Zitto Kabwe aomba Bunge lisimamishe shughuli zote juu ya Jairo!

Bunge La Tanzaniani rubber stamp parliament...wao ni kupitisha tuu,na hata wakihoji wanahoji kwa maslahi binafsi siyo ya taifa...Lets see what they will do this time around!
 
  • Thanks
Reactions: FJM
500millions zilizochangishwa zilitumikaje? Maofisa waliondaa bajeti na kwenda bungeni kuiwasilisha hawakuchukua imprest ktk idara zao?

Bongolala hapa umeonyesha wewe ni akilimingi na si bongolala
 
we, bunge linanifurahisha vile! Wabunge wengi wameunga hoja binafsi ya zitto kuhusu kujadili report ya mkaguzi mkuu wa serikali iliyomsafisha jairo.

Naibu spika hakumumunya maneno, hakuleta siasa yoyote, akakubaliana na wabunge kuunga mkono hoja ya zitto. Kuna yule mzee wa miongozo bungeni (jina limenitoka) ndie alikuwa karibu kabisa na kuharibu hoja ya zitto kwa visheria na vikanuni vyake visivyo na mbele na nyuma.

Ah, nimemkumbuka kwa jina moja tu, lukuvi. Ukweli upo wazi: Kama jairo ni msafi basi bunge, hasa hasa beatrice shelukindo amwombe radhi jairo.

Na wabunge inaonekana hawapo tayari kusurrender kwa serikali -- mpaka report iletwe bungeni ukaguzi ufanyike ujadiliwe na wajiridhishe. Very fast developments on this public-government-perliament saga.


subiri waatarudi na wanaotaka kuijadili wasiotaka kuijadili hoja ya jairo utashangaa umati wa watu utakavyosema ndioooooooo ushangae ndio hao waliokuwa wakipinga wakaendelea na bajeti akuna wahuni wanafiki na washenzi kama wabunge wa ccm braza's
 
zitto amekubaliwa...na sasa amepewa nafasi kuelezea kiupana zaidi...zitto twende kazi sasa...na sasa hivi yupo live anaongea
 
Kamati inakutana na baadhi ya wabunge wanakutana makundi na katika mgahawa nje ya Bunge huku kila mmoja akionyesha chukizo kwa maamuzi haya ya Katibu Mkuu Kiongozi na wengine wanaona kuna mchezo mchafu wamefanyiwa na pia inaonekaNA DHAHIRI kuna Nguvu kubwa imetumika katika maamuzi haya
 
Mh. Zitto anamshauri waziri mkuu Pinda ajiuzulu kutokana na Katibu Mkuu kiongozi kumpoka madaraka yake
 
Kuna kila Dalili maamuzi watakayokuja nayo ni ya funika kombe mwanaharamu apite. Nasubiri updates pia kwa mwanaJF anayesaka nini hasa kinachoendelea katika Mkutano huo
 
Anayetakiwa kung'atuka ni Mhe. Pinda na Baraza lote la Mawaziri kwa kutojua kwamba ni KAWAIDA KWA IDARA HUSIKA KUCHANGIA FEDHA KUFANIKISHA JAMBO.

NAOMBA NIKUPE UMOD MPAKA JIONI TU PLS NADHANI UNA MWELEKEO MZURI KWENYE SIASA NAOMBA TAFUTA KADI YACxxxxxA
 
mkuu huwa nakuaminiaga sana unapoleta taarifa zako hapa kwa kina ila leo umechemka, em jipange na ufafanue vizuri watu waelewe
<br />
<br />
Dah nisamehe mkuu nashughulika na jairo hapa wizarani kila anakoingia niko nyuma yake wakati huo nachungulia bungeni!

Jairo sasa hivi katoka hapa wizarani anaelekea magogoni kwa baba Riz1
 
Mh zito, kauli ya Katibu mkuu kiongozi ni dharau kwa bunge, kwa kuwa suala hili lilianzia bungeni
 
Ila Lukuvi nae anatumia masaburi kutoa hoja sasa hoja nzito kama hii anataka kuizima

tumejipanga 2015 Lukuvi harudi bungeni na hii miongozo yake ya kuwabeba mafisadi tumeirekodi tutaitumia 2015 kumwangamiza yeye si anajidai Mbunge wa Maisha Isimani Moto atauona 2015
 
Chonde chonde Mods ungeni hizi threads za Jairo bungeni

Zikuingwa baada ya Huu mjadala hakuna neno...Ila kama mlikuwa hamjui leo hii kikitokea chochote Tanzania wenye access na Internet wanawahi JF sasa ukiifungia HOT News kwenye thread nyingine tunapunguza uharaka na kiburi cha JF thats why hatuoni hasara kuchukua jukumu hili kama kuna HOT issue kwa faida ya wanamtandao wote
 
Back
Top Bottom