Upo na nani?au upo na Manji na Sendeu?Oya nyie mashabiki mnaonisubili geto safi sana,nilindieni nyumba yangu leo mie naenda kulala kwa demu wangu "MABWE PANDE"
Mnhhh...masihara hayo..mtibwa 2 yanga 0??..kwani hiyo yanga yanga ipiii? Sio ile ya muyu twite? Kelvin yo ndani?
Nipo na dadako!Upo na nani?au upo na Manji na Sendeu?
Nani Lulu?kwani alishatoka segerea?Nipo na dadako!
Na wewe njoo.
Unautani na yule mwanakwaya wa Songea "aka" capt?Nani Lulu?kwani alishatoka segerea?
Nipo na dadako!
Na wewe njoo.
Mkuu mi mtu mingine inakera kana kwamba mimba zao zilitungwa guest bana!Mkuu acha matusi ni mchezo tu, najua inauma sana ila ndo hivyo. mpira haukuwa upande wetu leo
Mkuu sawa, lakini tutaongozwa na historia mpaka lini, tunahitaji ushindi na siyo kufuata historia, tambo za viongozi wetu, magazeti nayo yalivyopamba timu yetu na mbwembwe za kocha wetu, sikutegemea tupate kipigo kama hiki, ama wachezaji wetu wamechoka safari ndefu? Inatia uchungu sana, kumbuka tukifungwaga , huwa tunafungwa mfululizo mpaka kuzinduka, naogopa hili, nadhani imefikia wakati tusicheze magazetini, maana inaafanya timu pinzani kujiandaa. Kumbuka ni 3-0 , inatia uchungu sanawana yanga msipaniki kutokana na matokeo mabaya ya timu tukumbuke kuwa bado mapema sana kutoa tathimin kwani ligi bado, mwaka jana si mnakumbuka tulivyowapa presha waganga wa kienyeji mpaka wakatutafutia hila za kumchezesha mchezaji mwenye red card dhidi ya costal
Ni kweli jamani tusijifariji kipigo kikubwa sana hiki goli 3, tatizo ni nini, mashuti ya akina Bahanuzi yameenda wapi kweli kazi tunayo mwaka huu na skina twite wetu