Ngongo
JF-Expert Member
- Sep 20, 2008
- 18,931
- 31,173
Heshima sana wanajamvi,
Inafahamika Jumanne yatakuwepo maandamano hapa Jijini Arusha.
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha imekuwa katika harakati kubwa za kutaka kuyazuia maandamano hayo kwa kutumia njia haramu na zinazo kiuka misingi ya katiba yetu yenye mapungufu mengi.
Mosi kamtumia mwenyekiti wa Bodaboda ambaye ni mjumbe wa kamati ya siasa ya Wilaya Arusha kudai eti maandamano yataathiri kazi zao.
Pili katokea Mwenyekiti wa AKIBOA (WAMILIKI WA MABUS ARUSHA - MOSHI) kadai maandamano yatavuruga kazi zao.
Kajitokea Mwenyekiti wa Utalii wazawa ambaye pia ni kada maarufu wa CCM kadai maandamano yakifanyika watalii wataacha kuja Tanzania.
Misafara yote iliyopangiliwa na kupangika inaratibiwa na Mkuu wa Mkoa wa Arusha ambaye pia ni Mwenyekiti wa Ulinzi na Usalama wa Mkoa.
Inasikitisha gharama kubwa zinatumika kuwahonga baadhi ya watu wenye akili ndogo kutaka kuvuruga Maandamano ambayo yanafanyika katika utaratibu wa kufuata katiba yetu.
Inafahamika Jumanne yatakuwepo maandamano hapa Jijini Arusha.
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha imekuwa katika harakati kubwa za kutaka kuyazuia maandamano hayo kwa kutumia njia haramu na zinazo kiuka misingi ya katiba yetu yenye mapungufu mengi.
Mosi kamtumia mwenyekiti wa Bodaboda ambaye ni mjumbe wa kamati ya siasa ya Wilaya Arusha kudai eti maandamano yataathiri kazi zao.
Pili katokea Mwenyekiti wa AKIBOA (WAMILIKI WA MABUS ARUSHA - MOSHI) kadai maandamano yatavuruga kazi zao.
Kajitokea Mwenyekiti wa Utalii wazawa ambaye pia ni kada maarufu wa CCM kadai maandamano yakifanyika watalii wataacha kuja Tanzania.
Misafara yote iliyopangiliwa na kupangika inaratibiwa na Mkuu wa Mkoa wa Arusha ambaye pia ni Mwenyekiti wa Ulinzi na Usalama wa Mkoa.
Inasikitisha gharama kubwa zinatumika kuwahonga baadhi ya watu wenye akili ndogo kutaka kuvuruga Maandamano ambayo yanafanyika katika utaratibu wa kufuata katiba yetu.