Zitto Kabwe mbunge wa kwanza kutumia iPad Bungeni

magamba wapi????
yataiga na kila mmoja atakuja na yake

Mi nacho hofia sasa wameona hiyo teknolojia sasa watafanya ufisadi katika manunuzi na kuziagiza nyiiiiingi na wahuni watapigia bao hapo hapo.
Subili watasema mkakati wa chama Tawala ni kuhakikisha kila mwalimu wa shule ya msingi anatumia Ipad kufundishia ili walimu wasipate TB kutokana na vumbi la chaki hivyo serikali imeamua kuagiza Ipad za kutosha kwa ajili ya walimu wa ngazi ya chini watu kwa kwa kwa kwa mjengoni
 
TBC walivyo-na wivu wamepachika Ticker tape(ipo pale STAGNANT) ambayo inafanya tusigundue ni brand gani kama ni I-pad au ni pad ya aina nyingine...
Wee Marin na Zacharia na wewe Chamlomo... TOENI SASAHIVI wananchi waone mapinduzi ya kweli bungeni...
 
Lets hope technical defects haitatokea au some bugs, viruses au screen kufreeze at the most important time...., sometimes you can not beat the old means (kusoma kwenye makaratasi); it can never go wrong......
 
CCM waipishe njia Chadema sasa, maana wana leta kiwingu katika kasi ya kushughulikia maendeleo ya watanzania CDM wameonyesha wana nia na wanaweza Big up Zitto Zuberi Kabwe, hiyo pia inaonyesha kuwa uliipitia hotuba yako siyo kuwa unasoma ulichopewa bila kujua kilicho kama wapinzani wenu wakuu CCM, Mkulo anasema Bajeti imeandaliwa na wataalam waliobobea sijui aliwapata wapi mwaka huu!
 
Wengine tumezaliwa kabla ya komputer (BBC) tuambie hiyo ipad ni kifaa gani!
 
Idiocracy....by you

Hunatofauti na watu wa mipasho. You know not of whom you speak. I found Zitto's speech to be highly agreeable and most sensible. I however, do not condone nor support the practice of dwelling in trivia. And as such, I find this thread to be immaterial to the interests and wellbeing of the people of Tanzania. I therefore suggest that you dont waste your and what is infinitely worse, my time.

K, Out.
 
Wengine tumezaliwa kabla ya komputer (BBC) tuambie hiyo ipad ni kifaa gani!

ipad.jpg

apple-ipad-reader.jpg


PAD kwa kawaida ni COMPUTER ndogo sana ambazo ni kubwa zaidi ya CELL PHONE na ndogo zaidi ya LAPTOP. Ni kifaa ambacho screen yake inafanya kila kitu. Yaani kwenye screen unaandika, kukuza maandishi, kufuta, kuangalia film, kusoma kitabu, nk. Screen yake ni kioo kigumu sana ambacho kina zuia mikwaruzo. Nilishaona moja jamaa akitumia msumali kuikwaruza ila alipomaliza, screen haikuwa na hata mchubuko mmoja...

Wengine wana JOKE kuwa miaka ijayo, PADS zitakuwa na maajabu zaidi.... Angalia ujumbe wangu ujao.......
 
TBC walivyo-na wivu wamepachika Ticker tape(ipo pale STAGNANT) ambayo inafanya tusigundue ni brand gani kama ni I-pad au ni pad ya aina nyingine...
Wee Marin na Zacharia na wewe Chamlomo... TOENI SASAHIVI wananchi waone mapinduzi ya kweli bungeni...

Leo mbavu zangu, mimi nilipoona longolongo za TBC nikahamia Star TV wao walikuwa hadi wanaizoom, yaaani touch screen mpaka raha, halafu Zitto amerock ile mbaya magamba hawajaamini.Hiyo presentation yaani ni supurb aisee, dogo anajiamini mbaya.Hawa ndo walitakiwa wawe serikali kwa kweli.
 
hahaaaaa yaani spika anaweza kumfuta ubunge Zitto kwa kutumia chombo cha kiintelijensia bungeni...hahahaaaa hivi hii hawajaitolea muongozo kweli ..maana huyu mama bana
 
Kwa wanaouliza IPAD nini, basi hapa mnaweza kuona hata FUTURE yake ambayo jamaa wengine wanaona itakuwa hivi miaka ijayo. Hapa zaidi wameonyesha Iphone ila kuna sehemu mtaona Iphone na IPAD zinafanya kazi pamoja.

Kwa ufupi ni kuwa wanaamini IPAD na IPHONE zitatumika karibu kwa kila kitu...... Zitto kaliona hilo na kaamua kuwa wa kwanza bungeni.

 
Last edited by a moderator:
SPIKA atauliza Zitto hivi hako kakidude ni ka nini kako kama ka kompyuta

Jamani tuoneeni huruma na mbavu zetu lol! yaani nimecheka hadi naonekana mwehu hapa job :happy: :happy: :happy: :happy: :happy: :happy:
 
Leo mbavu zangu, mimi nilipoona longolongo za TBC nikahamia Star TV wao walikuwa hadi wanaizoom, yaaani touch screen mpaka raha, halafu Zitto amerock ile mbaya magamba hawajaamini.Hiyo presentation yaani ni supurb aisee, dogo anajiamini mbaya.Hawa ndo walitakiwa wawe serikali kwa kweli.

CHADEMA wanajua san tu..ndo maana wanaiba kura..sasa JK atataka na yeye wamuwekee mihotuba yake ya kurasa 6,000 kwenye ipad...hahaaaaa ..akosee ku click kumbe ka click kwenye icon ya video ndo mpofuke macho mambo mtakayo yaona ...hahaaaa maana JK mi simuamini sana
 

Hii ni tec kwa wote siyo yake pekee.so sifa za nini?



Katika zama hizi za sayansi na teknologia, na hasa pale viongozi wetu wanaposisitiza matumizi ya teknohama, Zitto kafanya vizuri kuonyesha teknolojia inaweza kutumika vipi.

Pia kama alivyosema ndugu Sikonge, kutumia teknolijia kutalinda misitu yetu hivyo basi kuhifadhi vyanzo vya maji na ubora wa maji kwa ujumla (kutokana na mmomonyoko wa udongo) habitat na biodiversity; na pia kupunguza athari za mabadiliko ya tabia nchi.
 
Back
Top Bottom