Hehehe za siku mama nasikie eti umefulia ni kweli?
Jamani wana JF naomba mnisaidie kwenye hili, kuna mchumba wangu jana kanipigia simu na kunifahamisha matokeo yake ya kidato cha 6 kuwa amepata I point 9. sasa nilimwambia akipata hiyo nitampa zawadi, je ni zawadi gani inamfaa my wife to be
ahsanteni sana kwa mawazo yenu
huo mtihani wa kidato cha sita amefanyia katika nchi gani?au kama ni hapa bongo alifanya zamani sana basi,au?
habari nzuri ni kweli nimefulia balaa yaani...
ganja bana!.....lolNI MOCK ETI.
huyu dogo kafulia kweli kweli zawad unampa mtu kwa mtihani wa mock,then unauliza great thinkers?
Swadakta, kwa hilo naomba radhi kwa kuto wasilimia, shikamooni wote mliotajwa na bro crispin
Marihabaaaaaaaaaaaaaaa.Hujambo eee! Yogeta umekula leo?
ni kweli kabisa ni mimi haya ninayosema ni kweli, huyu wa sec ninaye siku nyingi na anaheshima sana, haombi ombi pesa, ndio maana nikasema ni my wife to be, yuel mwingine mwizi tu, mapenzi gani ya pesa. halafu kama unakumbuka kulikua na mada hapa ya kupima kati ya wapenzi ulio nao yupo anafaa, so huyu wa cha 6 mwana anafaa sana, tena w/end hii alikuja kwangu kunipikia, namsubiri chuo aje tule maisha
Lol! Unapenda shkamoo mchumba! Mbona mi huwa huniamkiagi? (Sorry, off point) Hahahaha!
teh teh teh! Usinitie aibu kwa kujifananisha na watoto wa shule! nikikuamkia ww tena tutakuwa tunaogopana na u-honey utakuwa haupendezi
hehehe pole ina bidi uende ukakope bank ya Wanawake si wamewafungulia karibu na uchaguzi ili muwachague nasikia nyie iwa mnachagua rangi tu ya pale Jangwani.
...Mkuu akianza kutambaa kinachofatia ni kutembea. Yawezekana akatembelea sehemu nyingi zaidi na wewe ukamwagwa vile vile so usijiamini saaana kuwa ndio my wife wako to be!!! Form 6 wa miaka hii wengine wameshakuwa makungwi kwenye kitchen party.Juzi sio jana wala sio leo wala sio kesho!!!ni kweli kabisa ni mimi haya ninayosema ni kweli, huyu wa sec ninaye siku nyingi na anaheshima sana, haombi ombi pesa, ndio maana nikasema ni my wife to be, yuel mwingine mwizi tu, mapenzi gani ya pesa. halafu kama unakumbuka kulikua na mada hapa ya kupima kati ya wapenzi ulio nao yupo anafaa, so huyu wa cha 6 mwana anafaa sana, tena w/end hii alikuja kwangu kunipikia, namsubiri chuo aje tule maisha
ni kweli kabisa ni mimi haya ninayosema ni kweli, huyu wa sec ninaye siku nyingi na anaheshima sana, haombi ombi pesa, ndio maana nikasema ni my wife to be, yuel mwingine mwizi tu, mapenzi gani ya pesa. halafu kama unakumbuka kulikua na mada hapa ya kupima kati ya wapenzi ulio nao yupo anafaa, so huyu wa cha 6 mwana anafaa sana, tena w/end hii alikuja kwangu kunipikia, namsubiri chuo aje tule maisha