Kwenye Siasa hakuna kuwa katikati (Neutral). Mtawala lazima aamue kusuka au kunyoa, vinginevyo anguko ni hakika

Robert Heriel Mtibeli

JF-Expert Member
Mar 24, 2018
21,341
51,907
KWENYE SIASA HAKUNA KUWA KATIKATI"NEUTRAL" MTAWALA LAZIMA AAMUE KUSUKA AU KUNYOA. VINGINEVYO ANGUKO NI HAKIKA.

Anàandika, Robert Heriel
Mtibeli.

Siasa inakanuni zake, na moja ya kanuni hizo ni pamoja na hii ya kuchagua upande. Ni aidha uwe moto au uwe baridi Full stop. Maswala ya kusema au kuonyesha matendo ya kuwa Neutral ni kujitoa kwenye mfumo wa utawala bila ya wewe mwenyewe kujua. Na hakika ni kuwa utaanguka kwa kishindo kikuu.

Siasa ndio jambo gumu kuliko yote duniani. Ni rahisi kurusha Rocket, kuunda teknolojia za hali ya juu, kuwa Daktari lakini siasa ni ngumu kuliko mambo yote hayo.
Baada ya siasa jambo gumu linalofuatia ni Mapenzi.

Ugumu wa siasa unatokana na kuongoza kiumbe ambacho kina utashi, hujui kinawaza nini, na mbaya zaidi kiumbe kinachobadilika badilika. Kuongoza wanadamu ndio kazi ngumu zaidi kuliko jambo lolote lile.
Leo atasema hivi kesho atasema vile. Leo atakuwa pamoja na wewe kwa kukuunga mkono kesho atakutana.
Zaidi hujui chochote anachokifanya binadamu ni kweli au anaigiza.
Sifa hizo ndizo zilichangia na zinachangia kwa kiasi kikubwa baadhi ya Watawala kutumia mfumo wa kimabavu (udikteta) ili kuendelea kutawala

Ukishapewa Nchi kaa ukijua utakutana na makundi makubwa mawili. Moja,lililokuwa linanufaika na utawala uliopita ambao umeuchukua wewe,na kundi la pili ni lile ambalo halikuwa linanufaika na sasa linakuona wewe ndio mwanzo wa matumaini yao.

Ni kosa la kiufundi kutaka haya makundi yakae pamoja. Haiwezekaniki Makundi hayo kukaa pamoja.
Ni kosa la kiufundi, kutotaka kujihusisha na kundi lolote yaani wewe kuwa Neutral.
Hapo utapigwa mapema zaidi.

Ni lazima uchague upande.
Ni kosa la kiufundi, kutumia wahusika mashuhuri kutoka kwa moja ya makundi yaliyohasimiana.
Kikawaida unatakiwa kama ipo haja ya kufanya hivyo, chukua wahusika waliopoa ambao hawana impact yoyote Kwa siasa zako.

Ni rahisi makundi mawili yaliyohasimiana kushirikiana kukuangusha ikiwa utakuwa Neutral. Mbinu pekee iliyopo ni kujiunga na kundi mojawapo kisha uendelee na utawala wako.

Mbinu ya kufuta makundi hayo mawili inaweza kukupotezea muda na mara nyingi utawaunganisha na watakushinda.

Ungana na mmoja, kisha mtumie kumpiga mwingine. Kisha ukishamalizana na uliyempiga. Kazi inakuwa rahisi. Mmalize hiyo aliyevalia.

Nawatakia majukumu Mema.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
 
Sina hakika sana ila Kuna kaukweli ndani yake maana kuwa neutral ni unafiki Kwa sababu inaonekana ni snitch tuu.

Mambo ya eti kutofungamana na upande wowote sio Dili,nimewahi zushiwa mambo kibao kwenye level tuu ya familia kisa makundi yanayohasimiana ila Mimi naongea na makundi yote so inaweza onekana unachonganisha 🤣🤣🤣🤣

Kimsingi unakuwa huna rafiki na huwezi kuambiwa Kila kitu Kwa uwazi na uhuru unakuwa unachukuliwa Kwa tahadhari maana huaminiki ,ndio shida hiyo ya kuwa neutral hata kama hauko hivyo ila wengi hawawezi kukuamini.
 
Sina hakika sana ila Kuna kaukweli ndani yake maana kuwa neutral ni unafiki Kwa sababu inaonekana ni snitch tuu.

Mambo ya eti kutofungamana na upande wowote sio Dili,nimewahi zushiwa mambo kibao kwenye level tuu ya familia kisa makundi yanayohasimiana ila Mimi naongea na makundi yote so inaweza onekana unachonganisha 🤣🤣🤣🤣


😀😀😀
Na kwa nini uwe Neutral wakati upo mchezoni?
Umbeya, uzandiki, unafiki lazima uhusishwe nao
 
😀😀😀
Na kwa nini uwe Neutral wakati upo mchezoni?
Umbeya, uzandiki, unafiki lazima uhusishwe nao
Ni kweli maana wanaona huaminiki na huwezi kuambiwa ukweli wote wanaona utaenda kuwasema upande wa pili nk hata kama huna Nia hiyo.

But unaweza kuwa mpatanisha kama referee isipokuwa tofauti ni kwamba wewe unakuwa mpatanishi mwenye kutaka maslahi yale Yale wanayotaka makundi hasimu Sasa hapo ndio Mtihani huja.
 
Yesu alipokuja Duniani alikuta kundi la Mafarisayo (wanaoamini Kuna kiama na malaika) na kundi la masadukayo (wasioamini kuwa Kuna malaika Wala kiama).

Yesu hakujiunga na kundi lolote kati ya hao ijapikuwa Kuhusu SoMo la malaika na kiama Mafarisayo walifundisha sawa kabisa na Yesu mwenyewe ila ndio waliompinga na hatimaye kumuua.

Yesu alitengeneza kundi la wanafunzi wake amabao miaka ya baadaye pia waliteswa na kuuliwa na Mafarisayo wakiwa wameungana na masadukayo.

Ni heri kutengeneza safu yako ya uongozi kuliko kurithi maadui au marafiki wa mwenzio
 
KWENYE SIASA HAKUNA KUWA KATIKATI"NEUTRAL" MTAWALA LAZIMA AAMUE KUSUKA AU KUNYOA. VINGINEVYO ANGUKO NI HAKIKA.

Anàandika, Robert Heriel
Mtibeli.

Siasa inakanuni zake, na moja ya kanuni hizo ni pamoja na hii ya kuchagua upande. Ni aidha uwe moto au uwe baridi Full stop. Maswala ya kusema au kuonyesha matendo ya kuwa Neutral ni kujitoa kwenye mfumo wa utawala bila ya wewe mwenyewe kujua. Na hakika ni kuwa utaanguka kwa kishindo kikuu.

Siasa ndio jambo gumu kuliko yote duniani. Ni rahisi kurusha Rocket, kuunda teknolojia za hali ya juu, kuwa Daktari lakini siasa ni ngumu kuliko mambo yote hayo.
Baada ya siasa jambo gumu linalofuatia ni Mapenzi.

Ugumu wa siasa unatokana na kuongoza kiumbe ambacho kina utashi, hujui kinawaza nini, na mbaya zaidi kiumbe kinachobadilika badilika. Kuongoza wanadamu ndio kazi ngumu zaidi kuliko jambo lolote lile.
Leo atasema hivi kesho atasema vile. Leo atakuwa pamoja na wewe kwa kukuunga mkono kesho atakutana.
Zaidi hujui chochote anachokifanya binadamu ni kweli au anaigiza.
Sifa hizo ndizo zilichangia na zinachangia kwa kiasi kikubwa baadhi ya Watawala kutumia mfumo wa kimabavu (udikteta) ili kuendelea kutawala

Ukishapewa Nchi kaa ukijua utakutana na makundi makubwa mawili. Moja,lililokuwa linanufaika na utawala uliopita ambao umeuchukua wewe,na kundi la pili ni lile ambalo halikuwa linanufaika na sasa linakuona wewe ndio mwanzo wa matumaini yao.

Ni kosa la kiufundi kutaka haya makundi yakae pamoja. Haiwezekaniki Makundi hayo kukaa pamoja.
Ni kosa la kiufundi, kutotaka kujihusisha na kundi lolote yaani wewe kuwa Neutral.
Hapo utapigwa mapema zaidi.

Ni lazima uchague upande.
Ni kosa la kiufundi, kutumia wahusika mashuhuri kutoka kwa moja ya makundi yaliyohasimiana.
Kikawaida unatakiwa kama ipo haja ya kufanya hivyo, chukua wahusika waliopoa ambao hawana impact yoyote Kwa siasa zako.

Ni rahisi makundi mawili yaliyohasimiana kushirikiana kukuangusha ikiwa utakuwa Neutral. Mbinu pekee iliyopo ni kujiunga na kundi mojawapo kisha uendelee na utawala wako.

Mbinu ya kufuta makundi hayo mawili inaweza kukupotezea muda na mara nyingi utawaunganisha na watakushinda.

Ungana na mmoja, kisha mtumie kumpiga mwingine. Kisha ukishamalizana na uliyempiga. Kazi inakuwa rahisi. Mmalize hiyo aliyevalia.

Nawatakia majukumu Mema.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Hata Biblia imekataza kuwa vuguvugu. Kuwa moto au Baridi. Mimi pia siamini katika neutrality.
Neutrality ni uoga au unafiki.
Pamoja na huo msimamo wa neutrality ambao ni watu wachache tuko hivyo,nikiwepo mimi binafsi maana hii nayo inatokana na Kila mtu alivyozaliwa na sio kweli kwamba kuwa neutral ni kuwa mnafiki ingawa ndio inaonekana hivyo,ila Samia anasalia kuwa Rais aliyefanikiwa Kwa vitu vingi Kwa mda mchache kuliko wengi waliotangulia.

Mfano mzuri ni huu hapa 👇

View: https://twitter.com/TheGuardianTzO1/status/1729550421939683393?t=85AnrkU21hxMXLXFNai05Q&s=19
 
Yesu alipokuja Duniani alikuta kundi la Mafarisayo (wanaoamini Kuna kiama na malaika) na kundi la masadukayo (wasioamini kuwa Kuna malaika Wala kiama).Yesu hakujiunga na kundi lolote kati ya hao ijapikuwa Kuhusu SoMo la malaika na kiama Mafarisayo walifundisha sawa kabisa na Yesu mwenyewe ila ndio waliompinga na hatimaye kumuua.Yesu alitengeneza kundi la wanafunzi wake amabao miaka ya baadaye pia waliteswa na kuuliwa na Mafarisayo wakiwa wameungana na masadukayo.
Ni heri kutengeneza safu yako ya uongozi kuliko kurithi maadui au marafiki wa mwenzio
Imani na uhalisia ni vitu viwili tofauti

View: https://twitter.com/TheGuardianTzO1/status/1727958292440261006?t=jvpP7g40VmaFM1DS5B_t4w&s=19
 
Pamoja na huo msimamo wa neutrality ambao ni watu wachache tuko hivyo,nikiwepo mimi binafsi maana hii nayo inatokana na Kila mtu alivyozaliwa na sio kweli kwamba kuwa neutral ni kuwa mnafiki ingawa ndio inaonekana hivyo,ila Samia anasalia kuwa Rais aliyefanikiwa Kwa vitu vingi Kwa mda mchache kuliko wengi waliotangulia.

Mfano mzuri ni huu hapa 👇

View: https://twitter.com/TheGuardianTzO1/status/1729550421939683393?t=85AnrkU21hxMXLXFNai05Q&s=19

Marais wote wamefanikiwa kufanya mambo makubwa. Labda wewe umekuwa ukijihusisha na utawala wa SSH zaidi kuliko tawala zilizopita.
Kwa social programs tu
1. Mkapa alifuta kodi ya kichwa.
2. Mkapa alifuta zile UPE na Umitashumta iliyokuwa ikiwatoa wazazi jasho shule za msingi.
3. Mkapa alianzisha MMEM(PEDP)na MMES(SEDP).
Sasa utampaje wa sasa sifa bila kukumbuka waliyofanya wenzake?
 
KWENYE SIASA HAKUNA KUWA KATIKATI"NEUTRAL" MTAWALA LAZIMA AAMUE KUSUKA AU KUNYOA. VINGINEVYO ANGUKO NI HAKIKA.

Anàandika, Robert Heriel
Mtibeli.

Siasa inakanuni zake, na moja ya kanuni hizo ni pamoja na hii ya kuchagua upande. Ni aidha uwe moto au uwe baridi Full stop. Maswala ya kusema au kuonyesha matendo ya kuwa Neutral ni kujitoa kwenye mfumo wa utawala bila ya wewe mwenyewe kujua. Na hakika ni kuwa utaanguka kwa kishindo kikuu.

Siasa ndio jambo gumu kuliko yote duniani. Ni rahisi kurusha Rocket, kuunda teknolojia za hali ya juu, kuwa Daktari lakini siasa ni ngumu kuliko mambo yote hayo.
Baada ya siasa jambo gumu linalofuatia ni Mapenzi.

Ugumu wa siasa unatokana na kuongoza kiumbe ambacho kina utashi, hujui kinawaza nini, na mbaya zaidi kiumbe kinachobadilika badilika. Kuongoza wanadamu ndio kazi ngumu zaidi kuliko jambo lolote lile.
Leo atasema hivi kesho atasema vile. Leo atakuwa pamoja na wewe kwa kukuunga mkono kesho atakutana.
Zaidi hujui chochote anachokifanya binadamu ni kweli au anaigiza.
Sifa hizo ndizo zilichangia na zinachangia kwa kiasi kikubwa baadhi ya Watawala kutumia mfumo wa kimabavu (udikteta) ili kuendelea kutawala

Ukishapewa Nchi kaa ukijua utakutana na makundi makubwa mawili. Moja,lililokuwa linanufaika na utawala uliopita ambao umeuchukua wewe,na kundi la pili ni lile ambalo halikuwa linanufaika na sasa linakuona wewe ndio mwanzo wa matumaini yao.

Ni kosa la kiufundi kutaka haya makundi yakae pamoja. Haiwezekaniki Makundi hayo kukaa pamoja.
Ni kosa la kiufundi, kutotaka kujihusisha na kundi lolote yaani wewe kuwa Neutral.
Hapo utapigwa mapema zaidi.

Ni lazima uchague upande.
Ni kosa la kiufundi, kutumia wahusika mashuhuri kutoka kwa moja ya makundi yaliyohasimiana.
Kikawaida unatakiwa kama ipo haja ya kufanya hivyo, chukua wahusika waliopoa ambao hawana impact yoyote Kwa siasa zako.

Ni rahisi makundi mawili yaliyohasimiana kushirikiana kukuangusha ikiwa utakuwa Neutral. Mbinu pekee iliyopo ni kujiunga na kundi mojawapo kisha uendelee na utawala wako.

Mbinu ya kufuta makundi hayo mawili inaweza kukupotezea muda na mara nyingi utawaunganisha na watakushinda.

Ungana na mmoja, kisha mtumie kumpiga mwingine. Kisha ukishamalizana na uliyempiga. Kazi inakuwa rahisi. Mmalize hiyo aliyevalia.

Nawatakia majukumu Mema.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Kwani lazima utawale milele hata kama umeshindwa kuleta umeme, maji, katiba Mpya, cag report, Dili za kuuza bandari , inawezake kushinda u havuzi labda wapigakura ni maiti
 
Yesu alipokuja Duniani alikuta kundi la Mafarisayo (wanaoamini Kuna kiama na malaika) na kundi la masadukayo (wasioamini kuwa Kuna malaika Wala kiama).Yesu hakujiunga na kundi lolote kati ya hao ijapikuwa Kuhusu SoMo la malaika na kiama Mafarisayo walifundisha sawa kabisa na Yesu mwenyewe ila ndio waliompinga na hatimaye kumuua.Yesu alitengeneza kundi la wanafunzi wake amabao miaka ya baadaye pia waliteswa na kuuliwa na Mafarisayo wakiwa wameungana na masadukayo.
Ni heri kutengeneza safu yako ya uongozi kuliko kurithi maadui au marafiki wa mwenzio

Ni kweli kabisa
 
KWENYE SIASA HAKUNA KUWA KATIKATI"NEUTRAL" MTAWALA LAZIMA AAMUE KUSUKA AU KUNYOA. VINGINEVYO ANGUKO NI HAKIKA.

Anàandika, Robert Heriel
Mtibeli.

Siasa inakanuni zake, na moja ya kanuni hizo ni pamoja na hii ya kuchagua upande. Ni aidha uwe moto au uwe baridi Full stop. Maswala ya kusema au kuonyesha matendo ya kuwa Neutral ni kujitoa kwenye mfumo wa utawala bila ya wewe mwenyewe kujua. Na hakika ni kuwa utaanguka kwa kishindo kikuu.

Siasa ndio jambo gumu kuliko yote duniani. Ni rahisi kurusha Rocket, kuunda teknolojia za hali ya juu, kuwa Daktari lakini siasa ni ngumu kuliko mambo yote hayo.
Baada ya siasa jambo gumu linalofuatia ni Mapenzi.

Ugumu wa siasa unatokana na kuongoza kiumbe ambacho kina utashi, hujui kinawaza nini, na mbaya zaidi kiumbe kinachobadilika badilika. Kuongoza wanadamu ndio kazi ngumu zaidi kuliko jambo lolote lile.
Leo atasema hivi kesho atasema vile. Leo atakuwa pamoja na wewe kwa kukuunga mkono kesho atakutana.
Zaidi hujui chochote anachokifanya binadamu ni kweli au anaigiza.
Sifa hizo ndizo zilichangia na zinachangia kwa kiasi kikubwa baadhi ya Watawala kutumia mfumo wa kimabavu (udikteta) ili kuendelea kutawala

Ukishapewa Nchi kaa ukijua utakutana na makundi makubwa mawili. Moja,lililokuwa linanufaika na utawala uliopita ambao umeuchukua wewe,na kundi la pili ni lile ambalo halikuwa linanufaika na sasa linakuona wewe ndio mwanzo wa matumaini yao.

Ni kosa la kiufundi kutaka haya makundi yakae pamoja. Haiwezekaniki Makundi hayo kukaa pamoja.
Ni kosa la kiufundi, kutotaka kujihusisha na kundi lolote yaani wewe kuwa Neutral.
Hapo utapigwa mapema zaidi.

Ni lazima uchague upande.
Ni kosa la kiufundi, kutumia wahusika mashuhuri kutoka kwa moja ya makundi yaliyohasimiana.
Kikawaida unatakiwa kama ipo haja ya kufanya hivyo, chukua wahusika waliopoa ambao hawana impact yoyote Kwa siasa zako.

Ni rahisi makundi mawili yaliyohasimiana kushirikiana kukuangusha ikiwa utakuwa Neutral. Mbinu pekee iliyopo ni kujiunga na kundi mojawapo kisha uendelee na utawala wako.

Mbinu ya kufuta makundi hayo mawili inaweza kukupotezea muda na mara nyingi utawaunganisha na watakushinda.

Ungana na mmoja, kisha mtumie kumpiga mwingine. Kisha ukishamalizana na uliyempiga. Kazi inakuwa rahisi. Mmalize hiyo aliyevalia.

Nawatakia majukumu Mema.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Uko sahihi, huwezi kuwa shabiki wa yanga na simba kwa pamoja
 
KWENYE SIASA HAKUNA KUWA KATIKATI"NEUTRAL" MTAWALA LAZIMA AAMUE KUSUKA AU KUNYOA. VINGINEVYO ANGUKO NI HAKIKA.

Anàandika, Robert Heriel
Mtibeli.

Siasa inakanuni zake, na moja ya kanuni hizo ni pamoja na hii ya kuchagua upande. Ni aidha uwe moto au uwe baridi Full stop. Maswala ya kusema au kuonyesha matendo ya kuwa Neutral ni kujitoa kwenye mfumo wa utawala bila ya wewe mwenyewe kujua. Na hakika ni kuwa utaanguka kwa kishindo kikuu.

Siasa ndio jambo gumu kuliko yote duniani. Ni rahisi kurusha Rocket, kuunda teknolojia za hali ya juu, kuwa Daktari lakini siasa ni ngumu kuliko mambo yote hayo.
Baada ya siasa jambo gumu linalofuatia ni Mapenzi.

Ugumu wa siasa unatokana na kuongoza kiumbe ambacho kina utashi, hujui kinawaza nini, na mbaya zaidi kiumbe kinachobadilika badilika. Kuongoza wanadamu ndio kazi ngumu zaidi kuliko jambo lolote lile.
Leo atasema hivi kesho atasema vile. Leo atakuwa pamoja na wewe kwa kukuunga mkono kesho atakutana.
Zaidi hujui chochote anachokifanya binadamu ni kweli au anaigiza.
Sifa hizo ndizo zilichangia na zinachangia kwa kiasi kikubwa baadhi ya Watawala kutumia mfumo wa kimabavu (udikteta) ili kuendelea kutawala

Ukishapewa Nchi kaa ukijua utakutana na makundi makubwa mawili. Moja,lililokuwa linanufaika na utawala uliopita ambao umeuchukua wewe,na kundi la pili ni lile ambalo halikuwa linanufaika na sasa linakuona wewe ndio mwanzo wa matumaini yao.

Ni kosa la kiufundi kutaka haya makundi yakae pamoja. Haiwezekaniki Makundi hayo kukaa pamoja.
Ni kosa la kiufundi, kutotaka kujihusisha na kundi lolote yaani wewe kuwa Neutral.
Hapo utapigwa mapema zaidi.

Ni lazima uchague upande.
Ni kosa la kiufundi, kutumia wahusika mashuhuri kutoka kwa moja ya makundi yaliyohasimiana.
Kikawaida unatakiwa kama ipo haja ya kufanya hivyo, chukua wahusika waliopoa ambao hawana impact yoyote Kwa siasa zako.

Ni rahisi makundi mawili yaliyohasimiana kushirikiana kukuangusha ikiwa utakuwa Neutral. Mbinu pekee iliyopo ni kujiunga na kundi mojawapo kisha uendelee na utawala wako.

Mbinu ya kufuta makundi hayo mawili inaweza kukupotezea muda na mara nyingi utawaunganisha na watakushinda.

Ungana na mmoja, kisha mtumie kumpiga mwingine. Kisha ukishamalizana na uliyempiga. Kazi inakuwa rahisi. Mmalize hiyo aliyevalia.

Nawatakia majukumu Mema.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
weweeee mapenzi ndio magumu sana chief

Ndio maana mpaka wa leo 29s bado nipo single
 
Mbona hii nchi ina watu wengi sana kwani lazima abaki na mainstream

Kwa nini asichukue wa kwake wapya au ndio kusema tuna na uhaba wa wanasiasa pia??
 
Back
Top Bottom