Postpaid internet connection kwa Vodacom, Tigo, Airtel, Halotel

maduhuli

New Member
Nov 21, 2023
1
0
Wakuu Salaam,

Naomba msaada kujua mtandao gani kati ya Vodacom, Tigo, Airtel, na Halotel wana gharama nafuu ya POSTPAID INTERNET CONNECTION na wenye kasi nzuri.

Asante.
 
Wakuu Salaam,

Naomba msaada kujua mtandao gani kati ya Vodacom, Tigo, Airtel, na Halotel wana gharama nafuu ya POSTPAID INTERNET CONNECTION na wenye kasi nzuri.

Asante.
Katika matumizi yangu ya kawaida Vodacom wapo vizuri kuliko wote ila tatizo vifurushi vyao vimechangamka sana.
 
Back
Top Bottom