Zitto Kabwe, Meles Zenawi Role Model Politician

Status
Not open for further replies.
Iwe kweli au si kweli
kitendo cha Zitto kumlilia sana Meles Zenawi
ni kitendo cha kushangaza mno...

Zenawi alikuwa dikteta period...

Zitto amekuwa Zitto kwa sababu ya demokrasia na uhuru ambao wapinzani wa Zenawi
hawana.......

Sasa Zitto ame over look yoote hayo na kujifanya 'analia saana' kwa kifo cha dikteta wa Ethiopia
tena wazi wazi bila kificho.......ni very alarming na very 'ugly ' to see that....

Zitto deep down ni mwana demokrasia?
au deep down ni Dikteta kama Zenawi,Kagame na wengine?

What if akawa Rais na kuwa Dikteta tena bila 'akili za kina Kagame'???

akawa na akili za JK na udikteta juu?????????
The Boss pamoja na kukugongea 'like', lakini umenikuna sana na ukweli huu katika RED ambao wengi hawaujui. Zenawi alikuwa 'silent dictator' na amefanya mabaya sana nchini mwake ingawa ZZK anamtukuza. Namshangaa sana ZZK kama anataka kuwa dikteta kama Zenawi in future, Thanx The Boss!
 
Last edited by a moderator:
Wanabodi,

Zitto Kabwe mbunge wa Jimbo la Kigoma Kaskazini, Chadema na Naibu Katibu Mkuu (Bara), Naibu Kiongozi Mkuu wa Kambi ya Upinzani Bungeni na Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Mashirika ya Umma.

Kwa mujibu watu wa karibu wa Zitto Kabwe, yupo tayari kuishi na kufa akiwa kwenye mapambano kama ya aliyekuwa Waziri Mkuu wa Ethiopia, Meles Zenawi, ambaye ni kipenzi chake alianza mapambano na aliyekuwa Mfalme wa Ethiopia Haile Mariamu, akiwa na umri wa miaka 19 na hatimaye kufanikisha mapambano yake ya kuingia Ikulu akiwa na umri wa miaka 36.

Wafuasi wa Zitto Kabwe wametoa onyo kwa Mbowe ambaye ni Mwenyekiti wa Taifa wa chama hicho kuwa mkakati wowote mchafu wa kutaka kumkwamisha Zitto kugombea urais wakati ndiye anayekubalika utakigharimu chama hicho kabla ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2015 wafuasi wa Zitto ambao wengi ni kutoka mikoa ya Mwanza, Shinyanga, Kigoma, Dar es Salaam, Morogoro, Kagera, Tanga, Mtwara, Lindi, Singida, Pwani, Ruvuma, wanapinga mkakati wa Mbowe na Dr Slaa kutaka kumzuia endapo watathubutu kumzuia basi wataamua kuwapigia kura wagombea wa vyama vingine lakini si Chadema.

Zitto Kabwe inasemekana ndiye ambaye anaungwa mkono na karibu vijana wote wa nchi hii walioko ndani na nje ya Chadema, na hasa wanafunzi wa vyuo vikuu nchini, Itakumbukwa mwaka 2010 wakati wa kampeni za ubunge jimboni kwake Zitto Kabwe aliwaambia wapiga kura wake wampe muhula wa mwisho mwaka 2015 hatagombea tena ubunge bali atagombea urais ili aweze kuwatumikia Watanzania wote kwa ujumla wao.

.
Kafulila alidangaywa hivi hivi kabla hakujikuta akilia kilio cha kwikwi kama mtoto aliyefiwa na wazazi wote kwa wakati mmoja.
.
 
Pasco mi ngoja nimdokeze tatizo lake Ritz na motive yake:
1: uchonganishi kati ya Zitto na mwenyekiti wake Mbowe
2: kuivuruga cdm

3: kumchonganisha Zitto na wana cdm

Mkuu Ritz, sina tatizo na member yoyote humu jukwaani kutoa maoni/opinion yake kuhusu jambo lolote, but to be honest, natatizwa sana na threads zenye "ill motives behind!"

Naomba usome tuu mwenyewe ulichoandika, then ujiulize, what is the motive behind huu "uzandiki" kwenye hii thread alafu ujiulize kama is "it fair?", jijibu mwenyewe then next time, please don't!. (Ukijifanya hujaona what is wrong, let me know nitakuonyesha!).

Kwa ushauri tuu, "what goes around comes around!" and "for every force directed towards a specific direction, , there is equal and opposite direction"!. Kumbuka your motive behind this thread kwa ZZK, could act on your kwa chochote unachokipanga!.

All the best!.

Pasco.
 
Kumbe maneno mengi kumbe nia yenu ni kumchonganisha Zitto na Mbowe!

Kwa mujibu kutoka ndani ya Chadema katika harakati za kumkwamisha Zitto, Mbowe aliamua kufanya mabadiliko ya baraza la mawaziri kivuli yaliyolenga kuwaondoa katika wizara nyeti wale wote wanaomtii Zitto.
 
.
Kafulila alidangaywa hivi hivi kabla hakujikuta akilia kilio cha kwikwi kama mtoto aliyefiwa na wazazi wote kwa wakati mmoja.
.

lema alitoa kauli humu jf ya kumkashifu kafulila leo lema anategemea posho za M4C ili aishi.kafulila ni mbunge kama kawaida!mambo ya siasa.
 
Wanabodi,

Zitto Kabwe mbunge wa Jimbo la Kigoma Kaskazini, Chadema na Naibu Katibu Mkuu (Bara), Naibu Kiongozi Mkuu wa Kambi ya Upinzani Bungeni na Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Mashirika ya Umma.

Kwa mujibu watu wa karibu wa Zitto Kabwe, yupo tayari kuishi na kufa akiwa kwenye mapambano kama ya aliyekuwa Waziri Mkuu wa Ethiopia, Meles Zenawi, ambaye ni kipenzi chake alianza mapambano na aliyekuwa Mfalme wa Ethiopia Haile Mariamu, akiwa na umri wa miaka 19 na hatimaye kufanikisha mapambano yake ya kuingia Ikulu akiwa na umri wa miaka 36.

Wafuasi wa Zitto Kabwe wametoa onyo kwa Mbowe ambaye ni Mwenyekiti wa Taifa wa chama hicho kuwa mkakati wowote mchafu wa kutaka kumkwamisha Zitto kugombea urais wakati ndiye anayekubalika utakigharimu chama hicho kabla ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2015 wafuasi wa Zitto ambao wengi ni kutoka mikoa ya Mwanza, Shinyanga, Kigoma, Dar es Salaam, Morogoro, Kagera, Tanga, Mtwara, Lindi, Singida, Pwani, Ruvuma, wanapinga mkakati wa Mbowe na Dr Slaa kutaka kumzuia endapo watathubutu kumzuia basi wataamua kuwapigia kura wagombea wa vyama vingine lakini si Chadema.

Zitto Kabwe inasemekana ndiye ambaye anaungwa mkono na karibu vijana wote wa nchi hii walioko ndani na nje ya Chadema, na hasa wanafunzi wa vyuo vikuu nchini, Itakumbukwa mwaka 2010 wakati wa kampeni za ubunge jimboni kwake Zitto Kabwe aliwaambia wapiga kura wake wampe muhula wa mwisho mwaka 2015 hatagombea tena ubunge bali atagombea urais ili aweze kuwatumikia Watanzania wote kwa ujumla wao.

Yaani unapoteza mda wako kwa kumwaga povu na kutuandikia stori yako uliyotunga kichwani,kazi kweli kweli
 
The Boss pamoja na kukugongea 'like', lakini umenikuna sana na ukweli huu katika RED ambao wengi hawaujui. Zenawi alikuwa 'silent dictator' na amefanya mabaya sana nchini mwake ingawa ZZK anamtukuza. Namshangaa sana ZZK kama anataka kuwa dikteta kama Zenawi in future, Thanx The Boss!

Zenawi alikuwa anapinga ukabila kama zitto anavyopinga uchagga ndani ya chadema.
 
Last edited by a moderator:
.....Kwa mujibu watu wa karibu wa Zitto Kabwe
Wewe sio mtu wa karibu umejuaje hizi habari...
Zito ni mpuuzi kama wewe...kama ni kenge basi amekosa mkia na anashindwa kuogerea ziwani...
Zito hawezi kua Raisi ila atakua RAHISI....
Hatuwezi kufanya makosa tena ya kuweka ikuru wasanii mkuu...fungua macho
Mwambie akaoe kwanza na kujifunza kuwa na familia...tukiona ameweza kumudu hayo which means atakua na miaka zaidi ya 10 tutamfikiria...
Naomba cha kuwasemea watu wakati ukweli nikua UNAWAKILISHA MAWAZO YAKO
KUA JASIRI NA KUSEMA ULILO NALO MOYONI...MBONA JF MAALA PAKE MKUU
Sasa yaniniunajifanya unanukuu Wafuasi wa Zitto...oohh wafuasi wa mboye..wewe jipange simama kama wewe watub tukusute then uendelee na maisha
TII KIU YAKO-CHADEMA-2015
 
Kuna mpasuko mwingine wa dhahiri ambayo unafukuta ndani ya Bavicha na Bawacha, kuna kambi tatu kubwa inayojumuisha Mbowe na Dr Slaa, na ile ya Zitto inayojumuisha Bavicha pamoja na Bawacha ambapo kuna wafuasi wake wengi.

wafuasi wa zitto hawapo kilimanjaro,arusha na manyara tu.pande zingine zote ni viva zitto ila mbowe anajua hilo.
 
Wanabodi,

Zitto Kabwe mbunge wa Jimbo la Kigoma Kaskazini, Chadema na Naibu Katibu Mkuu (Bara), Naibu Kiongozi Mkuu wa Kambi ya Upinzani Bungeni na Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Mashirika ya Umma.

Kwa mujibu watu wa karibu wa Zitto Kabwe, yupo tayari kuishi na kufa akiwa kwenye mapambano kama ya aliyekuwa Waziri Mkuu wa Ethiopia, Meles Zenawi, ambaye ni kipenzi chake alianza mapambano na aliyekuwa Mfalme wa Ethiopia Haile Mariamu, akiwa na umri wa miaka 19 na hatimaye kufanikisha mapambano yake ya kuingia Ikulu akiwa na umri wa miaka 36.

Wafuasi wa Zitto Kabwe wametoa onyo kwa Mbowe ambaye ni Mwenyekiti wa Taifa wa chama hicho kuwa mkakati wowote mchafu wa kutaka kumkwamisha Zitto kugombea urais wakati ndiye anayekubalika utakigharimu chama hicho kabla ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2015 wafuasi wa Zitto ambao wengi ni kutoka mikoa ya Mwanza, Shinyanga, Kigoma, Dar es Salaam, Morogoro, Kagera, Tanga, Mtwara, Lindi, Singida, Pwani, Ruvuma, wanapinga mkakati wa Mbowe na Dr Slaa kutaka kumzuia endapo watathubutu kumzuia basi wataamua kuwapigia kura wagombea wa vyama vingine lakini si Chadema.

Zitto Kabwe inasemekana ndiye ambaye anaungwa mkono na karibu vijana wote wa nchi hii walioko ndani na nje ya Chadema, na hasa wanafunzi wa vyuo vikuu nchini, Itakumbukwa mwaka 2010 wakati wa kampeni za ubunge jimboni kwake Zitto Kabwe aliwaambia wapiga kura wake wampe muhula wa mwisho mwaka 2015 hatagombea tena ubunge bali atagombea urais ili aweze kuwatumikia Watanzania wote kwa ujumla wao.
Faraji .huyo akili ndogo
 
Mkuu Zaha,
Nashukuru sana kwa kutoa elimu ya uraia humu JF.
 
Last edited by a moderator:
Kwa kweli Zitto Kabwe ni kiongozi makini ambaye anafaa kuwa rais wa Tanzania lakini sidhani kama Mbowe na Dokta Slaa watakubali.
 
Wanabodi,

Zitto Kabwe mbunge wa Jimbo la Kigoma Kaskazini, Chadema na Naibu Katibu Mkuu (Bara), Naibu Kiongozi Mkuu wa Kambi ya Upinzani Bungeni na Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Mashirika ya Umma.

Kwa mujibu watu wa karibu wa Zitto Kabwe, yupo tayari kuishi na kufa akiwa kwenye mapambano kama ya aliyekuwa Waziri Mkuu wa Ethiopia, Meles Zenawi, ambaye ni kipenzi chake alianza mapambano na aliyekuwa Mfalme wa Ethiopia Haile Mariamu, akiwa na umri wa miaka 19 na hatimaye kufanikisha mapambano yake ya kuingia Ikulu akiwa na umri wa miaka 36.

Wafuasi wa Zitto Kabwe wametoa onyo kwa Mbowe ambaye ni Mwenyekiti wa Taifa wa chama hicho kuwa mkakati wowote mchafu wa kutaka kumkwamisha Zitto kugombea urais wakati ndiye anayekubalika utakigharimu chama hicho kabla ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2015 wafuasi wa Zitto ambao wengi ni kutoka mikoa ya Mwanza, Shinyanga, Kigoma, Dar es Salaam, Morogoro, Kagera, Tanga, Mtwara, Lindi, Singida, Pwani, Ruvuma, wanapinga mkakati wa Mbowe na Dr Slaa kutaka kumzuia endapo watathubutu kumzuia basi wataamua kuwapigia kura wagombea wa vyama vingine lakini si Chadema.

Zitto Kabwe inasemekana ndiye ambaye anaungwa mkono na karibu vijana wote wa nchi hii walioko ndani na nje ya Chadema, na hasa wanafunzi wa vyuo vikuu nchini, Itakumbukwa mwaka 2010 wakati wa kampeni za ubunge jimboni kwake Zitto Kabwe aliwaambia wapiga kura wake wampe muhula wa mwisho mwaka 2015 hatagombea tena ubunge bali atagombea urais ili aweze kuwatumikia Watanzania wote kwa ujumla wao.
kuna watu roho zitawauma sana kusikia hivyo
zzk for tz 2015
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom