Lambardi
JF-Expert Member
- Feb 7, 2008
- 16,513
- 17,386
nakubaliana na Neno kazi ya Mungu...ila kwa hali ya mererani kwa sasa ni ngumu sana kuwaunganisha vijana au wachimbaji wadogo wadogo waweze kujiunda vikundi wakatafuta pesa wa ma bank ili waweze kuchimba kwa utaalamu kidogo na kutumia njia za kisasa....ili kuepukana na majanga kama hayo..ingawa ukiongea nao wanakuwa hawakuelewi hata wanasema inachukua miaka 10 au zaidi ndipo majanga yanapotokea...ni bahati mbaya tu........ukisema wajiunge..kila mchimbaji mdogo anakuwa mbinafsi na hawana muda kupoteza kufuatilia urasimu uliopo hadi waweze kuanzisha na kupewa fund............