wa ukae
JF-Expert Member
- Aug 11, 2008
- 2,649
- 2,008
Ni kweli aisee anaweza kuitumia TRA kumnasa huyo jamaa. Sijui kama alikumbuka kureport hilo tukio polisi?
Hilo ni tapeli lililo kubuhuu hata namba ya gari itakuwa ya ujanja ujanja pole sana dada yangu milima haikutani lakini hukutana ipo siku mtakutana tu