Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,498
- 113,604
Wanabodi
Mimi mwanabodi mwenzetu Paskali Mayalla, nimerudi hewani kupitia kipindi kipya cha TV kiitwacho "KMT" ( Kwa Maslahi ya Taifa), ambacho kinarushwa na Kituo cha Televisheni cha Channel Ten, kila siku Jumapili saa 3:00 usiku na marudio kila siku za Jumatano Saa 9:30 jioni.
View: https://youtu.be/ZJIKhnZCf04?si=5AQk8igiLzsUr0Ee
Jumapili hii, manguli wa Siasa hapa nchini, wakiongozwa na Mwenyekiti wa Chama cha DP, Mzee John Memosa Cheyo, " Mzee wa Mapesa", Mwanasiasa Mkongwe wa CCM toka enzi za Nyerere, Mzee Stephen Wasira, Mwanasiasa Kijana Machachari, na Kiongozi Mkuu, wa chama cha ACT Wazalendo, Zitto Zuberi Kabwe, Dorothy Semu wa ACT Wazalendo, Mrajis Azasi Zanzibar, Ahmed Khalid Abdullah, na Profesa wa Siasa, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Prof. Bernadeta Killian, kuunguruma kwenye Vox Pop, ya kipindi cha KMT cha leo on Channel Ten, kuzungumzia mustakabali wa siasa zetu kuelekea 2025
View: https://youtu.be/4xNWWz3kNLg?si=34IxqjI2gidc1Ul_
View: https://youtu.be/UR6qPKMfZXw?si=rcKwROx3mQ7lfB6V
View: https://youtu.be/RPpcwlnNJ0A?si=tl2ijqUepC2xhqfn
View: https://youtu.be/5kIid09GCqQ?si=g9-ypBQST35xYXOh
View: https://youtu.be/GviVxNkF0Zs?si=soyp0kMA6Wgfu45z
View: https://youtu.be/YN16dYs2QU8?si=FqsPdQH_b2kS53AX
View: https://youtu.be/NnLDbbLitfY?si=qYk-VKw2wd4Z79SU
Usikose!.
Paskali
Mimi mwanabodi mwenzetu Paskali Mayalla, nimerudi hewani kupitia kipindi kipya cha TV kiitwacho "KMT" ( Kwa Maslahi ya Taifa), ambacho kinarushwa na Kituo cha Televisheni cha Channel Ten, kila siku Jumapili saa 3:00 usiku na marudio kila siku za Jumatano Saa 9:30 jioni.
View: https://youtu.be/ZJIKhnZCf04?si=5AQk8igiLzsUr0Ee
Jumapili hii, manguli wa Siasa hapa nchini, wakiongozwa na Mwenyekiti wa Chama cha DP, Mzee John Memosa Cheyo, " Mzee wa Mapesa", Mwanasiasa Mkongwe wa CCM toka enzi za Nyerere, Mzee Stephen Wasira, Mwanasiasa Kijana Machachari, na Kiongozi Mkuu, wa chama cha ACT Wazalendo, Zitto Zuberi Kabwe, Dorothy Semu wa ACT Wazalendo, Mrajis Azasi Zanzibar, Ahmed Khalid Abdullah, na Profesa wa Siasa, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Prof. Bernadeta Killian, kuunguruma kwenye Vox Pop, ya kipindi cha KMT cha leo on Channel Ten, kuzungumzia mustakabali wa siasa zetu kuelekea 2025
View: https://youtu.be/4xNWWz3kNLg?si=34IxqjI2gidc1Ul_
View: https://youtu.be/UR6qPKMfZXw?si=rcKwROx3mQ7lfB6V
View: https://youtu.be/RPpcwlnNJ0A?si=tl2ijqUepC2xhqfn
View: https://youtu.be/5kIid09GCqQ?si=g9-ypBQST35xYXOh
View: https://youtu.be/GviVxNkF0Zs?si=soyp0kMA6Wgfu45z
View: https://youtu.be/YN16dYs2QU8?si=FqsPdQH_b2kS53AX
View: https://youtu.be/NnLDbbLitfY?si=qYk-VKw2wd4Z79SU
Usikose!.
Paskali