Gudboy
JF-Expert Member
- Aug 14, 2009
- 867
- 77
Jamani wana JF naomba mnisaidie kwenye hili, kuna mchumba wangu jana kanipigia simu na kunifahamisha matokeo yake ya kidato cha 6 kuwa amepata I point 9. sasa nilimwambia akipata hiyo nitampa zawadi, je ni zawadi gani inamfaa my wife to be
ahsanteni sana kwa mawazo yenu
ahsanteni sana kwa mawazo yenu