MTAZAMO
JF-Expert Member
- Feb 8, 2011
- 19,643
- 33,427
Mkuu Ritz,
nyie ndio mnazidi kumharibia Zitto. Kwanini wana CCM ndio mnaoongoza kumtetea? Wewe ni kada wa CCM sasa unataka Zitto awe rais kuliko unavyotaka kwa mgombea wa CCM? Hizi siasa mngewaachia wale wazee na nyie mjikite kusafisha chama chenu kiuzike kwa watanzania 2015 maana at that time hata Jeshi halitaweza kuwasaidia kubaki ktk Dola!!!
nyie ndio mnazidi kumharibia Zitto. Kwanini wana CCM ndio mnaoongoza kumtetea? Wewe ni kada wa CCM sasa unataka Zitto awe rais kuliko unavyotaka kwa mgombea wa CCM? Hizi siasa mngewaachia wale wazee na nyie mjikite kusafisha chama chenu kiuzike kwa watanzania 2015 maana at that time hata Jeshi halitaweza kuwasaidia kubaki ktk Dola!!!