Yote tisa, kumi CCM wametuweza kweli kweli

Mzee Mwanakijiji siasa ya mwaka huu ni mpya kabisa, hakuna mtu angeweza kutabiri tu walau miezi miwili iliyopita kwamba Dr.slaa atakuwa sio kitu ndani ya chadema! na sasa hakuna anayeweza kutabiri mwezi ujao nini kitafuatia kwenye siasa za Tanzania.

Askari yeyote akibainika ni msaliti hushughulikiwa mara moja bila kujali amekutumikia kwa muda gani. adhabu yake ni ile ile sawa na aliyejiunga jana na akagundulika kuwa ni msaliti.
 
Hiyo nukuu ya Nyerere mnaitafsiri kinyume-nyume, soma na hii.....

"Rais wa JMT anaweza kutoka chama chochote lakini rais bora atatoka ccm". By J.K.Nyerere.

Chama kisipo mchangua mtu ambaye watu wanamtaka kinaweza kulia kilio kikakosa wa kukisaidia kufuta machozi.
By J. K. Nyerere
 
frustrated slaa anasema ccm wanadanganya kisha anasema tusirudie makosa very diorganised, anadai yeye hatendi dhambi kwakuwa serekali iliweka zuio la kufunga ndoa kwa kufungua kesi.anasema shule za kata hazina kiwango haziwezi kudumu kwa miaka kumi ijayo huyu mzee simuelewi mi nazifahamu hizi shule kama tano hivi zipo imara na zitadumu miaka hamsini na zaidi
 
LIWALO NA LIWE, LAKINI KWANZA TUUONDOE MFUMO CHAKAVU, PERIOD. BAADA YA HAPO TUTAWEZA KUONDOA UPUUZI WOWOTE, WITH A CONFIDENCE. TATIZO MFUMO ZZM. PERIOD. UTAKI ACHA.
cc Mwanakijiji, usieishi kijijini.
 
Tuweni wa kweli, kama sio wanachama wa CCM kuja UKAWA tunataka tupate wapi wananchama? Tuwazae? Hapana, ni lazima wawe ni wanachama toka vyama vingine! Au at least basi ni Washabiki wa chama fulani ndio wanaojenga chama!!!

Kwanini mwana CCM akitoka CCM kuja upinzani ndio inakua nongwa? Naamini Chadema kuna Katiba ambayo wataiheshimu.... ni kweli wengi wametoka CCM lakini tulitaka watoke wapi kama sio CCM? S ndi lengo letu? waujue ukweli ili kweli iwaweke huru? Kuna kosa? Nadhani tusiwe wabinafsi kupita kiasi

Shida ya watu wanahisi CHADEMA ni peponi au sehem wanapoishi watakatifu kiasi kwamba huruhusiwi kupinga kama kuna vitu unaviamini!! Kwa maoni yangu hata kama slaa kanunuliwa lakin jaribuni kuangalia zile hoja alizotoa je ni za Kwel? Zaman ilikua ukihoji kitu unaulizwa we CHADEMA nini? Lakin saiz Ukitaka kuhoji kitu unaitwa ccm mara msaliti yan majina kibao!! Hivi CHADEMA huruhusiwi kukosoa au kuhoji ka vitu haviko sawa? Au tuamini kuwa CHADEMA ni peponi wanaishi watakatifu tu?
 
Kauli yake tu ya kula mihogo eti kisa kiongozi inamuondolea credibility muongo na nzushi. Toka lini sifa ya kiongozi ikawa kula vibaya na umaskini eti ndo sifa. Huyu ni mtu mwenye roho ya kinyongo,hana moyo wa kusamehe na kujiona msafi.
Mkewe kamshinda ndo Watanzania,eti kuita wengine makapi kwani yeye alitokea wapi. Na picha za mitandaoni zimemuumbua

Babu hana jipya speech yke tu imemuonyesha kaolewa n mshumbusi.......huyo dada nimesoma nae primary school mwanza alikua mweusi......babu alivyobwege kajua mtoto shombeshombe......hata angeongea cku nzima haibadilishi upepo ccm wamezidiwa dats why wanakuja n mbinu hafifu,sasa sijui watakuja n nani kuokoa jahazi mana linazama magufuli tunataka 265bn ulizokula.

Ripoti ya CAG ilisema ukaja n ngonjera zako sasa mda umewadia tuambie hela zetu ziko wapi sio porojo zako na chama chako bila hivyo rudi chato ukawe diwani uraisi haukufai
 
SISI TULIOITWA WAPUMBAVU NA MALOFA,TUTAMPIGIA KURA EDWARD LOWASSA,na sio MAGUFULI.
 
you better shut up coz u don't know what's going on...or else you are part of it.

Nilichokiona leo gives me confidence to say this
 
Akili kubwa haiwezi kutawaliwa na akili ndogo wala isijitambue kuwa ni akili kubwa
ukiona hivyo basi ni akili ndogo toka zamani
 
Hata ukawa waweke mbuzi nini mwizi tutachagua mabadiliko ili hawa mabwana warudi chini watuheshimu sisi wananchi. Kichinjio kipo tayari
 
Mwanakijiji utakapo jua Dr. kukuingiza Choo cha kike ndo Utaelewa kuwa siasa ni Sanaa na Science
 
Wametuweza kwa lipi? Kiukweli sioni lolote ambalo CCM wanaweza kujivunia.
Watu wanaelewa sasa hivi tofauti na zamani.
Kipimo ni tukio la jana, nilidhani litaleta mtikisiko mkubwa ila hakuna chochote cha kutisha.
Mbinu zote za CCM zimekosa matokeo mazuri mwaka huu.

Wamewaweza sababu sera na msingi mkuu wa chadema ulikuwa ni kupinga ufisadi.. Leo hii mgombea wenu hata kulitamka hilo neno hawezi... Anaishia kusema "nauchukia umaskini" kila mtu anauchukia umaskini ..
 
Mwanakijiji, Nakushauri ujiunge CCM, tayari ushavua sirahi huna haja ya kuungana na sisi. Wacha tusonge mbele

Kama Dr. Slaa. Alikuwa mpinzani wa Kweli Alipaswa kusema NO kwa Lowassa tangu siku ya Kwanza na akatia msimamo kwamba yeye kama Katibu Mkuu hayuko tayari kumpokea Lowassa ndani ya chadema vinginevyo anajiuzuru.

Kama Kuna Mtu aliye wauza watz waliomwamini ni Slaa. Acha tusonge mbele acha CCM B itawale.

Tutamchagua LOWASSA kwa sababu Slaa alitaka iwe hivyo
 
MM naona unaendelea kutwanga maji kwenye kinu. Ila usisahau Musa alilelewa ikulu ya Farao.
 
Mzee Mwanakijiji siasa ya mwaka huu ni mpya kabisa, hakuna mtu angeweza kutabiri tu walau miezi miwili iliyopita kwamba Dr.slaa atakuwa sio kitu ndani ya chadema! na sasa hakuna anayeweza kutabiri mwezi ujao nini kitafuatia kwenye siasa za Tanzania.

Mwezi ujayo upinzani utazikwa kabisa
 
Last edited by a moderator:
MMGL0846.jpg


Chakula kwa Fikra Zako: CCM wamefanikiwa jambo moja ambalo sikulidhania linaweza kufanikiwa miezi michache tu nyuma; wamewachagulia wapinzani mgombea wao wa Urais, timu yake na mashabiki wake na kulazimisha upinzani (hasa CHADEMA) kubadilisha wagombea wake na kuwapokea kwa furaha waliotolewa kama zawadi na CCM kwao.

Kama kweli - alivyodai Lissu - kuwa CHADEMA walishampitisha Dr. Slaa kuwa mgombea wao wa Urais kwenye kikao cha Kamati Kuu basi kumuondoa yeye (aliyekuwa anahofiwa sana na CCM labda kuliko mtu mwingine yeyote miaka hii mitano) ni mkakati ambao umefanikiwa kupitiliza. Leo wana CDM (sijui kama ni wengi au la) wamejipanga kushangilia mapinduzi ya kimkakati waliyofanyiwa na CCM wakiamini kuwa wamepewa zawadi.

Leo mtu aliyekijenga chama na kupigwa pamoja nao anaonekana hana mpango ati ni kikwazo cha "mabadiliko" wakati mtu ambaye hajawahi kuwa na rekodi ya mabadiliko au hata kuutetea upinzani anahusishwa na mabadiliko! Jeraha hili la upinzani haliwezi kuponeshwa na wale wale waliosibabishwa; tuliambiwa "akili ndogo zisitawale akili kubwa"... sasa siyo tu akili ndogo zinatawala akili kubwa; akili kubwa zenyewe hazijijui kuwa ziliwahi hata kuwa akili kubwa!

Vyovyote vile itakavyokuwa CCM itaendelea kutawala ama kupitia Magufuli au kupitia Lowassa. Hili wapo ambao hawataki kuamini ndilo limetokea huku wenyewe wakiamini kuwa wanapigania "mabadiliko". Kuigeuza upande mmoja wa shilingi ukasema "umebadilisha" ni kweli; lakini hujabadilisha shilingi!

Hapa CCM wametutia kidole...




Cha macho!.. hata hatuoni tena.


MMM

Mwanakijiji. Kitu ambacho hukielewi nikua mfumo wawate ulilioota mizizi (wasikunyingi) si rahisi kuubadili kwa mara moja kama gari linanyopinduka.

Bali huchukua muda na hatua kwa hatua kubadilika.

Namainisha kua ingalikua ngumu kwa Dr Slaa kushinda na pia kupewa akishinda kwasababu hana chain na wakubwa walioshika nyadhifa muhimu.

Tofauti na Lowasa ambae inawezekana hata ndani ya vyombo vya ulinzi jeshu/polisi kunawatu wanafahamiana iwe kiurafiki au maslahi. Hii itasaidia kumpanguvu Lowasa na kupungua nguvu kwa wale Walinzi wa ccm ambao wanataka kuisaidia ccm ibakie milele,
Kwasababu wataogopana.

Lakini jengine nikua Lowasa akisaidia kushinda kwa upinzani kiburi ambacho kipo sasa kwa sisiem au hata watu wakawaida kitapungua kwa kuhofia utawala mpya.

Hapa ndio manadiliko yatakapo anza na akika kiongozi mwengine atazidisha mabadiliko hadi tutafika safari yetu.
Iko tofauti kubwa kushinda Ccm Lowasa kupitia Ukawa na kushinda ccm Lowasa kupitia ccm. Au magufuli wa ccm.

Kwavyovyote ikibakia ccm madadiliko yatakua machache au hayatakuepo kamavile Mh mkapa na Dr kikwete hawakuonyesha mabadiliko yao katika nchi kwa 20yaers., isipo kua yale ya lazima mabadiliko kama vile kuwepo magorofa marefu nk.ambayo hata tusenhaliku na kiongozi majumba yangalijengwa tu kutokana na mahitaji.

Lowasa wa upinzani anaafadhali kulilo ccm yoyote atakae tutawala.

Niwasababu ndio Lowasa atakua ndio chanzo na mwanzo wamabaduliko .
 
Back
Top Bottom