Zitto aongea na Power Breakfast ya Clouds FM

.....Saa nyingine tunakuwa tunaongelea mambo kwa ushabiki bila ya kuwa na vigezo vinavyopimika na jamii.
Mimi nimeuliza kwa nia ya kutaka kujua. Kwa kusaidia labda tujadili pointi ninazoainisha hapa chini:
1. Zitto kuwa Mwenyekiti wa kamati ya Bunge amechangia lipi au ameleta mabadiliko gani katika utendaji wa mashirika ya umma?
2. Katika Miaka takribani minne sasa katika Bunge ametoa michango yenye manufaa kwa nchi yetu?
3. Kama Kiongozi katika CHADEMA, Zitto amefanya nini katika kukiimarisha chama hicho na kukifanya kuwa chama madhubuti cha upinzani?

Naomba tena hoja yangu ya kutaka mchango wa huyu Mhe. Zitto katika mustakabali wa siasa na maendeleo ya nchi yetu. Naomba kutoa hoja.

Mh, you are too hard to please mkuu

Kila siku nasema kujadili zitto basi, lakini najikuta nishaingia tunduni

All the best
 
Waberoya na MTM, tuko pamoja,

Tatizo ni kwamba siasa za vinchi masikini kama sisi..tatizo kubwa ni kueleweka. Wananchi, collectively, we take too long to understand small things.

Harafu wakuu make no mistake..ukiona watu wanaongea saaana..ujue wana hofu. I can asure you, wengi wanaomponda Zitto wanafanya hivyo kwa hofu. Wanaogopa akihama inaweza kuwa mwisho wa upinzani. Hata kama siyo kweli. Ndo maana watu wanakuwa waoga na kujifanya kumponda.

Juzi tuliona Senator Liberman..alivyotoswa na Democrats..akaenda Independent...kachukua kiti..leo wako pamoja..ingawa hawakumsupport..jamani kipi kigeni Zitto anafanya?

Ana haki kabisa ya kumsupport Kafulila irrespective yuko chama gani..tatizo wengi wetu tunajua upinzani ni lazima uwe kwenye chama pinzani. Mfano leo nikisema namuunga mkono Mwakyembe..It doesnt mean kwamba naisupport CCM...hata CCM kuna watu wenye busara na moyo wa kulijenga taifa.

WOTE inabidi tuelewe..upinzani ni kwa ajili ya kuleta ALTERNATIVE IDEAS. Sasa kama Kafulila ana alternative ideas ambazo Zitto anaona zinafaa kwa wanakigoma... kwa nini asimuunge mkono? Harafu tuache unafiki..wengi tumemjua Zitto juzi juzi..lakini kuna watu kama akina Kafulila wametoka wote mbali..(by the way ni Kigoma mwisho wa Reli).....So lazima tujue uhusiano wao umeanzia wapi. Mimi kama mimi..sioni tatizo kabisa.

Kusema wazi kwamba CHADEMA ilikosea kumvua madaraka kafulila..Zitto, kakosea wapi? Sema..ni yale yale ambayo hatujazoea kukosoa system. Zitto anakuwa muwazi kwa yale asiyokubaliana nayo. Jamani why do we take too long kuelewa vitu simple kama hivi?

Watu wamemsema Zitto..mpaka inasikitisha..lakini ukiangalia ni wale wale...wanaokusupport leo mchana ukisema wanalotaka kulisikia..watakao kuzomea jioni..ukisema wasilotaka kulisikia. And thats a typical characteristic of politics in banana republic...

I just say, whatever he does..lakini Zitto ni true politician anayejua anachokifanya. We have never, I say it never..had a person in the calibre of Zitto. Haogopi kukwambia what he believes in, hata kama unaona maamuzi yake hayafai. And thats leadership!

Zitto you have my vote!

Masanja,
 
Narudisha mguu nyuma. Namsapoti Zitto kwa kujitahidi kuwa makini na juhudi zake kuwatuliza wadau wa siasa nchini ingawa najua kuna wengi (kwa sababu zao binafsi) wanapenda mgogoro uendelee.

Chadema jengeni chama imara. wekeni dira zinazotekelezeka mezani tuzichambue mziboreshe ili mkirudi kwetu 9wapiga kura) tuwape dhamana. Ktk kipindi hiki nadhani kuwepo na viongozi wa kujitolea kama jinsi akina biti titi na weledi wengine kuntu walivyojitolea ktk mchakato wa kusaka uhuru wa tanganyika kwa amani.

Uhuru wa kweli utapatikana tukuwaondoa hawa wakoloni weusi wananaotutawala sasa kwa njia ya kura (hata iwe kura tatu kwa moja).
 
Inawezekananaje amsurpot mwanahama wa chama kingine ashinde uchaguzi? Hiyo itakuwa kwa maslahi ya chama au binafsi?

Hili la Kafulila alijikanyaga. Halina mashiko. aseme tu anataka kumfuata huko NCCR.

kama alitaka kuhamia NCCR ameisha kosea, alitakiwa kumwambia Kafulila na mwenzake wamsubiri watoke wote na wanachama wao! lakini sasa akihama atakuwa yeye ndie mfuasi wa kafulila. hawezi kuihama CHADEMA
 
kama alitaka kuhamia NCCR ameisha kosea, alitakiwa kumwambia Kafulila na mwenzake wamsubiri watoke wote na wanachama wao! lakini sasa akihama atakuwa yeye ndie mfuasi wa kafulila. hawezi kuihama CHADEMA


Tovuti yetu ina jina jipya!
chadema.or.tz.gif

Tumeafiki ushauri wa kuwa na jina la kizalendo zaidi.
tz_flag.jpg
blank.gif
sms.jpg
 
bravo zitto naona article yangu imekuingia usikiweke chama at suspense like zat again! Nakuahidi sitatoa evidence za ule mlungulu!!
 
Thanks Kaizer
Watu wanataka kumfanay Zitto ageuke Mungu afanye yale ambayo hayajafanywa na mtu Duniani . Sisi tumefanya nini ? Tumeshindwa hata ku campaign against CCM kachukia mitaa Nchi nzima yet tunataka kujau Zitto kafanya nini Tanzania . Zitto ka sacrife maisha yake kuwa Chadema , kuwa mpinzani kwa umri mdogo leo unasemaje ?

Zitto alikataa uwaziri wa Madini na Nishati lastminutes kwa ajili yta Upinzani, Chadema na Watanzania wapenda mageuzi .Je si jambo kubwa hilo ?
Mkuu Lunyungu hakika uko sahihi. Tuwavivu sana sisi kiasi cha kuona kukaa kwenye keyboard na kuuliza tuu nani kafanya nini na nani kafanyaje ni haki yetu.
Kulikuwa na michanganyo iliyojitokeza khs Zitto lakini yeye mwenyewe kwa mdomo wake katolea ufafanuzi wa kina. FULL STOP.
Kuuliza nini kafanya Zitto kama mchango wake kiuongozi katika nchi hii huo ni UPOFU wa kimawazo. Hata mtoto wa Form Two anayefuatilia mwenendo wa nchi hii kisiasa anaelewa nini kafanya kijana huyu. Kajitoa kuliko wengi wetu katika kupigania kile anachopaswa kufanya katika nafasi yake. Mie binafsi kama wengine, alishanitoa kwenye track, lakini sasa nimemwelewa vizuri sana baada ya maelezo yake (sio quoted). BRAVO ZITTO, sasa rudi kwa makamanda wenzio mufanye kazi maana muda nao unatutupa mkono na yakufanya ni mengi mno na vikwazo kibao.
 
.....Saa nyingine tunakuwa tunaongelea mambo kwa ushabiki bila ya kuwa na vigezo vinavyopimika na jamii.
Mimi nimeuliza kwa nia ya kutaka kujua. Kwa kusaidia labda tujadili pointi ninazoainisha hapa chini:
1. Zitto kuwa Mwenyekiti wa kamati ya Bunge amechangia lipi au ameleta mabadiliko gani katika utendaji wa mashirika ya umma?
2. Katika Miaka takribani minne sasa katika Bunge ametoa michango yenye manufaa kwa nchi yetu?
3. Kama Kiongozi katika CHADEMA, Zitto amefanya nini katika kukiimarisha chama hicho na kukifanya kuwa chama madhubuti cha upinzani?

Naomba kurudia tena hoja yangu ya kutaka kujua mchango wa huyu Mhe. Zitto katika mustakabali wa siasa na maendeleo ya nchi yetu. Naomba kutoa hoja.

Unaboa!!!!!
 
........Kuuliza nini kafanya Zitto kama mchango wake kiuongozi katika nchi hii huo ni UPOFU wa kimawazo. Hata mtoto wa Form Two anayefuatilia mwenendo wa nchi hii kisiasa anaelewa nini kafanya kijana huyu. Kajitoa kuliko wengi wetu katika kupigania kile anachopaswa kufanya katika nafasi yake. Mie binafsi kama wengine, alishanitoa kwenye track, lakini sasa nimemwelewa vizuri sana baada ya maelezo yake (sio quoted).......

Naomba nitolewe huo upofu. Napenda kujua huo mchango. Napenda kusema kuwa simpingi Zitto and I admire his courage.....Ila napenda kuwa objective...Napenda kutofautisha kelele za majukwaani au kwenye vyombo vya habari na "tangible goods".....
 
mwacheni kijana aendelee kuuza magazeti!kwa huyu zitto sijaona bado
 
Naomba nitolewe huo upofu. Napenda kujua huo mchango. Napenda kusema kuwa simpingi Zitto and I admire his courage.....Ila napenda kuwa objective...Napenda kutofautisha kelele za majukwaani au kwenye vyombo vya habari na "tangible goods".....
Naona unazunguka kwenye Thread zote zinazozungumzia habari za Zitto na kuchomeka haka kaswali kako. Zitto ni Mbunge, michango yake ya mawazo kwa serikali (ambao ndio wajibu wake mkuu) utaipata Bungeni. Tembelea tovuti ya Bunge usome mwenyewe kwa muda wako.
 
Quote:​



Naomba nitolewe huo upofu. Napenda kujua huo mchango. Napenda kusema kuwa simpingi Zitto and I admire his courage.....Ila napenda kuwa objective...Napenda kutofautisha kelele za majukwaani au kwenye vyombo vya habari na "tangible goods".....




Ushauri wangu ni kuwa jielemishe juu ya Roles and Responsibilities za Mbunge. Baada ya hapo utafute Performance Indicators za Mbunge based on his/her responsibilities. Then utakuwa umepata majibu ya uhakika kuwa Zitto kafanya/hajafanya kitu.

Kama ulivyosema unataka kuwa objective, lakini ukitaka wengine wasikuone kuwa upo subjective fanya research halafu uje na evaluation yako, then majadiliano yakuwa yameongezeka value.
 
Zito mujanja sana, hawezi hama chama sasa hivi aache mafao yake mwakani tu hapo. Kama kuhama Chadema anaweza ama baada ya kulamba milioni zake (zinaweza fika 50m?)

Kafulila amehama kwa sababu alishafulia ahahaah
 
The leadership in Chadema will slowly kill him politically by sidelining him so that he does not have access to sensitive Chadema information and ultimately mwenyewe atakimbia!!!!

Safi sana. Inaelekea desperation yenu inaelekea kuwa suicidal. Mmeanza na kumwaga mikakati yenu hadharani. Angalieni tu mwisho wa siku msikimbie ninyi tu...

Si unajua kina nani ndio waliomba wakaombewe kuwa Wabunge Wateule na wengine kuwa tayari kuhamia CCM ili kupewa Ukuu wa Wilaya...

omarilyas
 
Zito mujanja sana, hawezi hama chama sasa hivi aache mafao yake mwakani tu hapo. Kama kuhama Chadema anaweza ama baada ya kulamba milioni zake (zinaweza fika 50m?)

Kafulila amehama kwa sababu alishafulia ahahaah


Jamani nina zidi kushauri kwamba Mwacheni Zitto mwacheni Mbunge Zitto, mwacheni mtoto wa watu Zitto , mwacheni Mtanzania Zitto acheni fitina na kumfitini na wananchi na Chama chake . Kaeni pembeni kila mmoja aangalie lake.Give the mam break . Kesha sema mnao kufa sasa kufeni mafisadi chiniiiiiii. Zitto haondoki katamka Zitto haachii madaraka sasa kajipangeni upya .
 
Jamani nina zidi kushauri kwamba Mwacheni Zitto mwacheni Mbunge Zitto, mwacheni mtoto wa watu Zitto , mwacheni Mtanzania Zitto acheni fitina na kumfitini na wananchi na Chama chake . Kaeni pembeni kila mmoja aangalie lake.Give the mam break . Kesha sema mnao kufa sasa kufeni mafisadi chiniiiiiii. Zitto haondoki katamka Zitto haachii madaraka sasa kajipangeni upya .

Lunyungu, kwenye hii thread najitahidi nikuelewe lakini nashindwa kukuelewa mpaka hii jioni, wacha niende, sijui ni weekend!!!
Naomba msiniquote.
 
mlikuwa mnapiga kelele mnataka aongee sasa kashaongea tayari muachenisasa aendelee ku-focus na mambo yanayofuata kwenye ratiba yake ya siasa.
 
Zitto kasema ukweli.
Haondoki chadema.
Na kwa muono wangu naungana naye kwamba kumpigia kampeini mgombea wa chama kingine cha upinzani hata kama si wa chama chako lakini ana uelekeo wa kushinda si kosa. Hili linaimarisha upinzani.
 
Back
Top Bottom