yamindinda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2011
- 1,581
- 1,318
Pamoja na yote kwanza kabisa nikupongeze Zitto kwa kuweza kuonesha kwa mifano nini vyama vya upinzani mnatakaiwa kufanya....Chadema wajifunze kutoka kwako
ACT ni CCM-B wanapotezea tuu.Pamoja na yote kwanza kabisa nikupongeze Zitto kwa kuweza kuonesha kwa mifano nini vyama vya upinzani mnatakaiwa kufanya....Chadema wajifunze kutoka kwako
Hujawahi ona barabara zinapigwa deki, au umezoea za tope.Kwa hiyo ujanja ni kuzungusha mikono na kupiga deki barabara?
Pigeni deki zaidi 2020. Ile ya 2015 haikutosha.Hujawahi ona barabara zinapigwa deki, au umezoea za tope.
Kwa hiyo mkipiga dili uchumi unapanda na msipopiga dili uchumi unadorora, inabidi tuwe na theories tofauti za uchumi kwa Tanzania.1) Barabara zote TANROADS na Tarura wanafanya labda Barabara za vichochoro, au kwenda kwenye SHAMBA LA MTU binafsi.
(2) mvua zimeanza kunyesha toka mwezi wa Tisa mwaka Jana watu wameshaivisha Mahindi na kulima tena awamu ya Pili njaa itoke wapi kama siyo uzembe wa MTU binafsi, asiyefanya kazi asile muda wa kupiga dili na michongo umeisha.
Mungu mwenyewe anatupigia deki barabara sembuse mwanadamu.Pigeni deki zaidi 2020. Ile ya 2015 haikutosha.
Na nyie rukeni na vichura kabisa na siyo push up tena.Pigeni deki zaidi 2020. Ile ya 2015 haikutosha.
Tena safari hii mzungushe mikono kwa mwendo kasi.Na nyie rukeni na vichura kabisa na siyo push up tena.
Mwombeni huyo mungu pia akarabati makao makuu pale ufipa. Yanazidi kupauka kila kukicha.Mungu mwenyewe anatupigia deki barabara sembuse mwanadamu.
nimerudia tena kusoma mada yako .....mkuu hii topic ni nzuri ila ni ndefu mno,na humu km unajua watu hawasomi vitu virefu,ungegawanya na kuleta vitu kidogo kidogo ungepata ushirikiano Zaidi,anyway,hongera kwa kuwa na mipango mizuri,mtu akisoma yote ataona dedication yenu ,labda cha kuongeza mkimaliza kata zenu,endeni na majimbo mengine kuongeza wapiga kura kwa strategy hio hio mliyoianza kwa majimbo yenu,mna muda mpaka 2020 kuwa na ongezeko la wapiga kura wenu....
good point.....nimerudia tena kusoma mada yako .....mkuu hii topic ni nzuri ila ni ndefu mno,na humu km unajua watu hawasomi vitu virefu,ungegawanya na kuleta vitu kidogo kidogo ungepata ushirikiano Zaidi,anyway,hongera kwa kuwa na mipango mizuri,mtu akisoma yote ataona dedication yenu ,labda cha kuongeza mkimaliza kata zenu,endeni na majimbo mengine kuongeza wapiga kura kwa strategy hio hio mliyoianza kwa majimbo yenu,mna muda mpaka 2020 kuwa na ongezeko la wapiga kura wenu....
Tupo kwenye era ya ku'work from home', hiyo ndio trend ya dunia kwa sasa, majengo makubwa yanayoglitter sio issue tena.Mwombeni huyo mungu pia akarabati makao makuu pale ufipa. Yanazidi kupauka kila kukicha.
Utachanganya lugha ili na wewe "uonekane" lakini ukweli ndio huo. Jengo la ufipa linahitaji angalau kupakwa rangi, ha ha ha.Tupo kwenye era ya ku'work from home', hiyo ndio trend ya dunia kwa sasa, majengo makubwa yanayoglitter sio issue tena.
Hakuna kiongozi wa Chadema anaweza kuandika ripoti kama hii mbali na kukaa na kulalamika.
Acha uvivu, soma alichoandika au sikiliza basi. Usiwe kama Mnusa makalio ya ChakubangaTherefore nini kifanyike
Wewe ni sawa na kicheche..una mbio kui gia shimoni. Waambie mazwazwa wako kwamba kodi za Halmashauri zirudi kwa halmashauri.Kajaza porojo atoe mfano wa ujiji ambako ACT wazalendo inasimamia halmashauri nini cha mfano kinachoonekana walichofanya hasa kwenye kipengele B kinachozungumzia hali ya maisha ya wananchi .Aongelee ACT ilivyotoa solution kwa wana ujiji kubadilisha hali zao za maisha