The Boss JF-Expert Member Aug 18, 2009 49,110 115,886 Oct 25, 2011 #1 mwenye info zaidi amwage.. anaumwa nini???????? ---------- UPDATES: Taarifa toka hospitali zinadai anaendelea kuchekiwa, kichwa ndicho kinamsumbua na ana 'bacterial infection'
mwenye info zaidi amwage.. anaumwa nini???????? ---------- UPDATES: Taarifa toka hospitali zinadai anaendelea kuchekiwa, kichwa ndicho kinamsumbua na ana 'bacterial infection'
Inkoskaz JF-Expert Member Nov 6, 2010 6,372 2,374 Oct 25, 2011 #2 mh..hata kama kaugua kama ada ya binadamu itatia shaka kutokana na harakati zake na mtiririko wa matukio yaliowakumba frontliners
mh..hata kama kaugua kama ada ya binadamu itatia shaka kutokana na harakati zake na mtiririko wa matukio yaliowakumba frontliners
Mwana Mpotevu Platinum Member Sep 7, 2011 3,295 2,500 Oct 25, 2011 #4 naye ni binadamu kuugua kitu cha kawaida, sio lazima mtu hata akiumwa mafua tu na kulazwa basi iwe habari kuuuuubwaaaa
naye ni binadamu kuugua kitu cha kawaida, sio lazima mtu hata akiumwa mafua tu na kulazwa basi iwe habari kuuuuubwaaaa
The Boss JF-Expert Member Aug 18, 2009 49,110 115,886 Oct 25, 2011 Thread starter #5 mwana mpotevu said: naye ni binadamu kuugua kitu cha kawaida, sio lazima mtu hata akiumwa mafua tu na kulazwa basi iwe habari kuuuuubwaaaa Click to expand... hakuna aliesema sio kawaida ndo maana tunataka more infos.. hata Mwakyembe inaweza kuwa ni kawaida but kwanza more infos.....
mwana mpotevu said: naye ni binadamu kuugua kitu cha kawaida, sio lazima mtu hata akiumwa mafua tu na kulazwa basi iwe habari kuuuuubwaaaa Click to expand... hakuna aliesema sio kawaida ndo maana tunataka more infos.. hata Mwakyembe inaweza kuwa ni kawaida but kwanza more infos.....
Crashwise JF-Expert Member Oct 23, 2007 22,227 8,735 Oct 25, 2011 #6 wasije wakawa wame-mwakyembe......maana anavyofatilia lileswala la CHC kila siku yuko Ernest & Young Company kupata ripoti.... Nakutakia afya njema kamanda
wasije wakawa wame-mwakyembe......maana anavyofatilia lileswala la CHC kila siku yuko Ernest & Young Company kupata ripoti.... Nakutakia afya njema kamanda
M Mtemakuni JF-Expert Member Sep 18, 2010 258 22 Oct 25, 2011 #8 Get well soon Mr Zitto...!! tuendeleze mapambano...
Narubongo JF-Expert Member Nov 3, 2010 2,768 2,750 Oct 25, 2011 #9 FYI: @zittokabwe is hospitalized at Aga Khan Hosp in Dar. We wish him a quick recovery nimeiona muda mrefu sana. kama ni kweli pole sana kaka tupo pamoja kimaombi
FYI: @zittokabwe is hospitalized at Aga Khan Hosp in Dar. We wish him a quick recovery nimeiona muda mrefu sana. kama ni kweli pole sana kaka tupo pamoja kimaombi
The Boss JF-Expert Member Aug 18, 2009 49,110 115,886 Oct 25, 2011 Thread starter #11 sasa huo mkutano kamati yake ya bunge leo umeendeshwaje??????
Noti mpya tz JF-Expert Member Mar 23, 2011 974 244 Oct 25, 2011 #14 The Boss said: sasa huo mkutano kamati yake ya bunge leo umeendeshwaje?????? Click to expand... Jamani wapendwa tuwekeeni details nini kimemsibu? anaumwa nn? kaanza lini? mwenye infos pls tuwekee
The Boss said: sasa huo mkutano kamati yake ya bunge leo umeendeshwaje?????? Click to expand... Jamani wapendwa tuwekeeni details nini kimemsibu? anaumwa nn? kaanza lini? mwenye infos pls tuwekee
The Boss JF-Expert Member Aug 18, 2009 49,110 115,886 Oct 25, 2011 Thread starter #15 Noti mpya tz said: Jamani wapendwa tuwekeeni details nini kimemsibu? anaumwa nn? kaanza lini? mwenye infos pls tuwekee Click to expand... na mimi nimeuliza infos pia
Noti mpya tz said: Jamani wapendwa tuwekeeni details nini kimemsibu? anaumwa nn? kaanza lini? mwenye infos pls tuwekee Click to expand... na mimi nimeuliza infos pia
NAIPENDA TANZAN Member May 26, 2011 84 17 Oct 25, 2011 #18 Pole sana mh. ZITTO, kama chanzo cha habri hii kiko sahihi.
Manyanza JF-Expert Member Nov 4, 2010 9,485 14,353 Oct 25, 2011 #20 jana tu alikuwa ame ita press conference kuelezea ufisadi wa 21 bilions, wa wizara ya Maliasili. Imekuwaje tena badugu???
jana tu alikuwa ame ita press conference kuelezea ufisadi wa 21 bilions, wa wizara ya Maliasili. Imekuwaje tena badugu???