Yanga badilini jina kutoka Young Africans kuwa Adult Africans

Fredinho

JF-Expert Member
May 18, 2016
971
1,137
Nafikiri ni muda muafaka sasa timu yetu pendwa ya Young Africans ibadili jina ili isizidi kuonewa barani Afrika, jina Young Africans halina tofauti sana na toto afrika,so Yanga wanaonekana kama madogo flani hivi barani humu,napendekeza wajiite Adult Africans ili watishe kinomanoma.
 
1469568638443.jpg
 
Nafikiri ni muda muafaka sasa timu yetu pendwa ya Young Africans ibadili jina ili isizidi kuonewa barani Afrika, jina Young Africans halina tofauti sana na toto afrika,so Yanga wanaonekana kama madogo flani hivi barani humu,napendekeza wajiite Adult Africans ili watishe kinomanoma.
Kuna kipindi serikali ilivitaka vilabu, miaka ya nyuma, vibadili majina yao toka Kiingereza na kuyatafutia Kiswahili ndio maana Simba ikabadilishwa toka Sunderland.
 
Kuna kipindi serikali ilivitaka vilabu, miaka ya nyuma, vibadili majina yao toka Kiingereza na kuyatafutia Kiswahili ndio maana Simba ikabadilishwa toka Sunderland.
Bora na wao wangeshtuka enzi hizo wakajiita Tembo.
 
From kimataifa to kiama cha taifa!
Yanga ni club ya soka ndio maana kuna wachezaji wa kigeni kama unaenda Taifa hakuna wimbo wa Taifa unapigwa...ongeleeni Taifa stars ndio inavaa bendera zenye rangi za Taifa
 
Wazo zuri sana hilo. Simba pia wabadili toka Simba kuwa Paka Sports Club.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom