Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,955
- 95,277
Hapana Mkuu umesahau sehemu,,ni rais wa mwandigaLabda Rais wa Matovu Kigoma
Cc:mcubic
Cc:MOTOCHINI
Hapana Mkuu umesahau sehemu,,ni rais wa mwandigaLabda Rais wa Matovu Kigoma
NAUNGA MKONO HOJA , ANATOSHA SANA ZZK KWA URAIS 2025zitto ndo rais wangu 2025.....
Huyo ndiye Omwami Ruyaga nuru ya ACTMpenda sifa, mtu wa kujisikia, anayejiona yeye tu ndio anajua hawezi kuwa raisi wa JMT labda mkuu wa mkoa wa Kigoma
Labda awe rais wa wahaNchi haiwezi kuongozwa na msaliti.Ni hatari sana!
Cc:MOTOCHINIHaya ni maoni yangu, nasisitiza haya ni maoni yangu
Mbunge wa Kigoma Mjini ndg Zitto Kabwe kupitia chama cha ACT-Wazalendo, ndiye anastahili kuvaa viatu vya JPM 2025.
Analysis zote nilizofanya zinaonyesha huyu kijana makini anafaa kabisa kuipeleka nchi kuwa taifa la uchumi wa kati duniani, tuache unafki huyu jamaa kafanya mengi yenye tija kwa taifa hili, hakuwahi kutanguliza maslahi ya chama siku zote ametanguliza maslahi ya taifa Tanzania.
Ndie mbunge pekee ambaye hachukui posho bungeni.
Kuna sababu nyingi zinazombeba na kumstahilisha kuwa rais ajaye baada ya JPM, pamoja na yote yaliyowahi kusemwa juu yake ila nimebaki kumuona kama kioo cha uongozi Tanzania.
Zitto Kabwe is my president in 2025
Kina mbunge mmoja kama taa ya treni iendayo kigomaLabda Rais wa Kigoma Tanzania haiwezi kuongozwa na mpenda sifa Zitto by the way hivi chama chake kina wabunge wangapi labda tuanzie hapo.
Wote sifa yao ni moja ya uchumia tumboMakonda na Zitto ni Kichuguu na Mlima Kilimanjaro.!
Mzalendo wa mwandigaN mzalendo sana lakini tatizo sie watz tumekariri chama hicho ndo kitakacho muangushaa
Labda ndani ya familia yako inawezekana,haya ndio maajabu mtu unaota ndoto ukiwa Wima.Haya ni maoni yangu, nasisitiza haya ni maoni yangu
Mbunge wa Kigoma Mjini ndg Zitto Kabwe kupitia chama cha ACT-Wazalendo, ndiye anastahili kuvaa viatu vya JPM 2025.
Analysis zote nilizofanya zinaonyesha huyu kijana makini anafaa kabisa kuipeleka nchi kuwa taifa la uchumi wa kati duniani, tuache unafki huyu jamaa kafanya mengi yenye tija kwa taifa hili, hakuwahi kutanguliza maslahi ya chama siku zote ametanguliza maslahi ya taifa Tanzania.
Ndie mbunge pekee ambaye hachukui posho bungeni.
Kuna sababu nyingi zinazombeba na kumstahilisha kuwa rais ajaye baada ya JPM, pamoja na yote yaliyowahi kusemwa juu yake ila nimebaki kumuona kama kioo cha uongozi Tanzania.
Zitto Kabwe is my president in 2025
Haya ni maoni yangu, nasisitiza haya ni maoni yangu
Mbunge wa Kigoma Mjini ndg Zitto Kabwe kupitia chama cha ACT-Wazalendo, ndiye anastahili kuvaa viatu vya JPM 2025.
Analysis zote nilizofanya zinaonyesha huyu kijana makini anafaa kabisa kuipeleka nchi kuwa taifa la uchumi wa kati duniani, tuache unafki huyu jamaa kafanya mengi yenye tija kwa taifa hili, hakuwahi kutanguliza maslahi ya chama siku zote ametanguliza maslahi ya taifa Tanzania.
Ndie mbunge pekee ambaye hachukui posho bungeni.
Kuna sababu nyingi zinazombeba na kumstahilisha kuwa rais ajaye baada ya JPM, pamoja na yote yaliyowahi kusemwa juu yake ila nimebaki kumuona kama kioo cha uongozi Tanzania.
Zitto Kabwe is my president in 2025
Haya ni maoni yangu, nasisitiza haya ni maoni yangu
Mbunge wa Kigoma Mjini ndg Zitto Kabwe kupitia chama cha ACT-Wazalendo, ndiye anastahili kuvaa viatu vya JPM 2025.
Analysis zote nilizofanya zinaonyesha huyu kijana makini anafaa kabisa kuipeleka nchi kuwa taifa la uchumi wa kati duniani, tuache unafki huyu jamaa kafanya mengi yenye tija kwa taifa hili, hakuwahi kutanguliza maslahi ya chama siku zote ametanguliza maslahi ya taifa Tanzania.
Ndie mbunge pekee ambaye hachukui posho bungeni.
Kuna sababu nyingi zinazombeba na kumstahilisha kuwa rais ajaye baada ya JPM, pamoja na yote yaliyowahi kusemwa juu yake ila nimebaki kumuona kama kioo cha uongozi Tanzania.
Zitto Kabwe is my president in 2025