Uko SAHIHI aliiba sana,meneja aliitwa Mkua .Ila Kuna story kuwa hakujiua walileta maiti ya mtu mwingine hata haikushuhudiwaAbakumbukwa Kama mwizi
Aliiba chama kikuu Cha ushirika Ruvuma Hadi akasababisha aliyekuwa meneja mkuu wa hicho chama kujiua Iringa alikomfuata akiwa mkuu wa mkoa wa Iringa Baada ya kuhamishwa toka Ruvuma
Meneja lilipobuma alimfuata kuwa mzee mapesa ya watu hawakuelewana nadhani yule meneja akajiua eneo la kilimani nyumbani kwa Mchungaji alikofikia
Mwizi huyo
Meneja alitokomea Kenya
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app