Eiyer
JF-Expert Member
- Apr 17, 2011
- 28,258
- 20,709
Nadhani kwa kauli yake alisema aliteua wajumbe wa tume kwa kushauriana na rais wa Zanzibar. Hivi huko zenji nako washauri wa rais ni kama wa huku bara? Yaani mwanasheria mkuu Tz na yule wa Zenji bar (woote huwa wanaamka na hang over?????)
Wakati mwingine najiuliza kama mwanadamu yupo kama vile tunavyoambiwa!