Jamani mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni,mtu yoyote aliyewahi kufanya kazi na Zitto hata kwa saa 1 atakubali kwamba Zitto ni kijana makini sana.Ni vigumu sana kupata vijana makini wa aina ya Zitto katika kizazi chetu ambacho kimejaa watu wanaopenda starehe tu.
Mwacheni achague kile anachoona kinafaa kwake kama ameona siasa ni mchezo mchafu.Mpaka Zitto kufikia kusema siasa ni second choice kwake hadharani japokuwa ni ukweli kutokana na kauli zake za nyuma ujue ni baada ya kuona rafu nyingi zikifanyika dhidi yake bila justifiable reasons.
Hata kama ukiacha siasa leo Zitto kile ulichokifanya na kukihubiri katika muda mchache uliokuwepo katika siasa za kitaifa kitafanya jina lako lisipotee katika historia ya nchi hii.
Naamini pia kama utaamua kujikita kwenye taaluma bado utatoa mchango mkubwa kwa maendeleo na ustawi wa nchi yako.Kwani kutoa mchango kwenye maendeleo ya nchi si lazima uwe mwanasiasa.
Kila mtu katika nafasi yake ana mchango katika maendeleo ya taifa hili na sidhani kama Zitto ndiyo lazima awe mwanasiasa. Hata mtoa mada hii "Remmy" waweza kuwa mwanasiasa pia.
Mwacheni achague kile anachoona kinafaa kwake kama ameona siasa ni mchezo mchafu.Mpaka Zitto kufikia kusema siasa ni second choice kwake hadharani japokuwa ni ukweli kutokana na kauli zake za nyuma ujue ni baada ya kuona rafu nyingi zikifanyika dhidi yake bila justifiable reasons.
Hata kama ukiacha siasa leo Zitto kile ulichokifanya na kukihubiri katika muda mchache uliokuwepo katika siasa za kitaifa kitafanya jina lako lisipotee katika historia ya nchi hii.
Naamini pia kama utaamua kujikita kwenye taaluma bado utatoa mchango mkubwa kwa maendeleo na ustawi wa nchi yako.Kwani kutoa mchango kwenye maendeleo ya nchi si lazima uwe mwanasiasa.
Kila mtu katika nafasi yake ana mchango katika maendeleo ya taifa hili na sidhani kama Zitto ndiyo lazima awe mwanasiasa. Hata mtoa mada hii "Remmy" waweza kuwa mwanasiasa pia.