapenda nini?

Wapi amesema 'hawakustahiki' kwenye nukuu hii?

sasa hapo wafuasi wake si watu wa kuonewa huruma kwa kweli???
yaani kuna watu wanafikia mpaka kushauri Lema agombee urais mwaka 2015..
hii nchi ina vituko vipya kila siku

*Mimi napenda ligi
 
Kwahiyo mtu anaweza kuwa makini lakini akijiita makini, huo umakini unatoweka? ama sijakupata vizuri mwalimu?

**** inawezekana haelewi lugha**** za watu Makini** Hata Messi *** Huwa anajiita mkali**** Sisi watu makini*** huwa tuna**jitambua kama ni ** makini.
 
Mtu makini hawezi hata siku moja kujiamini kwa asilimia 100 kuwa yeye ni makini, kwa sababu umakini ni subjective na aliye makini kweli analijua hilo vizuri sana Utakapomkuta mtu anaanza kujisifu kuwa yeye ni makini basi huyo si makini.

Kwa hiyo akijiita makini inamaanisha kuwa hakuwahi kuwa makini

Mtu anazaliwa akiwa makini ama umakini unajengeka taratibu hatua kwa hatua kadri mtu anavyokutana na masuala mbalimbali?
 
mimi bado nahisi suala la Kafulila lina
'hadithi nyingine' tusioijua......
nafikiri kuna kitu zaidi ya tunayoyaona.......hasa pale walipompa onyo Mkosamali

kufukuzwa kwa Kafulila kuna mikono mingi zaidi ya NCCR tu....

uswahilini wana msemo unasema 'mkomesheni akome'.....

kwani sasa hivi si inafaamika?

Ndugu yangu MS,
Bado haijafahamika.
Nimeumia sana kuona Kafulila kafukuzwa NCCR. Nilitamani sana kuona anafanikiwa katika mission yake ili "vitendawili" viteguke. Lakini naamini ya Kafulila ni kuvunjika kwa koleo!

Baadhi ya mistari toka sredi yangu ya Msaada kwenye Kona......https://www.jamiiforums.com/tanzania-2010-2015/71656-msaada-kwenye-kona.html
 
Kwa mtazamo wangu huwa nasema tatizo la Tanzania ni watanzania wenyewe, hasa Wazee. Mwalimu Kitila alinishambulia sana akasema mie mbaguzi wa umri.
ndiyo wewe ni mbaguzi kwa kigezo cha umri dhidi ya wazee
 
Uwezi kujiita u makini, wakati uasilia wako kimatendo, na kimawazo unaonyesha sio makini! Umakini unapimwa na waliokuzunguka na sio wewe binafsi!

Kama waliokuzunguka ndio wanaopima umakini wako, bila shaka wanakuambia kwamba wewe ni makini. Na hiyo inatokana na jinsi unavyofanya mambo yako hadi hao waliokuzunguka wakauona umakini wako. Sasa katika hali kama hiyo kwanini mtu makini asijiite kwamba yeye ni makini kwakuwa tayari ushahidi upo kwamba yeye ni makini?
 
Back
Top Bottom