Carasco Putin
JF-Expert Member
- Apr 23, 2022
- 8,825
- 26,393
Mabingwa wa kutandaza soka tamu, soka la kuvutia, soka la kumtoa nyoka pangoni, soka ice cream, soka lenye viwango vya Dunia. Hapa nawazungumzia Young Africans.
Baada ya kupokea kichapo kikali toka kwa mahasimu wao simba Sports Club leo mida ya saa 10:00 jioni, Wananchi wenye nchi yao Young Africans watashuka pale dimba la Estadio de Dodswill Akpabio nchini Nigeria kutafuta alama tatu za ushindi mnono ili kujiweka kwenye nafasi nzuri ya kuingia nusu fainal kwa mara ya kwanza katika Fainali ya Michuano ya Shirikisho Barani Afrika.
Ikumbukwe kuwa hawa walishakutana katika michezo miwili huko, Timu ya Rivers United iliichakaza vibaya sana Wananchi kwa kuwafunga nyumbani na ugenini. Mchezo wa leo utakuwa mkali kwa timu zote.
Kila la kheri Yanga.
==========
Updates..
Mchezo umeanza
5' Bado mchezo hauna kasi kubwa, timu zote zinasomana
9' Rivers wanakosa nafasi ya wazi, mpira unamkataa mshambuliaji wao karibu na lango la Yanga
12' Mashabiki si wengi uwanjani
15' Yanga wanafanya shambulizi kali, lakini wanashindwa kuweka mpira wavuni
26' Azizi Ki na FaridI Mussa wanapata nafasi ya kufunga lakini wanakosa umakini
38' Mashambulizi ni makali na timu zinapokezana kushambulia
41' Yanga wanaonesha ubora wa kuzuia mashambulizi ya Rivers
45' Zinaongezwa dakika 2
MAPUMZIKO: Matokeo bado ni 0-0
Mabadiliko kwa Yanga, wanaingia Kibwana Shomari, Moloko na Tuisila Kisinda wametoka Lomalisa, Djuma na Faridi Musa
Kipindi cha pili kimeanza
47' Bado mambo ni magumu kwa timu zote
68' Mayele anakosa nafasi nzuri akishindwa kumalizia kazi nzuri ya Azizi Ki
74' Fiston Mayele anafunga
VAR: Mwamuzi anapitia kama kuna OFFSIDE, mchezo umesimama kwa muda
Mwamuzi anaruhusu mchezo uendelee kuwa ni goli halali
78' Natoka Mudathir anaingia Zawadi Mauya
81' Mayelee anafunga goli la pili kwa Yanga, ni bada ya Rivers kushindwa kufunga ndipo Yanga wakafanya shambulizi la kushtukiza
90' Zinaongezwa dakika 6
Full Time
Baada ya kupokea kichapo kikali toka kwa mahasimu wao simba Sports Club leo mida ya saa 10:00 jioni, Wananchi wenye nchi yao Young Africans watashuka pale dimba la Estadio de Dodswill Akpabio nchini Nigeria kutafuta alama tatu za ushindi mnono ili kujiweka kwenye nafasi nzuri ya kuingia nusu fainal kwa mara ya kwanza katika Fainali ya Michuano ya Shirikisho Barani Afrika.
Ikumbukwe kuwa hawa walishakutana katika michezo miwili huko, Timu ya Rivers United iliichakaza vibaya sana Wananchi kwa kuwafunga nyumbani na ugenini. Mchezo wa leo utakuwa mkali kwa timu zote.
Kila la kheri Yanga.
==========
Updates..
5' Bado mchezo hauna kasi kubwa, timu zote zinasomana
9' Rivers wanakosa nafasi ya wazi, mpira unamkataa mshambuliaji wao karibu na lango la Yanga
12' Mashabiki si wengi uwanjani
15' Yanga wanafanya shambulizi kali, lakini wanashindwa kuweka mpira wavuni
26' Azizi Ki na FaridI Mussa wanapata nafasi ya kufunga lakini wanakosa umakini
38' Mashambulizi ni makali na timu zinapokezana kushambulia
41' Yanga wanaonesha ubora wa kuzuia mashambulizi ya Rivers
45' Zinaongezwa dakika 2
MAPUMZIKO: Matokeo bado ni 0-0
Mabadiliko kwa Yanga, wanaingia Kibwana Shomari, Moloko na Tuisila Kisinda wametoka Lomalisa, Djuma na Faridi Musa
Kipindi cha pili kimeanza
47' Bado mambo ni magumu kwa timu zote
68' Mayele anakosa nafasi nzuri akishindwa kumalizia kazi nzuri ya Azizi Ki
74' Fiston Mayele anafunga
VAR: Mwamuzi anapitia kama kuna OFFSIDE, mchezo umesimama kwa muda
Mwamuzi anaruhusu mchezo uendelee kuwa ni goli halali
78' Natoka Mudathir anaingia Zawadi Mauya
81' Mayelee anafunga goli la pili kwa Yanga, ni bada ya Rivers kushindwa kufunga ndipo Yanga wakafanya shambulizi la kushtukiza
90' Zinaongezwa dakika 6
Full Time