Kama mwana kigoma Kaskazini, siumizi kichwa changu kufikiria atasema nini, ila nasubiri kusikia atasema nini, kisha nita-comment.
Cha muhim tu ajue, watu wanamachungu ya kukosa umeme, na wanamachungu sana na mafisadi waliosababisha hali hii.
Bora tuumie katika kipindi hiki, ila tukichukulie kama kipindi cha mpito, na kutafuta suluhisho la kudumu.
Kila la kheri Zitto katika mkutano wako.
Cha muhim tu ajue, watu wanamachungu ya kukosa umeme, na wanamachungu sana na mafisadi waliosababisha hali hii.
Bora tuumie katika kipindi hiki, ila tukichukulie kama kipindi cha mpito, na kutafuta suluhisho la kudumu.
Kila la kheri Zitto katika mkutano wako.