ManiTek TV
JF-Expert Member
- Jun 3, 2011
- 410
- 159
Sidhani Kama kuna waziri wa fedha popote Duniani ambaye amesoma Budget kwa iPad, labda tungejifunza angalau kwa juu juu maana na historia ya Bajeti kabla kuzungumza Waziri naye afanye hivyo. Si secretary of treasure wa USA (Timothy Gathner) wala Chancellor of exchequer wa UK (Goerge Osborne) waliofanya hivyo, kuna sababu ya msingi (traditionally) kwamba bajeti hupelekwa bungeni kwenye ule mkoba maalum.