Zitto Kabwe wa CHADEMA ambaye anasoma bajeti mbadala ya upinzani sasa hivi Bungeni amekuwa Mbunge wa kwanza wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kutumia teknolojia ya kisasa kufanya presentation kwenye Bunge kwa kutumia kifaa cha iPad kusoma hotuba yake.
Amemshinda Waziri wa Fedha, Mustafa Mkulo, aliyetumia makaratasi na wabunge wengine wote. Nampa hongera Zitto kwa kwenda sambamba na taknolojia ya kisasa na kupunguza matumizi ya karatasi hivyo kuokoa miti isiendelee kukatwa.
Amemshinda Waziri wa Fedha, Mustafa Mkulo, aliyetumia makaratasi na wabunge wengine wote. Nampa hongera Zitto kwa kwenda sambamba na taknolojia ya kisasa na kupunguza matumizi ya karatasi hivyo kuokoa miti isiendelee kukatwa.