Maswali ambayo hata auditor hajayajibu ama kwa makusudi au kwa kusahau,
Wizara hiyo ina watumishi wangapi waliokwenda Dodoma ambao wanatafutiwa mabilioni hayo ya fedha?
Je, si kweli kwamba watumishi waliokwenda Dodoma wote walishaomba fedha zao za kujikimu?
Itabidi afanye kama swahiba wake (wa zamani) EL. AjiuzuluWaziri mkuu pia anapaswa aliombe bunge msamaha kwa kurupuka na kupayuka bungeni.
Aidha waziri mkuu amuombe Jairo msamaha kwa kauli aliyoitoa bungeni zidi yake(kwani alishamtia hatiani).
Pia mh.Godbless Lema aombe muongozo ikiwa mtu mkubwa kama waziri mkuu atakurupuka na kulielezea bunge kwa kujiamini mambo ambayo hayana ukweli na yanayolenga kuvunjiana heshima bunge linapaswa kufanya nini.
Mwisho rais apime mwenyewe uzito wa tatizo ikiwa watendaji wake wakuu wanatofautiana kiasi hiki afanye nini.
Mh. @zittokabwe anaomba #BungeTz lisimamishe shughuli zote za serikali maana nafasi ya bunge imepokwa!Makofi mengi sana. Kumekuchaaaa #Jairo
Tatizo sio kumwadabisha Jairo,aliwaona komedi kwa sababu kila kilichotokea hakikuwa sahihi kwake,sasa afanye nini? hana hatia.Pinda alizungumza bila ushahidi wowote,alitumia maneno ya wanasiasa kumhukumu jairo.<br />
<br />
Kama hana kosa hakuna maamuzi magumu Ya nini? kwa manufaa ya Nani?...CCM inabaki chama bora chenye misingi imara na kinachosimamia tararibu na kanuni.
Hapana............ hii ya leo inabidi iwe stand alone hadi tukio zima la bunge lipite. hakuna kufunika kombe hapaChonde chonde Mods ungeni hizi threads za Jairo bungeni