BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,792
- 287,994
Mara nyingi huyu spika anasema thibitisha wakithibitisha anaficha hiyo taarifa yaani huyu mama kilaza kweli sijui wa nini huyu yeye mwenyewe si aliloby
Si ajabu Zitto akaambiwa athibitishe kwa maandishi badala ya kutoa ushahidi huo ndani ya bunge. Huyu Mama ni bomu kabisa hakustahili kabisa kupewa Uspika.