Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,475
- 39,991
Ninaamini kwa kuwaapisha baadhi ya watu kuwa� wajumbe wa Kamati ya rais ya Maoni kuhusu Katiba Mpya Rais Kikwete amevunja sheria ambayo yeye mwenyewe aliisaini. Sheria ya kusimamia mchakato huu inasema wazi kuhusu wajumbe wa Tume kuwa pamoja na mambo mengine kuwa:
[SIZE=-1]tuangalie:
Akimuapisha Mbunge
[/SIZE]
[SIZE=-1]
Hapa anamwapisha Mwakilishi (baraza la wawakilishi)
[/SIZE]
[SIZE=-1]
Hapa akimwapisha Prof. Mwesiga Baregu - Mjumbe wa Kamati Kuu ya CDM na Mkuu wa kampeni yake 2010
[/SIZE]
[SIZE=-1]
Hapa chini anamwaipsha Dr. Sengodo Mvungi ambaye ni Mjumbe wa kamati kuu ya NCCR Mageuzi[/SIZE]
[SIZE=-1]My Take:
a. Yawezekana labda natumia kipengele siyo sahihi kwa hiyo kama nakosea niko tayari kusahihishwa. Kama ni makosa basi hoja za hapa chini zipuuzwe.
b. Kama sheria inakataza kabisa na waziwazi kuwa wabunge na wawakilishi au viongozi wa kisiasa wasiwe wajumbe wa Tume na hakuna exception ni kwanini tuwaone wajumbe hawa kuwa ni halali?
c. Kama kweli watu hawa walipaswa kuwemo ndani ya tume hii kwanini sheria isingebadilishwa kwanza? au sasa wameshaingia ndio sheria itabadilishwa kuhalalisha?
d. Je, kama rais ameshindwa kuzingatia sheria aliyoipigia debe yeye mwenyewe watu wengine wakivunja sheria inakuwaje? Je,yawezekana Bungeni likaulizwa swali kupata maelezo juu ya uhalali wa wajumbe hawa?
e. Sheria inaposema asiwe kiongozi wa chama cha siasa "of any category" siyo kwamba it is too vast kiasi kwamba hata mwanachama wa kawaida tu anaweza kuhesabiwa kuwa ni kiongozi wa "category" fulani? yaani hata mshauri tu wa chama anaweza kuqualify kuwa ni kiongozi?
HANSARDI YA BUNGE FEB 8, 2012
[/SIZE]
6(5) Notwithstanding subsection (3), a person shall not qualify for appointment as a member of the Commission if that person is: (a) a Member of Parliament, a Member of the House of Representatives of Zanzibar, a Councilor or a leader of a political party of any category;
[SIZE=-1]tuangalie:
Akimuapisha Mbunge
[/SIZE]
[SIZE=-1]
Hapa anamwapisha Mwakilishi (baraza la wawakilishi)
[/SIZE]
[SIZE=-1]
Hapa akimwapisha Prof. Mwesiga Baregu - Mjumbe wa Kamati Kuu ya CDM na Mkuu wa kampeni yake 2010
[/SIZE]
[SIZE=-1]
Hapa chini anamwaipsha Dr. Sengodo Mvungi ambaye ni Mjumbe wa kamati kuu ya NCCR Mageuzi[/SIZE]
[SIZE=-1]My Take:
a. Yawezekana labda natumia kipengele siyo sahihi kwa hiyo kama nakosea niko tayari kusahihishwa. Kama ni makosa basi hoja za hapa chini zipuuzwe.
b. Kama sheria inakataza kabisa na waziwazi kuwa wabunge na wawakilishi au viongozi wa kisiasa wasiwe wajumbe wa Tume na hakuna exception ni kwanini tuwaone wajumbe hawa kuwa ni halali?
c. Kama kweli watu hawa walipaswa kuwemo ndani ya tume hii kwanini sheria isingebadilishwa kwanza? au sasa wameshaingia ndio sheria itabadilishwa kuhalalisha?
d. Je, kama rais ameshindwa kuzingatia sheria aliyoipigia debe yeye mwenyewe watu wengine wakivunja sheria inakuwaje? Je,yawezekana Bungeni likaulizwa swali kupata maelezo juu ya uhalali wa wajumbe hawa?
e. Sheria inaposema asiwe kiongozi wa chama cha siasa "of any category" siyo kwamba it is too vast kiasi kwamba hata mwanachama wa kawaida tu anaweza kuhesabiwa kuwa ni kiongozi wa "category" fulani? yaani hata mshauri tu wa chama anaweza kuqualify kuwa ni kiongozi?
HANSARDI YA BUNGE FEB 8, 2012
[/SIZE]