babumufty JF-Expert Member Dec 26, 2011 223 77 Mar 11, 2012 #1 Kwanini niki connect internet na line ya zantel ina kataa,wanamatatizo gn hawa
B bitimkongwe JF-Expert Member Oct 21, 2009 7,357 6,809 Mar 11, 2012 #2 Mbona mimi nilikuwa nikitumia mpaka hii saa kumi jioni ya leo? Labda laptop yako ina matatizo au ikiwa unatumia ttcl haziko compatible lazima moja uiondoe
Mbona mimi nilikuwa nikitumia mpaka hii saa kumi jioni ya leo? Labda laptop yako ina matatizo au ikiwa unatumia ttcl haziko compatible lazima moja uiondoe
N Nyasiro JF-Expert Member Feb 20, 2012 1,200 551 Mar 11, 2012 #3 babumufty said: Kwanini niki connect internet na line ya zantel ina kataa,wanamatatizo gn hawa Click to expand... Kwenye kompyuta/simu na inatoa error message yoyote au inakataa kivipi?
babumufty said: Kwanini niki connect internet na line ya zantel ina kataa,wanamatatizo gn hawa Click to expand... Kwenye kompyuta/simu na inatoa error message yoyote au inakataa kivipi?