1. Mie nahongwa, sijui kuhonga.
2. Ubia wangu na Fyatanga uko kwenye ajira. Mie ndio afisa mwajiri wa mabaamedi wa pale. Intavyuu nafanyia gesti.
3. JF nshalamba mabinti sita. Kama wako huru niwataje waniPM
4.Ukinipa namba ya Kongosho, wallahi ntakuzawadia mmoja wa wajukuu zangu charminglady atakufaa?
Dah! charminglady kweli ni kitu cha ukweli,naomba namba yake ya simu tafadhali.1. Mie nahongwa, sijui kuhonga.
2. Ubia wangu na Fyatanga uko kwenye ajira. Mie ndio afisa mwajiri wa mabaamedi wa pale. Intavyuu nafanyia gesti.
3. JF nshalamba mabinti sita. Kama wako huru niwataje waniPM
4.Ukinipa namba ya Kongosho, wallahi ntakuzawadia mmoja wa wajukuu zangu charminglady atakufaa?
makubwa haya ya Bishanga kutungwa ujauzito lol.
Asprin anatisha hata ZINDUNA katimua.
babuuu MSWATI ulifikiria nini hadi kumkabidhi ERICK52 kazi ya kukagua wajukuu
1. Je Msimu gani, wa kipupwe au kiangazi?
Swali halijaeleweka, waweza sema ulimaanisha nini?
2. Je Ulishawahi kucheza mchezo wa baba na mama na ule wa kujificha utotoni?
Sana tu, tena mi ndo nlikuwa nashika nafasi ya ubaba. Housegirl wetu alikuwa ananikomaje?
3. Je umeoa? Kama umeoa, Je una watoto wangapi?
Nina mke na mabinti wawili wazuri kama mama yao. Hawa lazima waolewe na watu wenye hela zao na ni lazima wawe mahandsome. Vinginevyo ntawaoa mwenyewe
4. Je umeshawahi kupiga puchu ujanani?
Hili si swali, mpaka sasa kina cacico, Yummy na BADILI TABIA wakinipiga kibuti, lazima nirudishe heshima kwa Revola. Uzuri wa sabuni, haijui kupiga mzinga, haina wivu na haihitaji kutumia kondom kwakuwa haina gono, kaswende wala ngoma.
5. Je umewahi kupitisha usiku na kahaba?
Jana tu nlikuwa mitaa ya Ohio.
6. Je ulipojivinjari na kahaba uliona tofauti yoyote na unachokipata kutoka kwa Mke/Mpenzi wako?
Sana tu. Kahaba hakupi mzigo bila kutoa fedha wakati home napewa bure. Utafiti umeonyesha kuwa penzi linalohusishwa na feza linakuwa tamu mara mbili ya penzi la bure. Nshaongea na wife ili niachane na makahaba basi awe ananipiga mzinga kabla hajapanua paja.
7. Je umeshawahi kufumaniwa na mke wa mtu?
Mara tatu, mara ya mwisho sikujua kama cacico ni mke wa mtu.
Hapo kwenye Bold nyeusi nilikuwa namaanisha ulizaliwa msimu gani, wa kipupwe au kiangazi?
Nilikuwa bize namoderate meseji za maswali ya wana JFKabla sijakujibu kudadadadadeki niambie kwanini ulinikimbia studio?
Rekodi zinaonyesha haijawahi tokea wauliza maswali wakamkibia mjibu maswali kwenye Zinduna talk show......ODM Hoyeeeeeeeeeee!
Baby hujambo?