Yemenikuta Mwenzenu

duuuuh afadhali kakuachia roho yako maana vingine vyote utavipata tu duuuh papuchi aliicha kweli huyo maana inaonysha alikuwa na njaa na vyote pole sana mkuu
 
aisee pole sana...amaa kaanzakwagia mara businessmara prime minister office mh kazi sana....matapeli wanaonekana ga wa maana ....angekuwa mtu wa kawaida ana shida kweli ndio angeonekana tapeli....macho haya loo....tapeli huyo wa hali ya juu
 
yamenikuta mwenzenu.

Ilikuwa ni siku ya jumatano saa tano asubuhi, nikiwa ndani ya quality centre nikaingia kwenye cash point kutoa pesa.pembeni kulikuwa na kijana anaongea na simu kwa nguvu.mimi nilikuwa na mwenzangu ambaye ndo alinifanya nikatoe pesa mana alikuwa ananidai, basi nilivyokwisha kuchukua pesa nikampa rafiki yangu za kwake zilizobaki nikaweka kwenye pulse haoo tukaondoka.

Tulipofika kwenye gari tukasikia mtu anaita kwa nguvu ''dadaa dadaa" yule mwenzangu akamwona akamwambia aniite, kumwangalia alikuwa ni yule kijana tuliomwona pale kwenye ATMs,akaomba kuongea nami nikatoka kwenye gari nikamsikiliza,kwakuwa nilikuwa naendesha gari la kampuni ambalo ni branded nadhani ndipo alipopatia mwanya wa kuanzia akasema anataka kufanya business na blabla kibao nikamwambia kwa wakati ule nipo busy itabidi nimschedule kwa kesho yake akasema yuko serious anataka akamilishe procedures zote za kufanya biashara na kampuni yetu, basi tukapanga tuonane jioni, kwa kuwa mimi sina usafiri binafsi nikachagua tuonane karibu na kazini ambapo ni quality centre lemon tree(msinijudge nature ya kazi yangu nafanya awkward hours),ikafika mida ya miadi nikaenda, yule jamaa alikuwepo akajitambulisha kwa jina la Paul Eric Shayo anafanya kazi Prime Minister's Office akanionyesha na ID yake,basi tukakaa kidogo tukaongea mara mwenzangu akasema twende peacock hotel kuna sehemu nzuri imetulia kwa juu,ila from the minute nimeongea nae mimi sikuwa normal nikawa najihisi kama nimekunywa pombe wakati niliagiza tu maji, na kila alichosema mi nilitii,basi tukaenda peacock hotel kuna kachilling place kule juu sijui kanaitwaje,cha kushangaza yule jamaa akawa haongei business tena akaanza kunambia kuwa amekuwa akifunga ili apate mke na Mungu kamuonyesha ni mimi,huyo mume niliyenae ni muigizaji tu,kwa kweli aliongea maneno mengi ya kutisha mpaka nikahisi sio binadamu yule kijana.akija muhudumu atamwambia "huyu mchumab wangu" akiongea na simu atasema "niko na mchumba wangu",nilistaajabu sana.wakati naondoka akaomba anipe lift nikakubali,kitendo cha mimi kuingia kwenye gari lake nilihisi kuishiwa na nguvu nikajikuta nipo pale shoprite pugu road kwenye ATM machine nakumbuka kumsikia ananiambia toa laki mbili na mimi nikatoa akasema lete kadi nikampa akachukua na pesa zote nilizokuwa nazo kwenye pochi..wakati huo wote nilikuwa kama mlevi fulani.nilikuwa nina mfuko una nguo na viatu vipya tukatoka hapo shoprite akaenda kwa speed mpaka mwenge pale bamaga kuna hotel pale kuna kagarden akasimamisha gari akanambia shuka haraka nikashuka akatoa gari kwa speed na mizigo yangu ikiwa mule ila pochi nilibeba,nilistuka baada ya dakika tano nikawa nimeshila wallet yangu nikaangalia hela hakuna kadi zote hakuna na niilmtajia mpaka pin.nikarudi nyumbani ila bado nilikuwa nayumbayumba.

Jamani kuna uwizi wa ajabu sana, jana nikaamua kumtafuta huyu mtu nikaenda polisi afu nikaenda kuulizia prime minister's office,waliulizana ofisi nzima mpaka HR wote waliangali majina ya watu wao lakini hakukuwa na jina hilo.NILITAPELIWA kwa kupumbazwa.ssa sijui ni dawa gani alitumia vipi mi sijui mana sikunyanyuka kwenda chooni tuseme ameweka kwenye kinywaji.nimekoma mie kuongea na strangers jamani nimekomaaaaa,hapa nilipo sina kadi naanza kuzunguka mapolisi na benki,kaniharibia financial situation yangu yote pumbavu zake nina hasira na nilishika namba yake ya gari kabla sijaingia kwa gari ni T 116 BGH.ninampango wa kumtafuta huyu mtu hata miaka mia nne ijayo lakini nitampata tuuu,nina hasira sana kama gari si lake basi mwenye gari atamtaja.

Wheeew jamani yamenikuta mwenzenu.
"Pole mpendwa, but karibu tena town"
 
Pole sn now ndo michezo Yao ukiwaona wapo smart lakin Ni wez, tusipende kuongea Na watu ambao hatuwafahamu ukimpa dk 2 tu kumsikiliza kakumaliza anachukua attention yako Na utafanya kila anachotaka, wanatumia dawa
 
Pole sana ila usidhubutu kureport iyo kesi police ya tz kufa nalo moyoni, huyo ni mwizi hila hawezi kulingana na police wa tz, yaani ni zaid ya wezi
 
Pole sana mimeskitika kweli maana naimagine kama angekufanyia mambo mengi ya ajabu na mabaya???inabidi tuwe makini sana na binadamu wa siku izi maana wengi hawana wema!!!
Huwezi jua hawezi hadithia vyote!! Ila wadada why wanawafuataga nyie tu. Maana kila siku ni nyie tu. Mnaudhaifu gani kwenye hilo. Pili why mtu unatembea na ATM card bila hata ya matumizi. Ona sasa kagawa hadi pin number.
Mimi nabeba ATM card siku nahitaji hela tu sema nyie begi kuubwaaaa so wajaza vitu ambavyo hata huvitumii wakuta mtu Ana vitambulisho 9 vyote anazurura navyo akiibiwa begi anapoteza identity yake yote
 
yamenikuta mwenzenu.

Ilikuwa ni siku ya jumatano saa tano asubuhi, nikiwa ndani ya quality centre nikaingia kwenye cash point kutoa pesa.pembeni kulikuwa na kijana anaongea na simu kwa nguvu.mimi nilikuwa na mwenzangu ambaye ndo alinifanya nikatoe pesa mana alikuwa ananidai, basi nilivyokwisha kuchukua pesa nikampa rafiki yangu za kwake zilizobaki nikaweka kwenye pulse haoo tukaondoka.

Tulipofika kwenye gari tukasikia mtu anaita kwa nguvu ''dadaa dadaa" yule mwenzangu akamwona akamwambia aniite, kumwangalia alikuwa ni yule kijana tuliomwona pale kwenye ATMs,akaomba kuongea nami nikatoka kwenye gari nikamsikiliza,kwakuwa nilikuwa naendesha gari la kampuni ambalo ni branded nadhani ndipo alipopatia mwanya wa kuanzia akasema anataka kufanya business na blabla kibao nikamwambia kwa wakati ule nipo busy itabidi nimschedule kwa kesho yake akasema yuko serious anataka akamilishe procedures zote za kufanya biashara na kampuni yetu, basi tukapanga tuonane jioni, kwa kuwa mimi sina usafiri binafsi nikachagua tuonane karibu na kazini ambapo ni quality centre lemon tree(msinijudge nature ya kazi yangu nafanya awkward hours),ikafika mida ya miadi nikaenda, yule jamaa alikuwepo akajitambulisha kwa jina la Paul Eric Shayo anafanya kazi Prime Minister's Office akanionyesha na ID yake,basi tukakaa kidogo tukaongea mara mwenzangu akasema twende peacock hotel kuna sehemu nzuri imetulia kwa juu,ila from the minute nimeongea nae mimi sikuwa normal nikawa najihisi kama nimekunywa pombe wakati niliagiza tu maji, na kila alichosema mi nilitii,basi tukaenda peacock hotel kuna kachilling place kule juu sijui kanaitwaje,cha kushangaza yule jamaa akawa haongei business tena akaanza kunambia kuwa amekuwa akifunga ili apate mke na Mungu kamuonyesha ni mimi,huyo mume niliyenae ni muigizaji tu,kwa kweli aliongea maneno mengi ya kutisha mpaka nikahisi sio binadamu yule kijana.akija muhudumu atamwambia "huyu mchumab wangu" akiongea na simu atasema "niko na mchumba wangu",nilistaajabu sana.wakati naondoka akaomba anipe lift nikakubali,kitendo cha mimi kuingia kwenye gari lake nilihisi kuishiwa na nguvu nikajikuta nipo pale shoprite pugu road kwenye ATM machine nakumbuka kumsikia ananiambia toa laki mbili na mimi nikatoa akasema lete kadi nikampa akachukua na pesa zote nilizokuwa nazo kwenye pochi..wakati huo wote nilikuwa kama mlevi fulani.nilikuwa nina mfuko una nguo na viatu vipya tukatoka hapo shoprite akaenda kwa speed mpaka mwenge pale bamaga kuna hotel pale kuna kagarden akasimamisha gari akanambia shuka haraka nikashuka akatoa gari kwa speed na mizigo yangu ikiwa mule ila pochi nilibeba,nilistuka baada ya dakika tano nikawa nimeshila wallet yangu nikaangalia hela hakuna kadi zote hakuna na niilmtajia mpaka pin.nikarudi nyumbani ila bado nilikuwa nayumbayumba.

Jamani kuna uwizi wa ajabu sana, jana nikaamua kumtafuta huyu mtu nikaenda polisi afu nikaenda kuulizia prime minister's office,waliulizana ofisi nzima mpaka HR wote waliangali majina ya watu wao lakini hakukuwa na jina hilo.NILITAPELIWA kwa kupumbazwa.ssa sijui ni dawa gani alitumia vipi mi sijui mana sikunyanyuka kwenda chooni tuseme ameweka kwenye kinywaji.nimekoma mie kuongea na strangers jamani nimekomaaaaa,hapa nilipo sina kadi naanza kuzunguka mapolisi na benki,kaniharibia financial situation yangu yote pumbavu zake nina hasira na nilishika namba yake ya gari kabla sijaingia kwa gari ni T 116 BGH.ninampango wa kumtafuta huyu mtu hata miaka mia nne ijayo lakini nitampata tuuu,nina hasira sana kama gari si lake basi mwenye gari atamtaja.

Wheeew jamani yamenikuta mwenzenu.
Aisee nimesoma uzi wako nimetukana sana ila nashangaa mpaka uzi unaisha hata katusi kamoja ujamtia aisee Uzi kama huu mode hawezi kukupiga ban ukimtukana huyu kenge,jini mkata kamba mamaee
 
sweetdada yangu pole sana kwa mkasa huu, tushukuru Mungu hapa u mzima wa , maana sana hizi wengine wanaokotwa kwenye sandarusi coco beach huko, Uhai na uzima ndio muhimu, fedha kitu gani bwana!!! jamaa yangu mmoja karibuni tu hapa aliibiwa begi la mgongoni lililokuwa na mamilioni (30M) jamaa walimbadilishia lakni sasa ame cop vizuri tu. Pole sana sana
 
Back
Top Bottom