hp4510
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 6,451
- 6,325
Wandugu Salama
Hivi nawezaje kuzuia kuzuia app ya bank wasiweze ku access contact na calendar kwenye simu yangu
Mfano ukidownload app ya crdb kunasehemu inataka Ile app iweze kuwa na access ya contact, calendar and picture
Sijajua why ina recommend hivyo but what if sitaki wapate hiyo access naweza kufanyaje?
And kama nilikuwa na hiyo app, na Nika allow then what happen kama Niki unstal ? Bado wanaweza kufika kwenye contact zangu au inakuwaje?
Hivi nawezaje kuzuia kuzuia app ya bank wasiweze ku access contact na calendar kwenye simu yangu
Mfano ukidownload app ya crdb kunasehemu inataka Ile app iweze kuwa na access ya contact, calendar and picture
Sijajua why ina recommend hivyo but what if sitaki wapate hiyo access naweza kufanyaje?
And kama nilikuwa na hiyo app, na Nika allow then what happen kama Niki unstal ? Bado wanaweza kufika kwenye contact zangu au inakuwaje?