JuniorDarilson_
Member
- Feb 19, 2024
- 39
- 53
Ndugu zangu nilijiunganisha na airtel 5g unlimited internet nikajua kwamba hawana limit ya volume kumbe unahesabiwa gb na GB zikiisha speed ya internet inapungua. Mimi nilitoka kuwa na speed ya download 30Mbps Upload 5OMbps kwenda mpaka 1Mbps download na 2Mbps upload daah nichangamoto kubwa sana.
Nawashauri tu wale ndugu zangu wanaotaka kujiunga na hii airtel 5g unlimited. Kama wewe ni mtu wa kudownload vitu sana hii haifai kabisa na speed ikipungua internet inasumbua yani hata kuchek tu insta shughuli ina stuck sana.
So Beware