Steve Dii
JF-Expert Member
- Jun 25, 2007
- 6,402
- 1,256
Do people still take him serious?
Yes, why not?!!! https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/41140-kumradhi-mh-zitto-kabwe.html
Do people still take him serious?
Anatarajia kujaribu tena kuipigia debe mitambo ya Dowans. Kwa kuwa mgao umeshika kasi, basi atasema: "Siliniwaambia? Sasa kiko wapi?"
Atasema mtambo wa Dowans utamaliza tatizo kwani mashine zile bado ziko pale Ubungo badala ya kuamriwa kuondolewa -- ni kubonyeza tu button -- na lo! umeme huoooooo!!!!! hakuna mgao tena!!!!!
Natumai hatasema kwamba alikuwa right alipopigia debe ununuzi wa mitambo ya kifisadi ya *~Dowans.
Mkuu,
Hivi huyu kijana hana washauri? Kwa nini asiwaachie serikali wakahangaika na mizengwe yao ya umeme? Naona anafanya mchezo wa kununu kesi kama nilivyosikia kuwa kuna kabila fulani linapenda sana mchezo huo. Kama ningeweza kumshauri, ningemwambia afunge mdomo wake. Damage aliyoipata kwa kauli zake kuhusu Dowans ni kubwa sana kiasi kwamba hatakiwi kuanzisha mijadala mingine isiyokuwa na tija. Anyway, sikio la kufa....!
Jay,
Ungekuwa Bongo basi ungeonja machungu ya mgawo huu na ukajaribu kuunganisha 'siasa za umeme' zinazoendelea na kujua kuwa tunachezeana akili.
Hebu soma hapa:
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/497-siasa-hizi-za-umeme-zitatufikisha-pabaya.html
Sidhani kama nina la kuongeza zaidi!
Jay,
Ungekuwa Bongo basi ungeonja machungu ya mgawo huu na ukajaribu kuunganisha 'siasa za umeme' zinazoendelea na kujua kuwa tunachezeana akili.
Hebu soma hapa:
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/497-siasa-hizi-za-umeme-zitatufikisha-pabaya.html
Sidhani kama nina la kuongeza zaidi!
Miafrika bana...they are still struggling with electricity!! Shame on them.
Mhe, Zitto Kabwe (MB) atakuwa na Press Conference kesho Oktoba 15, mida ya saa 6 adhuhuri Cortyard Hotel - Dar es Salaam.
Press Conference hii itahusiana na Mgawo wa Umeme unaoendelea. Kwa waandishi mlio Dar tunatarajia mtatufahamisha kinachoendelea. Kama kawaida, JF itatuma mwakilishi wake kutufahamisha kilichojiri.
Stay tuned
Sidhani kama kuna jipya