Zawadi gani inamfaa huyu

Mpe pipi ya kijiti yenye flavor ya strawberry au chocolate atakushukuru sana...........
 
Jamani wana JF naomba mnisaidie kwenye hili, kuna mchumba wangu jana kanipigia simu na kunifahamisha matokeo yake ya kidato cha 6 kuwa amepata I point 9. sasa nilimwambia akipata hiyo nitampa zawadi, je ni zawadi gani inamfaa my wife to be

ahsanteni sana kwa mawazo yenu

huo mtihani wa kidato cha sita amefanyia katika nchi gani?au kama ni hapa bongo alifanya zamani sana basi,au?
 
huo mtihani wa kidato cha sita amefanyia katika nchi gani?au kama ni hapa bongo alifanya zamani sana basi,au?

NI MOCK ETI.

huyu dogo kafulia kweli kweli zawad unampa mtu kwa mtihani wa mock,then unauliza great thinkers?
 
habari nzuri ni kweli nimefulia balaa yaani...

hehehe pole ina bidi uende ukakope bank ya Wanawake si wamewafungulia karibu na uchaguzi ili muwachague nasikia nyie iwa mnachagua rangi tu ya pale Jangwani.
 
Aliposhauriwa aoe alisema yeye bado mtoto na anasoma na hana mpango huo kwa sasa.Na huyu mke mtarajiwa wa nini tena?Kazi ipo!
 
ni kweli kabisa ni mimi haya ninayosema ni kweli, huyu wa sec ninaye siku nyingi na anaheshima sana, haombi ombi pesa, ndio maana nikasema ni my wife to be, yuel mwingine mwizi tu, mapenzi gani ya pesa. halafu kama unakumbuka kulikua na mada hapa ya kupima kati ya wapenzi ulio nao yupo anafaa, so huyu wa cha 6 mwana anafaa sana, tena w/end hii alikuja kwangu kunipikia, namsubiri chuo aje tule maisha

nimeamini wewe kimeo jina lako na matendo yako ni tofauti ...:)
 
Yani nimecheka hapa kama mjinga yani. huyu mtoto kweli ana matatizo au kama si hivuyo huwa anavuta bangi. Yani muongo muongo tu akidhani hapa watu hawana memory kabisa, lo! hakuna tatizo kubwa kama kuwa na muongo na kutokuwa na kumbukumbu..
lakini ni utoto tu badboy, ukikua utaacha!
 
halafu angalia signature yake na maneno yake kwamba hata Chrispin na umri wake hamfikii kwa mademu aliokwisha kuwa nao na anoendelea kuwapanga, as if ni sifa. Lakini umepima hivi karibuni?
 
hehehe pole ina bidi uende ukakope bank ya Wanawake si wamewafungulia karibu na uchaguzi ili muwachague nasikia nyie iwa mnachagua rangi tu ya pale Jangwani.

haha haa...ndugu yangu we, nimekopa zimeisha...na kufulia kuko palepale...si unajua tena maisha yenyewe haya!...hata benk imeshindwa kutukwamua lol

mie mikopo nachukua, vitenge kapelo tisheti vyote nakomba, na kura yangu hawaioni hata darubini....!
 
Nimechanganyikiwa na matokeo ya Form Six October, au hii ni thread ya April! Nipeni ufafanuzi.
 
ni kweli kabisa ni mimi haya ninayosema ni kweli, huyu wa sec ninaye siku nyingi na anaheshima sana, haombi ombi pesa, ndio maana nikasema ni my wife to be, yuel mwingine mwizi tu, mapenzi gani ya pesa. halafu kama unakumbuka kulikua na mada hapa ya kupima kati ya wapenzi ulio nao yupo anafaa, so huyu wa cha 6 mwana anafaa sana, tena w/end hii alikuja kwangu kunipikia, namsubiri chuo aje tule maisha
...Mkuu akianza kutambaa kinachofatia ni kutembea. Yawezekana akatembelea sehemu nyingi zaidi na wewe ukamwagwa vile vile so usijiamini saaana kuwa ndio my wife wako to be!!! Form 6 wa miaka hii wengine wameshakuwa makungwi kwenye kitchen party.Juzi sio jana wala sio leo wala sio kesho!!!
 
ni kweli kabisa ni mimi haya ninayosema ni kweli, huyu wa sec ninaye siku nyingi na anaheshima sana, haombi ombi pesa, ndio maana nikasema ni my wife to be, yuel mwingine mwizi tu, mapenzi gani ya pesa. halafu kama unakumbuka kulikua na mada hapa ya kupima kati ya wapenzi ulio nao yupo anafaa, so huyu wa cha 6 mwana anafaa sana, tena w/end hii alikuja kwangu kunipikia, namsubiri chuo aje tule maisha


ala ala asije aka-disco mtoto wa watu, na u-wife to be utaishia hapo maana nasikia siku hizi mnataka wa kugawana majukumu
 
Back
Top Bottom