Remmy
JF-Expert Member
- Jun 9, 2009
- 4,701
- 1,799
Haya jamani wana Jf, jana na leo katika shirika la habari TBC1 kipindi cha jambo Tanzania Zito amekiri kuwa siasa halikuwa chaguo lake la kwanza, kwa maana hii mi natasfiri kwamba ni mamluki wa siasa, na anasema kuwa siasa hailipi anatamani kutoka lakini anashindwa.
Na amekiri kuwa ni kweli ameandika barua ya kujiuzulu ila tatizo ni kuwasilisha barua. Mambo mengi ameongea, ambayo amenishangaza lakini tutamchambua siku nyingine.
Kwa maana hii basi, wanasiasa wengi ni mamluki na ndo maana tunashindwa kufanya siasa.
Na amekiri kuwa ni kweli ameandika barua ya kujiuzulu ila tatizo ni kuwasilisha barua. Mambo mengi ameongea, ambayo amenishangaza lakini tutamchambua siku nyingine.
Kwa maana hii basi, wanasiasa wengi ni mamluki na ndo maana tunashindwa kufanya siasa.