The secretary
JF-Expert Member
- Jan 14, 2012
- 4,149
- 2,536
nipo babyBaby hujambo?
nipo babyBaby hujambo?
nipo baby
nakumiss baby!
Mkwe cacico how come ukaguzi ukainjoiwa? Nauliza tu mkwe....nimekumissbabu Asprin nilikwenda site kwenye viwanja vyetu vya mabwepande ndio narudi. mi nna swali moja tu, hivi babu kati ya wajukuu zako cc, yupi ana chata ya ODM kama yangu?? swali la pili ni kwamba wakati wa ukaguzi ushawahi kunirecord???, swali la tatu, kati ya siku ulizonikagua, ipi ulienjoy??
Si mpaka.
Halafu we konnie ujue nakumiss.
Yaani kumtaja gfsonwin numepata nshtuko, mtoto ananipa raha zote sa ivi anajiandaa
Na mtoko tukapate mdudu kusindikizie jmosi, tumediss mbavu za tbl na safari zao apo knyama! Odm ako apo..,lol
ma swtlo Kaizer, mwambie kabisa cacico kuwa siye twala raha zetu babu. nilizaliwa kwaajili yako ma swtlo ili nikupe raha niwe kwako bega lako utakapo kulia, nime mkono wako utakapo kucheka, niwe meza yako ulapo na hata kitanda chako ulalapo. miye kwako hali sina Kaizer wanifanye niuone uzee wangu kama ujana, naona naimiliki dunia yote ya mapenzi na kwangu wewe wazidi kicho cha mathamani. ni zaid ya yote, u kijana mzuri mwenye kujua wajibu wako kama mpenzi mwenye kujua kubembeleza na hata kukirimu. Dozi yako mashalaaa...........hunifanya hata wale wote wanaonitolea macho kama Bishanga na Erickb52 nawaona kama wapoteao njia manake hawawezi kunifikisha unifikishapo kuniliza kama unilizavyo .............lolest nitayaandika hadi kesho pasi mwisho.
hata Asprin analitambua hilo.
Haya maneno haya............nikiya-copy na kum-pestia Mr. husband nitakuwa mbea
babu Asprin nilikwenda site kwenye viwanja vyetu vya mabwepande ndio narudi. mi nna swali moja tu, hivi babu kati ya wajukuu zako cc, yupi ana chata ya ODM kama yangu?? swali la pili ni kwamba wakati wa ukaguzi ushawahi kunirecord???, swali la tatu, kati ya siku ulizonikagua, ipi ulienjoy??
babuuu MSWATI ulifikiria nini hadi kumkabidhi ERICK52 kazi ya kukagua wajukuu
Haya maneno ni kujikosha na kumpa kichwa nanii...ma swtlo Kaizer, mwambie kabisa cacico kuwa siye twala raha zetu babu. nilizaliwa kwaajili yako ma swtlo ili nikupe raha niwe kwako bega lako utakapo kulia, nime mkono wako utakapo kucheka, niwe meza yako ulapo na hata kitanda chako ulalapo. miye kwako hali sina Kaizer wanifanye niuone uzee wangu kama ujana, naona naimiliki dunia yote ya mapenzi na kwangu wewe wazidi kicho cha mathamani. ni zaid ya yote, u kijana mzuri mwenye kujua wajibu wako kama mpenzi mwenye kujua kubembeleza na hata kukirimu. Dozi yako mashalaaa...........hunifanya hata wale wote wanaonitolea macho kama Bishanga na Erickb52 nawaona kama wapoteao njia manake hawawezi kunifikisha unifikishapo kuniliza kama unilizavyo .............lolest nitayaandika hadi kesho pasi mwisho.
hata Asprin analitambua hilo.
Haya maneno ni kujikosha na kumpa kichwa nanii...ma swtlo Kaizer, mwambie kabisa cacico kuwa siye twala raha zetu babu. nilizaliwa kwaajili yako ma swtlo ili nikupe raha niwe kwako bega lako utakapo kulia, nime mkono wako utakapo kucheka, niwe meza yako ulapo na hata kitanda chako ulalapo. miye kwako hali sina Kaizer wanifanye niuone uzee wangu kama ujana, naona naimiliki dunia yote ya mapenzi na kwangu wewe wazidi kicho cha mathamani. ni zaid ya yote, u kijana mzuri mwenye kujua wajibu wako kama mpenzi mwenye kujua kubembeleza na hata kukirimu. Dozi yako mashalaaa...........hunifanya hata wale wote wanaonitolea macho kama Bishanga na Erickb52 nawaona kama wapoteao njia manake hawawezi kunifikisha unifikishapo kuniliza kama unilizavyo .............lolest nitayaandika hadi kesho pasi mwisho.
hata Asprin analitambua hilo.