Ila kwa kifupi haya mabo yapo siku nyingi isipokua namna yake imebadirika kidogo,in my past,kuna mtu aliwahi kunijeruhi kitapeli nikiwa mbali na Dar es salaam,na alini hook kiasi kwamba simu ya mkononi ndio iliyonirudisha Dsm, baada ya kuiuza na sijui ningerudi vipi toka Kigoma hadi DSM.By the way,mpaka sasa hivi sina rafiki permanent na sina mpango wa kumuamini mtu tena kwa lolote.Ila ni angalizo zuri cause ID za sasa waweza tengeneza popote kwa sababu hakuna full net work ya ID'S katika Tanganyika hii.Kwa hili pia kumzoea mtu haraka kwa siku hizi ni zaidi ya tatizo.Tujaribu kuwaiga wakenya hawana muda na mtu,hata salaam ni issue siku kwao si lazima siku hizi.