SEAL Team 6
JF-Expert Member
- Jun 10, 2011
- 655
- 118
Mbunge Shelukindo hawezi kuomba radhi kwa sababu ushahidi anao ( BARUA ILIYOSOMWA BUNGENI ) kama ni hivyo Luhanjo akane kama kweli barua iliyosomwa Bungeni siyo halali!. Tumewazoea IKULU kusafishana pale panapohitajika watu kuwajibishana. Tunaomba CAG afanye uchunguzi kama kweli Wanyama Hai -twiga walisafirishwa nje ya nchi, kisha Luhanjo atoe ripoti kwa Wananchi.