Yanga imekaidi agizo halali la Serikali, hatua kali zichukuliwe dhidi yake

MUSHEKY

JF-Expert Member
May 9, 2014
2,812
2,754
Wakuu kwa kuwa nchi yetu inafuata utawala wa sheria ningependa niwasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano.

Nijikite kwenye mada,

Mnamo tarehe 24 Juni, 2010 mshambuliaji na nahodha wa Timu ya Taifa ya Ufaransa Thiery Henry aliitwa na kuwekwa kikaangoni na Rais wa Ufaransa wa wakati huo Nicolas Sarkozy aandike insha isiyopungua maneno 2000 juu ya kwa nini walivurunda kwenye fainali ya Kombe la Dunia kwa mwaka huo.

Kana kwamba haitoshi Serikali ilionyesha karipio lao kwa timu kwa kuisafirisha timu yote na benchi la ufundi kwa tiketi za "Economy class" ili iwe fundisho kwa vizazi vijavyo.

Ili kuonyesha kwamba mambo hayo siyo mageni, tukirudi nyuma kidogo mnamo mwaka 1994 na 1998 kwenye Makombe ya Dunia (la Marekani na Ufaransa), nchini Iraq nako mambo yalikua si shwari kwa timu ya nchi hiyo iliyokua inapambania kufuzu fainali hizo, ambapo mtoto wa kiume wa Saddam Hussein bwana Uday yeye alianzisha Guantanamo ya kimichezo kwenye floo ya chini katika jengo la Kamati ya Olimpiki ya nchi hiyo.

Bwana Uday aliwasweka wachezaji kwenye chemba hizo za mateso mara kwa mara na kuwatishia kuwakata miguu na kuitupa kwa mbwa wakali waliozunguka chemba hiyo ya mateso.

Sambamba na hilo mwaka 2000 nchini Ivory Coast kwenye harakati za kufuzu AFCON mtawala wa kijeshi wa wakati huo ambaye sasa ndiye Rais wa nchi hiyo, aliisweka timu yote pamoja na viongozi wake kwenye kambi ya kijeshi, wakapewa msoto mkali baada tu ya kutolewa kwenye raundi ya kwanza ya michuano hiyo ya Mataifa ya Afrika.

Sambamba na hilo, hivi majuzi waziri wa nchi mwenye dhamana ya michezo Mohamed Mchengerwa alitoa agizo zito kutoka Serikalini kwenda kwa Klabu ya Yanga, kwamba Serikali inaiagiza Yanga kwamba ni lazima ikashinde mechi yake ya marudiano dhidi ya Wasudan.

Na kwa kuSa Dar es salaam Young Africans ilienda Sudan kuliwakilisha taifa, pengine ndiyo hasa msingi wa kauli ya kiongozi huyu mkubwa wa nchi kuipa agizo hili Yanga ambalo kiukweli limegeuka kuwa mzigo mzito kwa timu pamoja na uongozi.

Sasa kwa kuwa Rais wa Yanga alisikika akipokea maagizo hayo ya Serikali na kuahidi kuyatekeleza, ni wakati muafaka sasa kwa serikali ya jamhuri ya muungano wa Tanzania kuipa adhabu nzito timu ya Jangwani kwa kushindwa kutekeleza au kupuuzia maagizo ya nchi.

Mchengerwa kuwaacha Yanga hivi hivi ni kutengeneza "Double standards" na kukufanya upuuzwe hata wakati mwingine ukitoa maagizo kwa wengine yatapuuzwa tu!

Napendekeza uongozi wa Yanga wakiwemo Injinia na Profesa na wachezaji wote akiwemo Mwamnyeto na Mayele, wapelekwe Kambi ya Lugalo kwa walau wiki moja wakapigwe "Rolling" na kata tumbo ya kufa mtu ili iwe fundisho kwa timu za nchi hii kuliletea taifa aibu.

Ikumbukwe pia Yanga imeshindwa kuakisi harakati za Rais Samia za Royal Tour za kuitangaza nchi yetu kimataifa kwa mara ya pili mfululizo. Sasa jambo ambalo halivumiliki hata kidogo, kwani hali hii inachangia kudidimiza sekta ya utalii nchini.

Nawasilisha.

Sent from my M100 using JamiiForums mobile app
 
Wakuu kwa kua nchi yetu inafuata utawala wa sheria ningependa niwasalimu kwa jina la jamhuri ya muungano

Nijikite kwenye mada,

Mnamo tarehe 24 june 2010 mshambuliaji na nahodha wa timu ya taifa ya ufaransa Thiery henry aliitwa na kuwekwa kikaangoni na rais wa ufaransa wa wakati huo Nicolas sarkozy aandike insha isiyopungua maneno 2000 juu ya kwa nini walivurunda kwenye fainali ya kombe la dunia kwa mwaka huo

Kana kwamba haitoshi serikali ilionyesha karipio lao kwa timu kwa kuisafirisha timu yoye na benchi la ufundi kwa tiketi za "economy class" ili iwe fundisho kwa vizazi vijavyo

Ili kuonyesha kwamba mambo hayo sio mageni, tukirudi nyuma kidogo mnamo mwaka 1994 na 1998 kwenye makombe ya dunia ( ya marekani na ufaransa) nchini Iraq nako mambo yalikua si shwari kwa timu ya nchi hiyoiliyokua inapambania kufuzu fainali hizo ambapo mtoto wa kiume wa Saddam Hussein bwana Uday yeye alianzisha Guantanamo ya kimichezo kwenye floo ya chini katika jengo la kamati ya olimpiki ya nchi hiyo

Bwana Uday aliwasweka wachezaji kwenye chemba hizo za mateso mara kwa mara na kuwatishia kuwakata miguu na kuitupa kwa mbwa wakali waliozunguka chemba hiyo ya mateso

Sambamba na hilo mwaka 2000 nchini Ivory coast kwenye harakati za kufuzu Afcon mtawalabwa kijeshi wa wakati huo ambaye sasa ndiye rais wa nchi hiyo aliisweka timu yote pamoja na viongozi wake kwenye kambi ya kijeshi wakapewa msoto mkali baada tu ya kutolewa kwenye raundi ya kwanza ya michuano hiyo ya Mataifa ya Afrika

Sambamba na hilo, hivi majuzi waziri wa nchi mwenye dhamana ya michezo Mohamed Mchengerwa alitoa agizo zito kutoka serikalini kwenda kwa klabu ya yanga kwamba serikali inaiagiza yanga kwamba ni lazima ikashinde mechi yake ya marudiano dhidi ya wasudan,

Na kwa kua Dar es salaam young African ilienda sudan kuliwakilisha taifa pengine ndio hasa msingi wa kauli ya kiongozi huyu mkubwa wa nchi kuipa agizo hili yanga ambalo kiukweli limegeuka kua mzigo mzito kwa timu pamoja na uongozi

Sasa kwa kua rais wa yanga alisikika akipokea maagizo hayo ya serikali na kuahidi kuyatekeleza ni wakati muafaka sasa kwa serikali ya jamhuri ya muungano wa Tanzania kuipa adhabu nzito timu ya jangwani kwa kushindwa kutekeleza au kupuuzia maagizo ya nchi

Mheshimiwa mchengerwa kuwaacha yanga hivi hivi ni kutengeneza double standards na kukufanya upuuzwe hata wakati mwingine ukitoa maagizo kwa wengine yatapuuzwa tu!

Napendekeza uongozi wa yanga wakiwemo injinia na profesa na wachezaji wote akiwemo mwamnyeto na mayele wapelekwe kambi ya Lugalo kwa walau wiki moja wakapigwe rolling na katatumbo ya kufa mtu ili iwe fundisho kwa timu za nchi hii kuliletea taifa aibu

Ikumbukwe pia yanga imeshindwa kuakisi harakati za mheshimiwa rais samia za royal tour za kuitangaza nchi yetu kimataifa kwa mara ya pili mfululizo sasa jambo ambalo halivumiliki hata kidogo kwani hali hii inachangia kudidimiza sekta ya utalii nchini

Nawasilisha

Sent from my M100 using JamiiForums mobile app
Si lazima

Sent from my M100 using JamiiForums mobile app
 
24ED96F6-CE8A-4059-93B7-671179898F0E.jpeg


Kama wachezaji wenyewe ndio hawa una zani kuna jipya?
 
Unacho paswa kuelewa ni kwamba siasa haifanyi kazi Kila mahali, mpira ni sayansi sio maneno ya kisiasa, yote hayo ni upuuzi na upumbavu tuu
 
Serikali ilichangia usajili? Inachangia kulipa mishahara? Ilichangia nauli ya kwenda Sudan?

Mpira ni independent na ndo maana una Rais wa chama cha soka na haingiliwi katika majukumu yake.
Yanga pia ni taasisi inayojitegemea na Rais wake haingiliwi kimajukumu.

Kingine ni haya uloandika ni mihemko tu
 
Wamchape viboko mayele na awe anatetema anapopewa hiyo adhabu pia nabi azibue vyoo vya uma wiki nzima aziza kii aungane na wasafisha jiji hasa soko la samaki ferry watoe shombo lote pale wengine wapigwe viboko sita sita
 
Serikali ilichangia usajili? Inachangia kulipa mishahara? Ilichangia nauli ya kwenda Sudan?

Mpira ni independent na ndo maana una Rais wa chama cha soka na haingiliwi katika majukumu yake.
Yanga pia ni taasisi inayojitegemea na Rais wake haingiliwi kimajukumu.

Kingine ni haya uloandika ni mihemko tu
Sasa hayo unamwambia mchengerwa au unaniambia mimi

Ikumbukwe "maagizo" hayo aliyatoa waziri na viongozi wa yanga wakaahidi kuyatekeleza

Sent from my M100 using JamiiForums mobile app
 
Wakuu kwa kuwa nchi yetu inafuata utawala wa sheria ningependa niwasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano.

Nijikite kwenye mada,

Mnamo tarehe 24 Juni, 2010 mshambuliaji na nahodha wa Timu ya Taifa ya Ufaransa Thiery Henry aliitwa na kuwekwa kikaangoni na Rais wa Ufaransa wa wakati huo Nicolas Sarkozy aandike insha isiyopungua maneno 2000 juu ya kwa nini walivurunda kwenye fainali ya Kombe la Dunia kwa mwaka huo.

Kana kwamba haitoshi Serikali ilionyesha karipio lao kwa timu kwa kuisafirisha timu yote na benchi la ufundi kwa tiketi za "Economy class" ili iwe fundisho kwa vizazi vijavyo.

Ili kuonyesha kwamba mambo hayo siyo mageni, tukirudi nyuma kidogo mnamo mwaka 1994 na 1998 kwenye Makombe ya Dunia (la Marekani na Ufaransa), nchini Iraq nako mambo yalikua si shwari kwa timu ya nchi hiyo iliyokua inapambania kufuzu fainali hizo, ambapo mtoto wa kiume wa Saddam Hussein bwana Uday yeye alianzisha Guantanamo ya kimichezo kwenye floo ya chini katika jengo la Kamati ya Olimpiki ya nchi hiyo.

Bwana Uday aliwasweka wachezaji kwenye chemba hizo za mateso mara kwa mara na kuwatishia kuwakata miguu na kuitupa kwa mbwa wakali waliozunguka chemba hiyo ya mateso.

Sambamba na hilo mwaka 2000 nchini Ivory Coast kwenye harakati za kufuzu AFCON mtawala wa kijeshi wa wakati huo ambaye sasa ndiye Rais wa nchi hiyo, aliisweka timu yote pamoja na viongozi wake kwenye kambi ya kijeshi, wakapewa msoto mkali baada tu ya kutolewa kwenye raundi ya kwanza ya michuano hiyo ya Mataifa ya Afrika.

Sambamba na hilo, hivi majuzi waziri wa nchi mwenye dhamana ya michezo Mohamed Mchengerwa alitoa agizo zito kutoka Serikalini kwenda kwa Klabu ya Yanga, kwamba Serikali inaiagiza Yanga kwamba ni lazima ikashinde mechi yake ya marudiano dhidi ya Wasudan.

Na kwa kuSa Dar es salaam Young Africans ilienda Sudan kuliwakilisha taifa, pengine ndiyo hasa msingi wa kauli ya kiongozi huyu mkubwa wa nchi kuipa agizo hili Yanga ambalo kiukweli limegeuka kuwa mzigo mzito kwa timu pamoja na uongozi.

Sasa kwa kuwa Rais wa Yanga alisikika akipokea maagizo hayo ya Serikali na kuahidi kuyatekeleza, ni wakati muafaka sasa kwa serikali ya jamhuri ya muungano wa Tanzania kuipa adhabu nzito timu ya Jangwani kwa kushindwa kutekeleza au kupuuzia maagizo ya nchi.

Mchengerwa kuwaacha Yanga hivi hivi ni kutengeneza "Double standards" na kukufanya upuuzwe hata wakati mwingine ukitoa maagizo kwa wengine yatapuuzwa tu!

Napendekeza uongozi wa Yanga wakiwemo Injinia na Profesa na wachezaji wote akiwemo Mwamnyeto na Mayele, wapelekwe Kambi ya Lugalo kwa walau wiki moja wakapigwe "Rolling" na kata tumbo ya kufa mtu ili iwe fundisho kwa timu za nchi hii kuliletea taifa aibu.

Ikumbukwe pia Yanga imeshindwa kuakisi harakati za Rais Samia za Royal Tour za kuitangaza nchi yetu kimataifa kwa mara ya pili mfululizo. Sasa jambo ambalo halivumiliki hata kidogo, kwani hali hii inachangia kudidimiza sekta ya utalii nchini.

Nawasilisha.

Sent from my M100 using JamiiForums mobile app
Halafu mkiitwa mbumbumbu, eti mnakasirika!
Yaani wasiwekwe kikaangoni Azam na Geita Gold waliotokewa moja kwa moja kwenye mashindano! Achilia mbali zile takataka nyingine za kule Visiwani!

Badala yake wawekwe Yanga ambao wanaendelea na mashindano ya Kombe la Shirikisho!
 
Wakuu kwa kuwa nchi yetu inafuata utawala wa sheria ningependa niwasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano.

Nijikite kwenye mada,

Mnamo tarehe 24 Juni, 2010 mshambuliaji na nahodha wa Timu ya Taifa ya Ufaransa Thiery Henry aliitwa na kuwekwa kikaangoni na Rais wa Ufaransa wa wakati huo Nicolas Sarkozy aandike insha isiyopungua maneno 2000 juu ya kwa nini walivurunda kwenye fainali ya Kombe la Dunia kwa mwaka huo.

Kana kwamba haitoshi Serikali ilionyesha karipio lao kwa timu kwa kuisafirisha timu yote na benchi la ufundi kwa tiketi za "Economy class" ili iwe fundisho kwa vizazi vijavyo.

Ili kuonyesha kwamba mambo hayo siyo mageni, tukirudi nyuma kidogo mnamo mwaka 1994 na 1998 kwenye Makombe ya Dunia (la Marekani na Ufaransa), nchini Iraq nako mambo yalikua si shwari kwa timu ya nchi hiyo iliyokua inapambania kufuzu fainali hizo, ambapo mtoto wa kiume wa Saddam Hussein bwana Uday yeye alianzisha Guantanamo ya kimichezo kwenye floo ya chini katika jengo la Kamati ya Olimpiki ya nchi hiyo.

Bwana Uday aliwasweka wachezaji kwenye chemba hizo za mateso mara kwa mara na kuwatishia kuwakata miguu na kuitupa kwa mbwa wakali waliozunguka chemba hiyo ya mateso.

Sambamba na hilo mwaka 2000 nchini Ivory Coast kwenye harakati za kufuzu AFCON mtawala wa kijeshi wa wakati huo ambaye sasa ndiye Rais wa nchi hiyo, aliisweka timu yote pamoja na viongozi wake kwenye kambi ya kijeshi, wakapewa msoto mkali baada tu ya kutolewa kwenye raundi ya kwanza ya michuano hiyo ya Mataifa ya Afrika.

Sambamba na hilo, hivi majuzi waziri wa nchi mwenye dhamana ya michezo Mohamed Mchengerwa alitoa agizo zito kutoka Serikalini kwenda kwa Klabu ya Yanga, kwamba Serikali inaiagiza Yanga kwamba ni lazima ikashinde mechi yake ya marudiano dhidi ya Wasudan.

Na kwa kuSa Dar es salaam Young Africans ilienda Sudan kuliwakilisha taifa, pengine ndiyo hasa msingi wa kauli ya kiongozi huyu mkubwa wa nchi kuipa agizo hili Yanga ambalo kiukweli limegeuka kuwa mzigo mzito kwa timu pamoja na uongozi.

Sasa kwa kuwa Rais wa Yanga alisikika akipokea maagizo hayo ya Serikali na kuahidi kuyatekeleza, ni wakati muafaka sasa kwa serikali ya jamhuri ya muungano wa Tanzania kuipa adhabu nzito timu ya Jangwani kwa kushindwa kutekeleza au kupuuzia maagizo ya nchi.

Mchengerwa kuwaacha Yanga hivi hivi ni kutengeneza "Double standards" na kukufanya upuuzwe hata wakati mwingine ukitoa maagizo kwa wengine yatapuuzwa tu!

Napendekeza uongozi wa Yanga wakiwemo Injinia na Profesa na wachezaji wote akiwemo Mwamnyeto na Mayele, wapelekwe Kambi ya Lugalo kwa walau wiki moja wakapigwe "Rolling" na kata tumbo ya kufa mtu ili iwe fundisho kwa timu za nchi hii kuliletea taifa aibu.

Ikumbukwe pia Yanga imeshindwa kuakisi harakati za Rais Samia za Royal Tour za kuitangaza nchi yetu kimataifa kwa mara ya pili mfululizo. Sasa jambo ambalo halivumiliki hata kidogo, kwani hali hii inachangia kudidimiza sekta ya utalii nchini.

Nawasilisha.

Sent from my M100 using JamiiForums mobile app

hapo kwa Ivory Coast umekosea, Rais alikuwa marehemu Robert Guaye.
 
Wakuu kwa kuwa nchi yetu inafuata utawala wa sheria ningependa niwasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano.

Nijikite kwenye mada,

Mnamo tarehe 24 Juni, 2010 mshambuliaji na nahodha wa Timu ya Taifa ya Ufaransa Thiery Henry aliitwa na kuwekwa kikaangoni na Rais wa Ufaransa wa wakati huo Nicolas Sarkozy aandike insha isiyopungua maneno 2000 juu ya kwa nini walivurunda kwenye fainali ya Kombe la Dunia kwa mwaka huo.

Kana kwamba haitoshi Serikali ilionyesha karipio lao kwa timu kwa kuisafirisha timu yote na benchi la ufundi kwa tiketi za "Economy class" ili iwe fundisho kwa vizazi vijavyo.

Ili kuonyesha kwamba mambo hayo siyo mageni, tukirudi nyuma kidogo mnamo mwaka 1994 na 1998 kwenye Makombe ya Dunia (la Marekani na Ufaransa), nchini Iraq nako mambo yalikua si shwari kwa timu ya nchi hiyo iliyokua inapambania kufuzu fainali hizo, ambapo mtoto wa kiume wa Saddam Hussein bwana Uday yeye alianzisha Guantanamo ya kimichezo kwenye floo ya chini katika jengo la Kamati ya Olimpiki ya nchi hiyo.

Bwana Uday aliwasweka wachezaji kwenye chemba hizo za mateso mara kwa mara na kuwatishia kuwakata miguu na kuitupa kwa mbwa wakali waliozunguka chemba hiyo ya mateso.

Sambamba na hilo mwaka 2000 nchini Ivory Coast kwenye harakati za kufuzu AFCON mtawala wa kijeshi wa wakati huo ambaye sasa ndiye Rais wa nchi hiyo, aliisweka timu yote pamoja na viongozi wake kwenye kambi ya kijeshi, wakapewa msoto mkali baada tu ya kutolewa kwenye raundi ya kwanza ya michuano hiyo ya Mataifa ya Afrika.

Sambamba na hilo, hivi majuzi waziri wa nchi mwenye dhamana ya michezo Mohamed Mchengerwa alitoa agizo zito kutoka Serikalini kwenda kwa Klabu ya Yanga, kwamba Serikali inaiagiza Yanga kwamba ni lazima ikashinde mechi yake ya marudiano dhidi ya Wasudan.

Na kwa kuSa Dar es salaam Young Africans ilienda Sudan kuliwakilisha taifa, pengine ndiyo hasa msingi wa kauli ya kiongozi huyu mkubwa wa nchi kuipa agizo hili Yanga ambalo kiukweli limegeuka kuwa mzigo mzito kwa timu pamoja na uongozi.

Sasa kwa kuwa Rais wa Yanga alisikika akipokea maagizo hayo ya Serikali na kuahidi kuyatekeleza, ni wakati muafaka sasa kwa serikali ya jamhuri ya muungano wa Tanzania kuipa adhabu nzito timu ya Jangwani kwa kushindwa kutekeleza au kupuuzia maagizo ya nchi.

Mchengerwa kuwaacha Yanga hivi hivi ni kutengeneza "Double standards" na kukufanya upuuzwe hata wakati mwingine ukitoa maagizo kwa wengine yatapuuzwa tu!

Napendekeza uongozi wa Yanga wakiwemo Injinia na Profesa na wachezaji wote akiwemo Mwamnyeto na Mayele, wapelekwe Kambi ya Lugalo kwa walau wiki moja wakapigwe "Rolling" na kata tumbo ya kufa mtu ili iwe fundisho kwa timu za nchi hii kuliletea taifa aibu.

Ikumbukwe pia Yanga imeshindwa kuakisi harakati za Rais Samia za Royal Tour za kuitangaza nchi yetu kimataifa kwa mara ya pili mfululizo. Sasa jambo ambalo halivumiliki hata kidogo, kwani hali hii inachangia kudidimiza sekta ya utalii nchini.

Nawasilisha.

Sent from my M100 using JamiiForums mobile app
Dah
Wana maumivu tosha.
Waache wamalize kwanza kuchapana bakora pale klabuni kisha ndo tuje na agizo kutotekelezwa
 
Serikali ilichangia usajili? Inachangia kulipa mishahara? Ilichangia nauli ya kwenda Sudan?

Mpira ni independent na ndo maana una Rais wa chama cha soka na haingiliwi katika majukumu yake.
Yanga pia ni taasisi inayojitegemea na Rais wake haingiliwi kimajukumu.

Kingine ni haya uloandika ni mihemko tu
Swali lingine wakati wao wanaenda kulitia taifa aibu kwa kupokea zile KHAMSA ugenini nani aliwachukulua hatua. Kwa akili zao walidhani Yanga anaenda kufa goli si chini ya 4 ndio wanaumia kuliko hata Yanga yenyewe iliyofungwa.

Ni mada ya kipumbavu iliyoletwa kuchangamsha genge

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom