Hivi kweli Kura za maoni za JF ndio unataka kufanya reference, kwanza tambua JF kuna Multple ID's zaidi ya 11,000 NtuNTEMEKE peke yake ana ID's 19, inawezekana wewe umempigia kura Dr Slaa hata mara 10...Watanzania tupo zaidi milioni 40 na kura za humu JF ni kura 300 uoni kama kichekesho mkuu.
www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/298724-kura-ya-maoni-zitto-vs-dr-slaa-29.html
Last edited by a moderator: