mzee wa njaa
JF-Expert Member
- Jun 16, 2011
- 1,366
- 223
Hao wameshazoea kutuletea uongo bungeni naona siku nyingine watakuwa seriously...........ndio kawaida yao hao.....
Mkuu uko sahihi mi ni mojawao nisiyejua chc nikawa naendelea kusoma comment za wana jf labda kuna atakayetoa msaada tutaniTaarifa yako nzuri, lakini elewa kuwa vifupisho hivyo havieleweki na kila mtu na wala si standard!...right?
font color yako mkuu haifai kabisa labda kama hutaki watu wasome ulichokiandika...Zito anaonekana ana mzaha bungeni lakini mambo yake yako juu sana. Kwanza sijawahi kumuona anasinzia bungeni all the time yuko active. Anafatilia vilivyo mijadala ndiyo maana anapata maswali ya mara mara. Hayo magamba yanazidi kusinzia bila ya kujua kuwa wenzao wako serious na kazi yao .Zito ,Tundu Mnyika naomba muendelee kuyapeleka magamba mpaka yaamuke. Pia naomba muamshe mbunge wangu Kevin Donard maximilian jimbo la Geita. Mwambieni hicho kimywa chake wanageita wanamsubiri kwa hamu sana.
Mkuu yaani walichokifanya kama ing'ekuwa nchi zingine leo kuna mtu angeachia ngazi....lakini kwa hapa bongo litapita na maisha yataendelea...Hao wameshazoea kutuletea uongo bungeni naona siku nyingine watakuwa seriously...........ndio kawaida yao hao.....
Hapa Zitto katoka! Nimeipenda wabunge wakiwa hivi hakuna chama kitaleta upuuzi nchini serikali lazima itakuwa makini. Na ikishakua makini watanzania tutabadilika. Ninawasihi wabunge wote bila kujali chama wasiache kuona mambo muhimu kama haya na wakishayaona waache kabisa kutetea chama kwa kuwa tu ni chama, watetee maslahi ya taifa!