nkosikazi
JF-Expert Member
- Mar 11, 2010
- 361
- 336
Zitto ameliponda baraza la mawaziri kwa kutaka CHC yaani consolidated holdings kwa kutaka kuongezewa muda wa miaka mitatu badala ya mapendekezo ya kamati yake iliyotaka lipewe unspecified time ili liweze kuangalia interests za nchi na mali zake. Akasema mawaziri wamepitiwa na malobyst ambao wanataka chc libaki kwa muda mfupi ili mafisadi waweze kuua kuila nchi! Ni hotuba kali ambayo imewafanya mawaziri wawili pamoja na Lukuvi waombe mwongozo ili athibitishe kuwa mawaziri wamekula mlungula. Ni hali tete sana bungeni